Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Kichaa huwa kina idara mwingine kichaa chake kinakuwa kuzunguka mji mzima akiokota takataka.Mwingine kichaa chake kutembea uchi muda wote

Mleta mada kichaa chake kiko kwenye kuporomoshea matusi walimu

Ni kichaa kama vichaa wengine chake kiko idara ya kuporomoshea matusi walimu muda wote

Ndigu zake wampeleke Mirembe .Naongea sitanii .Huyo mleta mada ana kichaa kamili kabisa sio siri
Mkuu,
Mimi Sijaona tusi lolote ambalo mpwayungu ametukana anacho kieleza mpwayungu Ni FACT

FACT inaweza kua correct or wrong tatizo lipo hapo...
 
Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake

Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara

Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba

Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
Huu utafiti wako ni wa uongo/wa kufikirika. Maana kama ungekuwa ni utafiti wa kweli, basi ungetuwekea na makundi ya wastaafu wengine katika jamii!

Kwa kitendo chako cha kulijadili kundi moja pekee la wastaafu (walimu), ni ushahidi tosha hii mada yako imejikita zaidi kwenye porojo/kufurahisha watu, kuliko ukweli.
 
Kuna ukweli maana wengi wao tunawaona wanavyohangaika mtaani wanatia huruma.
Hao wastaafu mnawaona wanahangaika mtaani wakiomba omba, au wakiokota makopo na kwenda kuyauza?

Vijana achaneni na hizi porojo zenu. Maana haziwasaidii chochote. Mnakaa vijiweni hamna kazi! Kutwa ni kufuatilia tu maisha ya watu.

Halafu msifikiri huko mtaani mnaishi nyinyi tu! Hata sisi wazee wenu pia tunaishi huko huko, ila hatujawahi kuzishuhudia hizi porojo zenu za uongo mnazotaka kuaminisha watu hapa.
 
Huu utafiti wako ni wa uongo/wa kufikirika. Maana kama ungekuwa ni utafiti wa kweli, basi ungetuwekea na makundi ya wastaafu wengine katika jamii!

Kwa kitendo chako cha kulijadili kundi moja pekee la wastaafu (walimu), ni ushahidi tosha hii mada yako imejikita zaidi kwenye porojo/kufurahisha watu, kuliko ukweli.
Huyu mpwa ni mpuuzi 100%
 
Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustaafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake

Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara

Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba

Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustaafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
😀 😀 😀 😀 😀
 
Mkuu,
Mimi Sijaona tusi lolote ambalo mpwayungu ametukana anacho kieleza mpwayungu Ni FACT

FACT inaweza kua correct or wrong tatizo lipo hapo...
Fact iko wapi? Angesema baadhi ya walimu
Anaongea utafikiri ana taarifa za walimu waliostaafu wote nchi nzima.

Alichoandika ni wehu .Hizo takwimu za walimu wote nchi nzima waliostaafu alifanya lini? Hata wewe unayesema kaandika fact jitathmini uwezo wako wa akili yako
 
Walichowahi kukufanyia walimu kitakuathiri miaka yako yote.
Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustaafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake

Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara

Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba

Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustaafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
Hata askari police,jw,zimamoto,magereza
 
Fact iko wapi? Angesema baadhi ya walimu
Anaongea utafikiri ana taarifa za walimu waliostaafu wote nchi nzima.

Alichoandika ni wehu .Hizo takwimu za walimu wote nchi nzima waliostaafu alifanya lini? Hata wewe unayesema kaandika fact jitathmini uwezo wako wa akili yako
Tchaaa 😂😂😂😂

Ma ticha huwa mnapanic Sana sijui kwanini???
mpwayungu njoo huku umjibu huyu tchaa

Mimi sikukuambia uwe tchaaa 😂😂😂😂😂

Tchaa angalia usijerusha ngumi 😊😊😊😂😂
 
Back
Top Bottom