Simpleboylife
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 634
- 1,247
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukweli maana wengi wao tunawaona wanavyohangaika mtaani wanatia huruma.Walichowahi kukufanyia walimu kitakuathiri miaka yako yote.
Chuki ya wazi kabisa.Walichowahi kukufanyia walimu kitakuathiri miaka yako yote.
Na nusuMbwaaaaa
Kufa mapema ndo ninachotaka kukijua. Ninyi mlitaka wahangaike wapi?Kuna ukweli maana wengi wao tunawaona wanavyohangaika mtaani wanatia huruma.
Hana tofauti na mchawi.Yaani unaumizwa na maisha ya walimu kuliko hata ya wasio na kibarua chochote.
Mpwa is back 😂😂😂😅😅Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake
Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara
Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba
Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
Jamaa Huyu ni mjingaKwa hayo uliyoyasema sio walim tu hata kada nyingi ni ivo ivo tunawaona mtaani huku kifupi n kwamba maisha ya mstaafu ambae n mtumishi huwa n magum kwa wote wengi wanajenga kwa hela za kustaafia mtaani huku shida walim n wengi ndo mnaona ivo pumbavu zako mtoa mada una pigo za kina juma lokole
Bila picha na ivyo vitega uchumi tuvione hii comment yako Ni porojo😊😊😊😊😊😊Wewe mpumbavu maisha ni jinsi MTU anavyopangilia
MBNA Kuna waalimu Hao Hao miaka 5 tu kazini Wana nyumba,na baadhi ya vitega uchumi?
Mkuu,Jamaa Huyu ni mjinga
Hajui maisha ni jinsi MTU anavyopangilia,MBNA watumishi wengi tu wanajenga mapeema?
Kichaa huwa kina idara mwingine kichaa chake kinakuwa kuzunguka mji mzima akiokota takataka.Mwingine kichaa chake kutembea uchi muda woteWalichowahi kukufanyia walimu kitakuathiri miaka yako yote.
Hatimae nimekuelewa.Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake
Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara
Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba
Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo