Ni kwanini Siku hizi 'Visitors Gallery' ya Bunge la Tanzania 'wanaalikwa' tu 'Watu' wa 'ovyo ovyo' Kifikra na Kiushawishi?

Ni kwanini Siku hizi 'Visitors Gallery' ya Bunge la Tanzania 'wanaalikwa' tu 'Watu' wa 'ovyo ovyo' Kifikra na Kiushawishi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ipo Siku mtakuja Kuwaalika hata Wemdawazimu hapo kama hamtokuwa makini.

Nimejaribu kuchunguza Wageni wanaoalikwa katika Mabunge ya Kenya Rwanda na Uganda na Kugundua Watu wanaoalikwa hapo si tu wamefanya nini ila je, wana Akili Vichwani mwao na wana Tija ya Kimaendeleo kwa Maisha ya Vizazi vijavyo?

Mualikeni pia hapo Bungeni na yule aliyefanikiwa kuyafanya Maisha ya Watanzania kuwa Magumu na Mabaya huku Wagonjwa wa Akili wakiongezeka sasa na Kuwa ( Kufikia ) Millioni Saba ( 7,000,000 ) kwa sasa.
 
Wewee nawe kwani wageni wa bunge wana mchango gani kwenye Bunge?? kama ukiingia tuu bungeni unakatzwa kupiga makofi ma kushangilia au kucheka, acha wenda wazimu waalikwe
 
Sasa hilo bunge lenyewe lina watu wa kueleweka?! Hakuna watu wa kuelekewa hapo wote ni hovyo. Bado James delicious siku ataalikwa.
 
Daah sijui mnafikiria kwa kutumia nini mpaka unaamua kuandika kitu kama hiki aisee inasikitisha sana...
 
Back
Top Bottom