Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #21
Mambo yote haya nitayatatua siku nikiingia kwenye uongozi. Yote haya ni mambo madogo sana.mwana wa Bsc. Petrol. Eng. UD, picha linaanza IPT kapangiwa kiwanda cha Urafiki
hizi kozi kwa Bongo miyeyusho
Kuna jamaa mmoja pia kapiga hiyo course pale UDSM, lakini mpaka leo kaishia kuwa mwalimu wa tuition pale Mwanza.Mwanangu alisoma hii kozi pale udizimu tukajua kashatoboa kumbe wapiβ¦bongo nyosso
Nyerere pamoja na akili zake zote alishindwa kuacha Katiba nzuri.Nimependa hiyo phrase "dira ya Taifa".
Wenyewe wana kauli yao eti kila Kitabu na zama zake, wakimaanisha kwamba kila Kiongozi wa nchi anakuja na mipango yake, hii siyo sawa hasa kwa Taifa linaloendelea kama Tanzania.
Hata hii Katiba mpya inayopigiwa kelele inaweza isiwe mwarobaini wa haya mambo ya hovyo yanayotokea nchini.
Mwl Nyerere akizungumzia ubovu wa Katiba tuliyonayo na umuhimu wa kuwa na Katiba mpya aliwahi kutoa angalizo kwamba bila DIRA ya Taifa hata tukiwa na Katiba mpya nzuri kiasi gani, uozo utakuwa ni uleule, akatolea mfano wa Germany kwa Adolf Hitler by then, kumbe kwa kipindi kile Germany ndiyo ilikuwa na Katiba bora kabisa duniani ila Hitler akapenyeza Udikteta, Hitler alifanikiwa kwasababu Germany haikuwa na dira ya Taifa pamoja na kuwa na Katiba bora.
All in all, muda ndiyo mwamuzi mzuri. Ngoja iendelee kunyesha tuone panapovuja.
Dah! Na kuna siku atakamatwa na Mratibu Elimu Kata na kumuhoji kama anayo taaluma ya Ualimu.Kuna jamaa mmoja pia kapiga hiyo course pale UDSM, lakini mpaka leo kaishia kuwa mwalimu wa tuition pale Mwanza.
Jamaa ni mjuzi sana ila ndohivyo, bongo nyosso.
Mkuu hii mada umekua ukiianzisha kila mara, haipiti miezi 6 hujarudia hii mada naamini wewe ni mhanga mmoja wao ambae umepotezewa muda na wanasiasa. Pole sana.Fani za mafuta na gesi zilianza kufundishwa Tanzania mwaka 2013.
Mara serikali ikaanzisha shahada ya kwanza ya kemia ya petroli (BSc. Petroleum Chemistry) (wanafunzi 25), Shahada ya kwanza ya uhandisi wa petroli (BSc. Petroleum Engineering) (Wanafunzi 25) na Shahada ya kwanza ya jiolojia ya petroli (BSc. Petroleum Geology) (wanafunzi 15).
Mwaka 2017, wanafunzi wa kwanza wanahitimu. Lakini serikali inashindwa kuwaajiri pamoja na uchache wao.
Ajira zinatoka TPDC na PURA. Zinaajiri wahitimu wasiozidi sita kwa mwaka. Sasa najiuliza maswali ni jambo gani linazuia kuwaajiri wahitimu wote waliosomea fani hizo.
Ulikua ni mpango wa serikali wa kuandaa wataalamu wa fani hizo katika taifa letu. Tuweke ubinafsi pembeni tuwaajiri wahitimu wote mimi sidhani kama inashindikana. Sio halali mwanafunzi anapata division one ya 5 form six combination ya PCM, na chuo kikuu GPA ya 4.4 taifa linashindwa kumtumia anaamua kuwa auditor kwenye mambo ya uhasibu. Na kwa inavyoonekana ni wengi wala sio mmoja. Tunapaswa kuweka mikakati kama kuna sehemu tumefail tusisite kurudi nyuma na kuanza upya.
Lakini pamoja na kuajiriwa swala la kujiajiri kwa wahitimu wa fani yoyote ni la lazima na hicho ndio kipimo pekee cha kujua kama muhitimu alielewa darasani.
Huu ndio ukweli mhitimu ambaye hawezi kujiajiri maana yake hakuelewa darasani pengine alikua anakalili maarifa bila kuelewa.
Lakini kujiajiri kwa muhitimu kusiwe kisingizio chakutotengeneza ajira katika taifa letu. Bado sisi kama watanzania tunakazi ya kuhakikisha tunatengeneza ajira. Hicho ni kipimo cha ukuaji wa sekta yoyote. Sekta isiyoweza kutengeneza ajira maana yake imesimama kukua.
Hitimisho langu: Sekta ya mafuta na gesi imeshindwa kutimiza malengo iliyojiwekea. Imeshindwa kutengeneza ajira hasa za wahitimu wa gesi na mafuta. Waliokalia viti kwenye sekta ya mafuta na gesi bado hawajafanya kazi vya kutosha. Wanapaswa kuangalia walipoyumba na kufanya marekebisho.
Mwaka 2012 hadi 2013 makampuni ya mafuta na gesi yalijaa Tanzania na yalikua yanajaa vyuoni kuajiri wanafunzi hata kabla hawajamalza vyuo.
Kuna haja ya kubadili uongozi kwenye sekta ya mafuta na gesi ili kurudisha kasi ya kipindi cha nyuma.
Hizi ni baadhi ya hoja ambazo bunge letu lilipaswa kuzizungumzia bungeni na kuwahoji wakuu wa taasisi zinazohusika na mnyororo mzima wa sekta hii. Bunge halipaswi kukaa kimya na kukubali matokeo kasi ya sekta inapokua inashuka.
Hapana boss ni mwanasiasa chipukizi nikijianda kupeperusha bendera 2025; hili ni moja la tatizo nililolichagua kulitatua katika taifa letu either kwa uwezo wangu mwenyewe au kwa uwezo wa uongozi kama nitafanikiwa kuchaguliwa kuingia kwenye majengo ya hapa Dodoma.Mkuu hii mada umekua ukiianzisha kila mara, haipiti miezi 6 hujarudia hii mada naamini wewe ni mhanga mmoja wao ambae umepotezewa muda na wanasiasa. Pole sana.
Ina maana Einstein alijiajiri kwanza?Fani za mafuta na gesi zilianza kufundishwa Tanzania mwaka 2013.
Mara serikali ikaanzisha shahada ya kwanza ya kemia ya petroli (BSc. Petroleum Chemistry) (wanafunzi 25), Shahada ya kwanza ya uhandisi wa petroli (BSc. Petroleum Engineering) (Wanafunzi 25) na Shahada ya kwanza ya jiolojia ya petroli (BSc. Petroleum Geology) (wanafunzi 15).
Mwaka 2017, wanafunzi wa kwanza wanahitimu. Lakini serikali inashindwa kuwaajiri pamoja na uchache wao.
Ajira zinatoka TPDC na PURA. Zinaajiri wahitimu wasiozidi sita kwa mwaka. Sasa najiuliza maswali ni jambo gani linazuia kuwaajiri wahitimu wote waliosomea fani hizo.
Ulikua ni mpango wa serikali wa kuandaa wataalamu wa fani hizo katika taifa letu. Tuweke ubinafsi pembeni tuwaajiri wahitimu wote mimi sidhani kama inashindikana. Sio halali mwanafunzi anapata division one ya 5 form six combination ya PCM, na chuo kikuu GPA ya 4.4 taifa linashindwa kumtumia anaamua kuwa auditor kwenye mambo ya uhasibu. Na kwa inavyoonekana ni wengi wala sio mmoja. Tunapaswa kuweka mikakati kama kuna sehemu tumefail tusisite kurudi nyuma na kuanza upya.
Lakini pamoja na kuajiriwa swala la kujiajiri kwa wahitimu wa fani yoyote ni la lazima na hicho ndio kipimo pekee cha kujua kama muhitimu alielewa darasani.
Huu ndio ukweli mhitimu ambaye hawezi kujiajiri maana yake hakuelewa darasani pengine alikua anakalili maarifa bila kuelewa.
Lakini kujiajiri kwa muhitimu kusiwe kisingizio chakutotengeneza ajira katika taifa letu. Bado sisi kama watanzania tunakazi ya kuhakikisha tunatengeneza ajira. Hicho ni kipimo cha ukuaji wa sekta yoyote. Sekta isiyoweza kutengeneza ajira maana yake imesimama kukua.
Hitimisho langu: Sekta ya mafuta na gesi imeshindwa kutimiza malengo iliyojiwekea. Imeshindwa kutengeneza ajira hasa za wahitimu wa gesi na mafuta. Waliokalia viti kwenye sekta ya mafuta na gesi bado hawajafanya kazi vya kutosha. Wanapaswa kuangalia walipoyumba na kufanya marekebisho.
Mwaka 2012 hadi 2013 makampuni ya mafuta na gesi yalijaa Tanzania na yalikua yanajaa vyuoni kuajiri wanafunzi hata kabla hawajamalza vyuo.
Kuna haja ya kubadili uongozi kwenye sekta ya mafuta na gesi ili kurudisha kasi ya kipindi cha nyuma.
Hizi ni baadhi ya hoja ambazo bunge letu lilipaswa kuzizungumzia bungeni na kuwahoji wakuu wa taasisi zinazohusika na mnyororo mzima wa sekta hii. Bunge halipaswi kukaa kimya na kukubali matokeo kasi ya sekta inapokua inashuka.
Oil & Gas ni kitu kimoja na taaluma yake ni mojaTanzania Kuna visima vya mafuta? Wiki iliyopita walikuwa wanafanya Usaili Dom
Mbona mnaruka sehemu muhimu ya mada. Nikuulize ukipata nafasi ya kushika usukani kwenye sekta ya mafuta na gesi utayajibu maswali kwa mtindo huo?Biashara ya mafuta na gas iko kwenye mikono ya mabeberu na mabepari Ulaya na America huko, Sera zao ndio huamua upatikanaji au kutopatikana kwa ajira dunia ya tatu huku.
Makampuni ya mabeberu ndio mhimili wa hii biashara na ndio watengenezaji wa ajira na walipaji wa mishahara mikubwa.
Kabla ya awamu ya tano, makampuni mengi ya mabeberu yalimiminika Tanzania na kuanza kuchangamkia biashara ya vitalu pamoja na kutengeneza ajira nyingi na kulipa mishahara minono, Awamu ya Tano ya JPM ilikuja na sera iliyowaogopesha mabeberu na kuamua kufunga biashara wengi wao na kuondoka, hapa ajira za oil and gas zikafa.
USHAURI: Oil and gas inaajira nyingi sana uarabuni, Saudia, Oman, UAE, Kuwait, Qatar nk, kinachotakiwa ni vijana wetu kuzamia huko na kuzisaka fursa kwa kukubali kutaabika kwa muda ili watengeneze future kubwa binafsi, kuendelea kuwategemea wanasiasa watanzania walioshiba kuamua future yako ni kupoteza muda tu.
Narudia Tena, njaa itakuuaAcha dharau usidhani mimi navyo andika hivi nina njaa. Nipo hapa kwaajili ya kuandika na kujenga hoja. Najifunza. Kama upo hapa kwaajili ya ushabiki pole sana. Kuna siku utakuja kupiga magoti ofisini kwangu wewe nakusihi acha dharau. Soma nyuzi usifuatilie maisha yangu wala maisha ya watu wa jamii forum. Hili ni jukwaa huru. Kama huwezi kuandika kaa kimya sisi tutaandika nyuzi. Bahati yako saivi nimekua mpole. Ingekua zamani saivi tungekua tunazungumza lugha moja. Shame on you. Kalili hili jina la "Meneja wa Makampuni".
Nakumbuka miaka hiyo wanasiasa waliwaambia mabaharia wa kitanzania watapata ajira kwenye uchimbaji mafuta huku wakijua hakuna kozi za Offshore Practical Training nchini. Katibu mkuu ilibidi awaambie ukweli kama hujasoma kozi hizo huwezi kupata kazi, na vyuo vilikuwa South Africa
π π πExcellent adviseversa!
Kahiyo mpaka wale, wanasheria watarajiwa tupeleke VETA weeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa Bro si'tutakuwa kama vile nchi ya Wagagagigikoko
Yaani hiyo mwisho wa siku nchi mzima tunakua mafundi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unazungumzia kozi za offshore kama zipiNakumbuka miaka hiyo wanasiasa waliwaambia mabaharia wa kitanzania watapata ajira kwenye uchimbaji mafuta huku wakijua hakuna kozi za Offshore Practical Training nchini. Katibu mkuu ilibidi awaambie ukweli kama hujasoma kozi hizo huwezi kupata kazi, na vyuo vilikuwa South Africa