Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Zao la elimu baada ya uhuru limetokana na mfumo wa elimu wa Westminster, English fixed knowledge systems.

NI HIVI NDUGU.
Baada ya Uhuru, ni chini ya 10% tu ya Watanzania wote walikuwa wameelimika, kwa maana ya ya 3R's (Kusoma, Kuandika na Kuhesabu) mkakati wa Elimu ilikuwa ni kuondoa ujinga, yani kufundisha watu kusoma, kuandika na kuhesabu (Arithmetics) ndio wakati, target ya nchi ilikuwa hiyo tu, sio kuanza kuandaa Lucrative professions, mkakati wa miaka mitano ya mwanzo ni kupata walimu wa kuendana na population ya watu zaidi ya Milioni 12, ungewapataje?

Mwaka 1974' ukaja Mkakati wa Elimu Maalumu kwa Waliokosa (MEMKWA), ulihitaji sifa nyingi uwe Mwalimu?

Tukaja target ikawa ni kila raia awe na Elimu ya Msingi 1974-2000, Wakati huu tayari idadi wa watu imeshazidi 30 Milioni, utapataje Walimu kuendana na hiyo idadi? Na una Sh ngapi za kuwalipa? Mwenye akili ataelewa.

Ikaja target ya Elimu -2005, angalau kila mwananchi awe na elimu ya kidato cha nne, sasa tayari population ishakula 39+ M. Unapataje Walimu? Na una Sh ngapi?

Sasa hapa kwenye Sh ngapi ndio kuna mengi, Ungekuwa hata wewe ni Serikali, ili kutengeneza upatikanaji wa Walimu, ungeweka vigezo vigumu? Serikali ilifahamu, no enough money to facilitate the process, kwa ki GDP cha $40bn huwezi kulipa walimu kwa mapato ya ndani, kwa sababu wanahitajika sehemu nyingi kwenye nchi ya 940+ Sq unapaswa ku underpay, ila u facilitate service, la sivyo unaingia kwenye Financial Crisis kama serikali, nani mwenye div. 1 ambaye aliitwa na kozi kama Engineering, Law, Med ambazo ni Lucrative na Mazingira mazuri ya kazi, angeenda kusota huko "Mfaranyaki"? Serikali ingefanyaje? Kwa kuwa bado targeti ni Elimu Msingi yaani Vidudu mpaka Form IV, unaweza kurahisha access ya kozi za elimu, ili ku ensure quantity, japo the larger the quantinty the lower the quality.


Mimi ni Mwalimu bro, am Teaching the Children of the in-penury, hawana hela ya kunilipa, thats the truth, but the service am giving is incomparable irrespective of my quo.

Ila kwa kuwa pesa ndio heshima, hakuna namna, acha tukope, kwa sababu kwa mapato ya wananchi, hatuwezi kuacha [emoji3]

Samia kaona watu wana hoji sana, kaona akae upande wao, kwa sbabu hiyi ni Political capital, ila anajua why this all.

We only need minds.
Umeandika kitaalam sana, hongera. Vijana wa sasa hawawezi kujua hili.
 
Walimu ni watu muhimu sana kwenye jamii
Nimesikitika sana na watu wanaodiriki kuwadharau walimu!!!
Nchi yeyote inayodharau walimu haiwezi kuendelea hata kidogo!!
Walimu ndio waliotulea ndo wametundisha kila kitu na hivi tulivyo ni Hawa walimu halafu tunathubutu kuwatukana????
Hivi mwalimu anaesoma degree anakuwaje na ufaulu mdogo???
Hawa wanaosoma nursing, au clinical officer unazijua passmark zao? Unajua wanakwenda jeshini au polisi Wana ufaulu gani?
Nchi hii imeongozwa na walimu mpaka level ya Urais kwa awamu Tatu, Nyerere, Mwinyi na Magufuli na bado Kuna walimu Wana positions za uwaziri , wabunge, na maafisa wengine wengi tu! Unajua mwalimu mwenye degree anaanza na mshahara wa shs, ngapi? Walimu Wana maendeleo makubwa sana tofauti na mtoa mada, wapo walimu wameidhalilisha hii taaluma nakubali kwa baadhi ya wanaokopakopa ovyo mitaani hao wapo ! Tuheshimu hii kada aisee ni kada muhimu sana tukiharibu huku nchi inakufa hii!
Walimu Wana nyumba, magari, biashara, mashamba nk sijui labda anawazumgumzia walimu wa miaka ipi?
 
Ukiona mwalimu kashika chupa ya maji ujue katoka kwenye harusi au semina,kwa mshahara upi anunue maji.
We[emoji38][emoji38] jamaa jinga sana ujue?

Unaowasema ni pamoja na wale ma-assistant tutorials, tutorials, lecturers, na phd holders au ni walimu wa level ipi?

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi kabisa, walimu wengi Elim zao zakuungaunga
Si kama elimu yako tu mkuu, kuna Uzi ulileta humu kuwa unataka kufanya maombi ya Ualimu ngazi ya bachelor na una GPA ya 3.6 ya Ualimu ngazi ya Diploma

Kwahiyo kiufupi nawewe unaingia kwenye kundi la unaowaita walimu wenye Elimu ya kuunga unga, maana nawewe ulikuwa unataka kuunga unga

Wewe ni mwalimu na huupendi ualimu wako either kutokana na kusota sana mtaani bila kazi, sasa Hasira zako umeamua kuzihamishia kwa walimu wenye Ajira

Naomba nikuulize tu mkuu, kwani Nani alikushauri ukasome Ualimu Diploma na sio course zingine kama Clinical officer nk, au nawewe ndio wale wa form four failure?
 
Naona huu uzi pia unaendeleza kilekile. "dharau dhidi yao".
 
Mzee unabishana na mtoto wa 97 aliejion JamiiForums mwaka jana 2021

Imagine[emoji4]

Unajua kuna threads tu ukiisoma tu hapohapo unapata jibu huyu kichwani akili haimo

Eh akili haimo...
Miaka haina nafasi kubwa katika akili mkuu,huyo ni upumbavu wake mwenyewe mimi nikimleta mdogo wangu darasa la 4 hapa Jf anaweza kuleta vitu vya maana na hoja za busara kumshinda Mpwayungu
 
Sijawahi mkubali huyu kenge mpwayungu village ila alichoongea ni ukweli kabisaaa


Maticha na mapoti acheni ufala ebu badilisheni hizo lifestyle

Mnafeli sana yaani mnaishia kuvaa kadeti zimepauka balaaa
 
Akili zetu sisi watu weusi kutokuelewa kwamba waalimu ni watu muhimu sana.
 
Back
Top Bottom