Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #281
Ni mdogo sana, ni uonevu mtupu, Kenya mwalimu anaanza kulipwa M +Hivi mshahala wa mwalim ni pesa ngapi? tuanzie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mdogo sana, ni uonevu mtupu, Kenya mwalimu anaanza kulipwa M +Hivi mshahala wa mwalim ni pesa ngapi? tuanzie hapo
Ushauri kwa kuwaita ndugu zetu wa HKL "matapi tapi"? Come on bro!! Uwe na aibu hata kidogo, matusi ni mengi pale juu, unajaribu kuficha chuki, ila chuki haijifichi.Mimi nimewashauri, wakiona ushauri hauwafai Sawa ila wacha waendelee kukiona cha mtema kuni ili wa jifunze. Watakuja nikumbuka
Pole mkuu kama umeguswaHuna akili
Umejaza matope kichwani.
Asikali niwapili kwakudharaulikaKwa hiyo wale askari walioenda kuwaua ndugu zako pale ngorongoro ndo wanasifa nzuri mtaani?serikali yenyewe ina madeni kibao,kwa hiyo tuseme serikali haina akili kwa sababu inadaiwa?madeni sio kigezo,wewe umemaliza deni la Helsb?kama hudaiwi huna akili.
Serikali ipi inadaiwa mpaka na muuza vitumbua??Kwa hiyo wale askari walioenda kuwaua ndugu zako pale ngorongoro ndo wanasifa nzuri mtaani?serikali yenyewe ina madeni kibao,kwa hiyo tuseme serikali haina akili kwa sababu inadaiwa?madeni sio kigezo,wewe umemaliza deni la Helsb?kama hudaiwi huna akili.
Mwalimu ni mamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushavuka mto Sasa unaona Ni vema kuwatukana mambA?..
Hebu fanya kurekebisha haraka basi haya maandishi yako, kabla hujafundishwa namna ya kuandika vizuri na hao walimu wako unao wasimanga.Asikali niwapili kwakudharaulika
Kenya ina Jumla ya watu 48Milioni, tax base ni 5.5Million, with diversified capitalist economytangu mwanzoni wa miaka ya 1960, Square KM 520+KNi mdogo sana, ni uonevu mtupu, Kenya mwalimu anaanza kulipwa M +
Mwalimu una MAKASIRIKO..kuzaraulika ndiyo nini? etio nawe uko JF unaandika! Rubbish
Kwa hizi fact nimekupa salute lakini haiondoi msoto wanaoupata walimu periodKenya ina Jumla ya watu 48Milioni, tax base ni 5.5Million, with diversified capitalist economytangu mwanzoni wa miaka ya 1960, Square KM 520+K
Tanzania ina watu 62+ Milioni, tax base ni 3.9 Milioni, imeanza ku diversify uchumi into capitalistic sense miaka ya 1980s kipindi cha Free trade. [emoji3] 940+K
Bado unafananisha Kenya na Tanzania, kwanini nisiseme ni chuki ?View attachment 2272408
Alijua mtakuja na TGST zenu...Huna akili
Umejaza matope kichwani.
Mimi namsamehe Bure shida sipati mm, anapata yeyeMwalimu una MAKASIRIKO..
Poleeee na TGST yako.
Mwalimu tutafute side hustle.
Mshahara haujawahi tosha..!!!
#YNWA
Sasa itaondoaje wakati hela hamna? [emoji3]Kwa hizi fact nimekupa salute lakini haiondoi msoto wanaoupata walimu period
Were unafanya kazi gani?Asikali niwapili kwakudharaulika
Wewe unaetumia PESSIMISM WORDS huna tatizo lolote?...na ukiendeleza ujinga wako bakora zitakufuata huko huko mpwayungu bwege wew
Taja kazi yako ndugu,acha ulimbukeniAsikali niwapili kwakudharaulika