Kuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.
Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.
Ili niwachungulie wanaokoga na wanaotumia mabafu/vyoo vya njee[emoji23][emoji23][emoji23]
Alinambiaga baharia mmja
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuna kiwanja cha shilingi million 5 mjini????!!!! Kina ukubwa gani???Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
View attachment 1661029
Mjini kiwanja milioni ngapi???? Au mjini Simiyu hapo sawa.Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
View attachment 1661029
Nimeuliza hapo juu kumbe ushajibu....Nikisema mjini si Dar es Salaam au Arusha tu. hata Manundu Korogwe ni mjini.
Au uje huku Meatu, kiwanja laki 5 tuNimeuliza hapo juu kumbe ushajibu....
Kwa hiyo nihamie korogwe ili nikapate kiwanja cheap!
Watu wengi kutoka wapiGhorofa zinabana matumizi
Namanisha unaweza ku'accomodate watu wengi kwa kipande kidogo cha ardhi
Kigamboni ndogo lkn. Dar nzima tukihamia huko shida.Mbona hata Kigamboni viwanja viapimwa kwa bei hiyo!
Umeeeeeee. Yaani mleta mada anataka watu wahame miji mikubwa 😂😂😂😂😂Au uje huku meatu,kiwanja laki 5 tu
Ukweli ni kwamba hakuna kiwanja cha milioni tano mjini.Kuna kiwanja cha shilingi million 5 mjini????!!!! Kina ukubwa gani???
Usilinganishe huo upepo hapo juu na wa hapo chiniWazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
View attachment 1661029
Miyeyusho sana huyo ,,,,,, but yote Tisa,kumi ghorofa ni prestige and to show you how much wealthy you are, hata ukiangalia ni maghorofa machach ni kwaajili ya kuish mengi ni maofisi na hotels,,so target ya wenye fedha sio kuish kishua Bali kuboresha office zaoKuna kijana kule Tanga alikua baharia. Alirudi na pesa yake na kununua nyumba ya udongo mtaani enzi hizo. Alisema ninakwenda tena nikirudi ninajenga ghorofa niwe nina wasanifu wanaokwenda chooni na makopo ya maji nikiwa chumbani kwangu.
Mauti yalimkuta kabla hajaanza kuwasanifu wanaokwenda chooni.
Kuna upepo mmoja hatar sana hapo juu. Hauna tofauti na mtu aliyeamua kujenga kwenye kilima.Huu wa juu haujawa contaminated na uchafu wa vinyesi na mikojo.
Unahamia vyumba vya chiniUkizeeka huwezi panda juu ghorofan
Mimi najenga gorofa kwa sababu napenda sana design za gorofa, ndio ugonjwa wangu kwa kifupi.Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.
Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?
View attachment 1661029