Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Kuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.

Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.

Kutia heshima sio kusanifu wengine.
 
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.

Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?

View attachment 1661029
Kuna kiwanja cha shilingi million 5 mjini????!!!! Kina ukubwa gani???
 
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.

Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?

View attachment 1661029
Mjini kiwanja milioni ngapi???? Au mjini Simiyu hapo sawa.
 
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.

Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?

View attachment 1661029
Usilinganishe huo upepo hapo juu na wa hapo chini
 
Kuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.

Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.
Miyeyusho sana huyo ,,,,,, but yote Tisa,kumi ghorofa ni prestige and to show you how much wealthy you are, hata ukiangalia ni maghorofa machach ni kwaajili ya kuish mengi ni maofisi na hotels,,so target ya wenye fedha sio kuish kishua Bali kuboresha office zao
 
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.

Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?

View attachment 1661029
Mimi najenga gorofa kwa sababu napenda sana design za gorofa, ndio ugonjwa wangu kwa kifupi.
 
Back
Top Bottom