Ni Kwanini Tulikuwa tunamchukia Makonda na Kumsingizia Uongo? Tumwombe Radhi

mleta mada nahisi wewe ni chawa wa huyu mpuuzi. makamba ni katili, mhuni, jambazi na mwizi!
Wakijitokeza watu waliodhulumiwa na huyu mtu ndio utaelewa!
Hata USA walinpiga ban kuingia kwao kutokana na 'mikono yake kuwa michafu' usichukulie mchezo!
 
mleta mada nahisi wewe ni chawa wa huyu mpuuzi. makamba ni katili, mhuni, jambazi na mwizi!
Wakijitokeza watu waliodhulumiwa na huyu mtu ndio utaelewa!
Hata USA walinpiga ban kuingia kwao kutokana na 'mikono yake kuwa michafu' usichukulie mchezo!
Sasa hao waliotendewa hayo kwa nini hawajaenda mshtaki? Hawakuonewa walistahili.
 


Picha inaashiria wao wenyewe hawaaminiani
 
Chadema huwa wazushi mno.

Lisu amekatiwa chake sasa yupo kimya kama hajawahi hata ishi Tanzania.
 
Billicanas ilisafishwa kama choo cha udongo
 
Chadema huwa wazushi mno.

Lisu amekatiwa chake sasa yupo kimya kama hajawahi hata ishi Tanzania.
We! Vunja mikataba halafu uone kama atakaa kimya.

Balozi wa wazungu nchini Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…