Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Mkuu,
Mimi Sijaona tusi lolote ambalo mpwayungu ametukana anacho kieleza mpwayungu Ni FACT

FACT inaweza kua correct or wrong tatizo lipo hapo...
 
Huu utafiti wako ni wa uongo/wa kufikirika. Maana kama ungekuwa ni utafiti wa kweli, basi ungetuwekea na makundi ya wastaafu wengine katika jamii!

Kwa kitendo chako cha kulijadili kundi moja pekee la wastaafu (walimu), ni ushahidi tosha hii mada yako imejikita zaidi kwenye porojo/kufurahisha watu, kuliko ukweli.
 
Kuna ukweli maana wengi wao tunawaona wanavyohangaika mtaani wanatia huruma.
Hao wastaafu mnawaona wanahangaika mtaani wakiomba omba, au wakiokota makopo na kwenda kuyauza?

Vijana achaneni na hizi porojo zenu. Maana haziwasaidii chochote. Mnakaa vijiweni hamna kazi! Kutwa ni kufuatilia tu maisha ya watu.

Halafu msifikiri huko mtaani mnaishi nyinyi tu! Hata sisi wazee wenu pia tunaishi huko huko, ila hatujawahi kuzishuhudia hizi porojo zenu za uongo mnazotaka kuaminisha watu hapa.
 
Huyu mpwa ni mpuuzi 100%
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Mkuu,
Mimi Sijaona tusi lolote ambalo mpwayungu ametukana anacho kieleza mpwayungu Ni FACT

FACT inaweza kua correct or wrong tatizo lipo hapo...
Fact iko wapi? Angesema baadhi ya walimu
Anaongea utafikiri ana taarifa za walimu waliostaafu wote nchi nzima.

Alichoandika ni wehu .Hizo takwimu za walimu wote nchi nzima waliostaafu alifanya lini? Hata wewe unayesema kaandika fact jitathmini uwezo wako wa akili yako
 
Walichowahi kukufanyia walimu kitakuathiri miaka yako yote.
Hata askari police,jw,zimamoto,magereza
 
Tchaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ma ticha huwa mnapanic Sana sijui kwanini???
mpwayungu njoo huku umjibu huyu tchaa

Mimi sikukuambia uwe tchaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tchaa angalia usijerusha ngumi πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…