Waajiliwe wapi sasa?serikali haichimbi mafuta wala gesi,tipper imejaa watunga sera tu,hakuna exproration yeyote inayofanywa,
Makampuni yanayochimba gesi na mafuta,ni ya nje,yanakuja na wataalamu wao,sasa hawawezi kuchukua Hawa ambao hawana hata uzoefu,kwa kijana wa bongo,nyakati hizi anza kutafuta kazi nje ya mipaka,enzi hizo naanza kazi,nilikuta kaka zangu wapo vodacom,Tena wazee,lakini mpaka leo wapo voda huko,wanazidi kupanda vyeo,sasa wewe kijana utapata nafasi wapi,
Nilikuwa SA,Kwenye makampuni ya Scania,Emerson,caterpillar nilikuta wakenya,Nigeria,na wacongo kibao,
Mkenya haoni shida kuzamia SA akaoa mwenyeji Ili apate uhuru wa Kupiga Mishe Mishe zake,mbongo mgogo ukimuambia aende akaishi na kuoa Mtwara,au kagera anaona tabu