Hasa boda boda hua najiuliza wao sheria za barabara haziwahusu!Kwenye taa wanapita nduki tu ukija kwenye zebra hata km gari zimesimama ili watu wavuke boda boda wao watapita nduki tu na ndo ajali nyingi zinasababishwa na hawa.Mm naomba serikali itoe mwangalizo kwa boda yeyote atakae pita wakati taa haijaruhusu ama kutosimama kwenye zebra wakati watu wanapita akikamatwa piki piki yake ikikamatwa ni kupiga mnada.
Sheria za barabarani zilipaswa zitoe adhabu (faini) kwa waendesha vyombo pamoja na eatembea kwa miguu.
Na rushwa ingekua haichukuliwi na hawa ndugu zetu, nadhani watu wangeheshimu na kutii sheria na ajali zingepungua kwa walau 750%