Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Kuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.
Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.
Kutia heshima sio kusanifu wengine.