Ni Kwanini Tulikuwa tunamchukia Makonda na Kumsingizia Uongo? Tumwombe Radhi

Ni Kwanini Tulikuwa tunamchukia Makonda na Kumsingizia Uongo? Tumwombe Radhi

Yule nyamitako aliyeshindwa hata kumtia mimba mkewe hadi akaenda kukamuliwa manii zikarutubishwe kwenye maabara au mwingine? Raha ya mwanaume umtie mimba mkeo kutoka kiunoni mwako siyo ukamuliwe mbegu kama ng'ombe.
 

Attachments

  • FB_IMG_1612012763868.jpg
    FB_IMG_1612012763868.jpg
    21.2 KB · Views: 2
mleta mada nahisi wewe ni chawa wa huyu mpuuzi. makamba ni katili, mhuni, jambazi na mwizi!
Wakijitokeza watu waliodhulumiwa na huyu mtu ndio utaelewa!
Hata USA walinpiga ban kuingia kwao kutokana na 'mikono yake kuwa michafu' usichukulie mchezo!
 
mleta mada nahisi wewe ni chawa wa huyu mpuuzi. makamba ni katili, mhuni, jambazi na mwizi!
Wakijitokeza watu waliodhulumiwa na huyu mtu ndio utaelewa!
Hata USA walinpiga ban kuingia kwao kutokana na 'mikono yake kuwa michafu' usichukulie mchezo!
Sasa hao waliotendewa hayo kwa nini hawajaenda mshtaki? Hawakuonewa walistahili.
 
Watu walikuwa wanasema subiri Magufuli aondoke madarakani jamaa ata suffer sana. Anachukiwa hata na CCM wenzie.

Leo hii si kwamba Magufuli hayupo Madarakani. Ni kwamba hayupo kabisa Duniani. Na Makonda anadunda tu.

Mtu ambaye tuliambiwa hafai kuwa uraiani. Muuaji, jambazi, amewatesa wauza madawa ya kulevya, amewaonea watu n.k. mateja, wezi,mafisadi, majangiri, machangudoa ndo walikuwa wanamchafua kijana wa watu. Sasa wanang'aa ng'aa macho tu.

Leo hii hakuna ambacho kimeonesha kuwa ana hatia. Watanzania waliona tu wamchafue kijana wa watu sababu aliwabana sana. Sijaona kesi mahakamani zinazomhusu. Sijaona. Wanasema alihusika na utekaji hakuna kesi hata ya kumsingizia. Inawezekana kuna watu walifanya haya kusudi kumchafua.
1670664912172.png


Picha inaashiria wao wenyewe hawaaminiani
 
Chadema huwa wazushi mno.

Lisu amekatiwa chake sasa yupo kimya kama hajawahi hata ishi Tanzania.
 
Billicanas ilisafishwa kama choo cha udongo
 
Chadema huwa wazushi mno.

Lisu amekatiwa chake sasa yupo kimya kama hajawahi hata ishi Tanzania.
We! Vunja mikataba halafu uone kama atakaa kimya.

Balozi wa wazungu nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom