Kanyawela
Senior Member
- Aug 22, 2015
- 183
- 203
Wakuu nimekuwa najiuliza tuna shida gani sisi watumia barabara hasa kwenye mataa (Trafic lights).
Mara nyingi nimeona taa zinaruhusu magari na wakati yanaanza kuondoka wanatokea watembea kwa miguu wanakatiza barabara ambayo ni hatari kwao.
Pia nimeona baadhi ya wenye magari kusimamisha magari kupisha watu wakati taa zimewaruhusu na hapo hapo zimewazuia waenda kwa miguu ili magari yapite.
Hoja yangu ni kwamba kuna uzembe tunafanya sisi waenda kwa miguu na waendesha magari.
Tunahitaji umakini kwa kuheshimu alama na taa za barabarani kuepusha ajali.
Mara nyingi nimeona taa zinaruhusu magari na wakati yanaanza kuondoka wanatokea watembea kwa miguu wanakatiza barabara ambayo ni hatari kwao.
Pia nimeona baadhi ya wenye magari kusimamisha magari kupisha watu wakati taa zimewaruhusu na hapo hapo zimewazuia waenda kwa miguu ili magari yapite.
Hoja yangu ni kwamba kuna uzembe tunafanya sisi waenda kwa miguu na waendesha magari.
Tunahitaji umakini kwa kuheshimu alama na taa za barabarani kuepusha ajali.