Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of All timesLissu ni Wakili mahiri?!
Kwenye kundi la kupiga kelele na kuonekana kwenye camera na media ndio hawapo na hata vyeti vyao wana GPA Kali kuliko hao wanaumeWanajulikana kwenye industry mkuu, makampuni makubwa yote yana mawakili na huwezi kujua majina yao lakini ni watu mahiri kweli kweli.
Kabisa yaani mtu kusema Madeleka na Mwakabusi ni mawakili mahiri! Unabaki kusema hiiiiKwenye kundi la kupiga kelele na kuonekana kwenye camera na media ndio hawapo na hata vyeti vyao wana GPA Kali kuliko hao wanaume
Kama wanachokifanya hakionekani basi ni kazi bureKwenye kundi la kupiga kelele na kuonekana kwenye camera na media ndio hawapo na hata vyeti vyao wana GPA Kali kuliko hao wanaume
Wapo wengi,tatizo kuwafahamu.Yupo dada mmoja anaitwa hajra mungula,nimemuona kwenye kesi nyingi maarufu ya yusuph manji, Pia ya yul bwana wa IPTL na ile ya dawa za kulevya ya Shamimu Mwasha na mumewe
Wakili aieleza Mahakama afya ya Sethi inadhoofu
Kesi ya Shamimu na mumewe, bado Mahakama inasubiri ripoti ya Mkemia Mkuu
View: https://www.facebook.com/Habarileogazeti/videos/wakili-wa-manji-hajra-mungula-akizungumza-na-waandishi-baada-ya-mteja-wake-kuach/1635152499888429/