Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ukiwa na D nne tu form four unakuwa na sifa ya kusoma kozi Nyingi tu Kwa ngazi ya Diploma 3 years,ila ualimu bila division three mpaka one huendi.Sasa hapo wapi wanachukuliwa wenye ufaulu wa chini?
Clinical officer wakiwa wakina na D nne wanasoma ualimu siku hizi mwisho three ya 25
 
Siwezi kuwasema vibaya walimu kwa sababu naheshimu sana mchango mkubwa kwangu.
Nimeishi kwa walimu darasa la sita hadi la saba.

Kama kuna mapungufu yanayoonekana kwao basi ni kutokana na wao kuwa binadamu tu, lakini si kwa sababu ya ualimu wao.
 
pamoja na kipato chao kidodgo,lakini waalimu wengi ata wakistaafu unakuta washajenga nyumba zaidi ya moja,wana mashamba na miradi midogodogo inayofanya waishi,bila kusahau wapangaji,lakini hao wanaojifanya wana fani marketable wengi wao wakistaafu wanatia huruma sana kwaajili ya bata,nakutokana style ya maisha wanawaharibu mpaka watoto wao,lakini walimu watoto wao nao wanakuja kuwasapoti,kwani mtoto wa mwlimu anafundishwa stadi za maisha,lakini hao wapiga pamba,wanawapeleka watoto wao kula bata,ni adimu sana kukuta mtoto wamwalimu ni shoga,mla unga au malaya kutokana na mkono wa chuma wa wazai wao,tukija swala la muda,mwalimu anawai kufika nyumbani kutokana na kumaliza majukumu yao mapema, pia anashindwa kwenda kula bata za gharama,ila sanasana ataingia kwenye ubanda na ka elf 5 yake na kunywa pombe za nafaka kama mbege au komoni ikiisha huyoo home,lakini hawa wapiga pamaba wanachelewa kutoka job kutokana na majukumu mengi,na akitoka hapo anaingia barna anaweza kumaliza ata lakini moja kwa siku akiwa na jamaa huku ajui kinachoendelea nyumbani,na akifanikiwa kujenga nyumba inafanyiw a finishing ya gharama mno,nje badala kupanda mbogamboga anapanda maua,kama anafuga mbwa na eni gharama sana kumtunza aisee na mara nyingi ni wachache sana wanawekeza kwenye ardhi,lakini mwalimu,nyumba yake akishapiga lip na kuezeka imeisha hiyo,mabanda ya uani kajaza mifugo,nje badala ya kupanda maua utakuta mbogamboga za kila aina....unaona buana!!!
 
kuna watu wanashangaza sana, Walimu na Madaktari wanaongoza kwenye hili, Yani wao wanafanywa kazi na kulipwa mishahar kabisa, Ila bado huwa wana demand heshima ya ziada kwa jamii. Ni wapuuzi kabisa

Kama wana hitaji kweli heshima basi hizo huduma wanazozitoa wakubali kuzitoa bila ya malipo hapo ndipo tutakapojua kama wao wapo kwa ajili ya kusaidia jamii.
 
Bora umenisaidia kuongea hili, heshima kwako
 
Anaongea mtu aliyeshindwa kulipa ada ya Sh 20k kuchangia elimu mpaka serikali ikaondoa, halafu anataka kutumia kigezo kingine mbali na pesa kutengeneza heshima kwenye mfumo wa kibepari.

Ukisikia mataifa wanapambana na Ujinga, wanamaanisha kuondoa kundi kama hili. [emoji3][emoji3]
 
Walimu wanaaibisha utumishi wa umma.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…