Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,Kichaa huwa kina idara mwingine kichaa chake kinakuwa kuzunguka mji mzima akiokota takataka.Mwingine kichaa chake kutembea uchi muda wote
Mleta mada kichaa chake kiko kwenye kuporomoshea matusi walimu
Ni kichaa kama vichaa wengine chake kiko idara ya kuporomoshea matusi walimu muda wote
Ndigu zake wampeleke Mirembe .Naongea sitanii .Huyo mleta mada ana kichaa kamili kabisa sio siri
Mimi Sijaona tusi lolote ambalo mpwayungu ametukana anacho kieleza mpwayungu Ni FACT
FACT inaweza kua correct or wrong tatizo lipo hapo...