MUFINDI BOY
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 241
- 59
Umeshawahi kuprove Mkuu.. Kama bado mjaribu mwanao then utatuletea feedback
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha [emoji3]Nyoka wanatofautishaj andunje na mtoto? Naomba jibu kwa sauti kuu[emoji2425][emoji346][emoji345][emoji344]
Hapo ameshambuliwa lazima ajitetee.Ila mtoto akimkanyaga nyoka bahati mbaya anamng'ata
Aaa wapi. Stori tu hizo au labda nyoka wa kwenye maonyesho na siyo hawa koboko na chatu wa huku Tabora. Mama akijichanganya akamuweka mtoto chini eti alime si ajabu akija kushtuka mtoto keshamezwa...
Iko hivi viumbe wote wakali mfano: simba, chui, nyoka, mbwa n.k. humshambulia binadam pale anapoonekana anataka kuwadhuru. Hii huwa inatokea pale binadamu akiwaona naye kwa kuwa alishajua ni wanyama wakali basi hujenga hofu(fright) au ujasiri wa kupambana nao (fight). Hizo mechanism zote zinatokea pale adrenalin inapokuwa imezalishwa mwilini ( hii ni insulin inayompa mtu nguvu ya kupambana na hatari au nguvu ya kuikimbia hatari)
Hivyo bas baada ya hiyo insulin kuzalishwa mnyama yeyote mkali anaidetect moja kwa moja na hapo ndipo huamua kumshambulia binadamu ili asimdhuru.
Sasa kwa watoto kwakua hawana utambuzi wa vitu kuweza kujua kama hii ni hatar au lah bas wao huwa hawazalishi adrenalin hivyo kupelekea kutoshambuliwa ma viumbe hatar maana hawaonekani kama tishio kwa hivyo viumbe.
[emoji106]nyoka ni eva.. Eva ni mwanamke. Mwanamke ni mama.. Mama ni lazima ampende mtoto wake
Ohoooo!!!Hizo huwa ni hadithi mkuu, nyoka ni kiumbe chenye laana, hakijawahi kuwa na urafiki na binadamu hata siku moja
Ha ha ha umenyumbulisha....nyoka ni eva.. Eva ni mwanamke. Mwanamke ni mama.. Mama ni lazima ampende mtoto wake
Wanacheck ndevu na ma.vuzi...kama unavyo unagongwaNyoka wanatofautishaj andunje na mtoto? Naomba jibu kwa sauti kuu[emoji2425][emoji346][emoji345][emoji344]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha bangi wewe.Wanacheck ndevu na ma.vuzi...kama unavyo unagongwa
Sio simulizi ni kweli kabisa mimi nimeshashuhudia kwa macho yangu mawili.Mimi naonaga kama hayo uliyo yasema ni masimulizi tu ..
Hayana uhalisia wowote ule katika maisha tunayoishi