Ni Kwanini Tulikuwa tunamchukia Makonda na Kumsingizia Uongo? Tumwombe Radhi

Ni Kwanini Tulikuwa tunamchukia Makonda na Kumsingizia Uongo? Tumwombe Radhi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Watu walikuwa wanasema subiri Magufuli aondoke madarakani jamaa ata suffer sana. Anachukiwa hata na CCM wenzie.

Leo hii si kwamba Magufuli hayupo Madarakani. Ni kwamba hayupo kabisa Duniani. Na Makonda anadunda tu.

Mtu ambaye tuliambiwa hafai kuwa uraiani. Muuaji, jambazi, amewatesa wauza madawa ya kulevya, amewaonea watu n.k. mateja, wezi,mafisadi, majangiri, machangudoa ndo walikuwa wanamchafua kijana wa watu. Sasa wanang'aa ng'aa macho tu.

Leo hii hakuna ambacho kimeonesha kuwa ana hatia. Watanzania waliona tu wamchafue kijana wa watu sababu aliwabana sana. Sijaona kesi mahakamani zinazomhusu. Sijaona. Wanasema alihusika na utekaji hakuna kesi hata ya kumsingizia. Inawezekana kuna watu walifanya haya kusudi kumchafua.
 
Watu walikuwa wanasema subiri Magufuli aondoke madarakani jamaa ata suffer sana. Anachukiwa hata na CCM wenzie.

Leo hii si kwamba Magufuli hayupo Madarakani. Ni kwamba hayupo kabisa Duniani. Na Makonda anadunda tu.

Mtu ambaye tuliambiwa hafai kuwa uraiani. Muuaji, jambazi, amewatesa wauza madawa ya kulevya, amewaonea watu n.k.

Leo hii hakuna ambacho kimeonesha kuwa ana hatia. Watanzania waliona tu wamchafue kijana wa watu sababu aliwabana sana. Sijaona kesi mahakamani zinazomhusu. Sijaona. Wanasema alihusika na utekaji hakuna kesi hata ya kumsingizia. Inawezekana kuna watu walifanya haya kusudi kumchafua.
🤣🤣🤣 Aiseh
 
Uliyetoa mada umesahau kwamba kila jambo liko bonded na muda.
Kama muda wa jambo haujafika hata kama ni muhimu kiasi gani hakuna la kufanya zaidi ya kungoja.

Na pia umesahau au hujasikia au unajitia kichwa maji au unakaza akili kujitia hujui kwamba juzi mwanasheria wake amejiondoa kusimamia masuala ya sheria.
 
Hilo jinga lilinikeraga tu liliposema bar na matamasha yawe yanafungwa saa 6 usiku na bia zianze kuuzwa saa 8 mchana

Watu wa kijijin utawajua tu huwa wanamawazo ya kijinga kijinga tu
 
Mtu yeyote anayomwona Makonda ni kiongozi shujaa basi ni kwasababu ya uchizi tu.
Watu walikuwa wanasema subiri Magufuli aondoke madarakani jamaa ata suffer sana. Anachukiwa hata na CCM wenzie.

Leo hii si kwamba Magufuli hayupo Madarakani. Ni kwamba hayupo kabisa Duniani. Na Makonda anadunda tu.

Mtu ambaye tuliambiwa hafai kuwa uraiani. Muuaji, jambazi, amewatesa wauza madawa ya kulevya, amewaonea watu n.k.

Leo hii hakuna ambacho kimeonesha kuwa ana hatia. Watanzania waliona tu wamchafue kijana wa watu sababu aliwabana sana. Sijaona kesi mahakamani zinazomhusu. Sijaona. Wanasema alihusika na utekaji hakuna kesi hata ya kumsingizia. Inawezekana kuna watu walifanya haya kusudi kumchafua.
 
Hilo jinga lilinikeraga tu liliposema bar na matamasha yawe yanafungwa saa 6 usiku na bia zianze kuuzwa saa 8 mchana

Watu wa kijijin utawajua tu huwa wanamawazo ya kijinga kijinga tu
Ukaona utakosa wateja? Sema kwa sasa machangudoa hawasumbuliwi na wamepata uhuru. Ni vizuri.
 
. Asubiri tu naye kunywea kikombe anachonywea Ole Sabaya. Kama siyo leo, ajuwe hata mwaka 2030, kifo tu ndiyo kitamkwepesha
 
. Asubiri tu naye kunywea kikombe anachonywea Ole Sabaya. Kama siyo leo, ajuwe hata mwaka 2030, kifo tu ndiyo kitamkwepesha
Asubiri nini? Nyie mlikuwa mnamchafua bure tu. Leo hii mnabaki kusema tu asubiri.
 
IMG_20221210_112315.jpg
 
Back
Top Bottom