Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Wewe ndoumeropoka, kama shule ni nyingi mbona walimu tunao wengi hawaajiriwi unataka kuniambia mtu anaenda kusoma ualimu baada ya kujua shule zipo nyingi kijijini??, teacher education is the only way to go when someone fails to qualify another program, MD wanataka one, engineering wanataka uwe umefaulu na umesoma PCM nk, sheria bila kuwa na one iliyonyooka huendi, ila ualimu mpaka four ya mwishoni unaenda
Sawa sasa tufeli sisi makasiriko uwe nayo wew😂😂,tumefeli lkn ninacheck nambayngu na kufeli kwangu mshahara unaingia
 
Wew mwenyew hujitambui ujasiri unautoa wapi wa kutaka walimu wajitambue shida ya kuwa jobless kuanza kuchunguza maisha ya wtu maana umeandika maelezo Hadi ynachosha huo mda uliokuwa unatumia kuchunguza upuuzi ungekuwa unakazi za kufanya usingeupata
Wewe kama una kazi mbona unatumia mda mwingi kusoma uzi na komenti, akili zenu tayari zishaanza kuonekana wazi, hamko reasonable mtashika chaki mpaka miaka 60 mkipewa kiinua mgongo kinaishia kwenye ujenzi
 
Sawa sasa tufeli sisi makasiriko uwe nayo wew[emoji23][emoji23],tumefeli lkn ninacheck nambayngu na kufeli kwangu mshahara unaingia
Mshahara ambao hata kuishi mjini huwezi, laki tano nayo pesa, hata machinga wa manzese hiyo pesa haimtoshi ndomana pesa yenu iko fixed bajeti inaishia kwenye kulisha Familia tu, nenda kidimbwi au samaki samaki ukatumie hata laki moja tuone kama siku zilizobaki utasavive bila madeni kwa mangi. Danganya wengine sio mm, nakaa na mwalimu mm nafanya biashara zangu kitaa ila kila siku analia shida namsaidia tu huku namwonea huruma maana ni kama serikali imewafanya special group mnaenda mliofeli
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaidi vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Katika utafiti wako ni kada ipi yenye watumishi wengi kati ya hizo ulizotaja?
 
Wewe kama una kazi mbona unatumia mda mwingi kusoma uzi na komenti, akili zenu tayari zishaanza kuonekana wazi, hamko reasonable mtashika chaki mpaka miaka 60 mkipewa kiinua mgongo kinaishia kwenye ujenzi
Mwalimu wa zamni unaezungumzia wew walimu wapo Wana maisha mazuri na hawako hivo unavodhani wew
Alafu nachat navopenda

Naomba wanipe nikiwa na miaka 100
Yan Ile sijiwez
Tuonyeshe iyo nyumba yako ulojenga punguza wivu tafuta kazi ufanye
 
Mshahara ambao hata kuishi mjini huwezi, laki tano nayo pesa, hata machinga wa manzese hiyo pesa haimtoshi ndomana pesa yenu iko fixed bajeti inaishia kwenye kulisha Familia tu, nenda kidimbwi au samaki samaki ukatumie hata laki moja tuone kama siku zilizobaki utasavive bila madeni kwa mangi. Danganya wengine sio mm, nakaa na mwalimu mm nafanya biashara zangu kitaa ila kila siku analia shida namsaidia tu huku namwonea huruma maana ni kama serikali imewafanya special group mnaenda mliofeli
Sasa mshahara wangu wew makasiriko ya Nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata ikiwa laki ya mwalimu sio yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Samaki samaki ya nyokwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna taifa linaloweza kusimama bila elimu bora na walimu ndiyo injini ya maarifa na ukombozi katika jamii yo yote ile.

Ningefurahi sana kama badala ya kuwasema na kuwasimanga hivi ungetoa mapendekezo ya jinsi ya kuboresha maisha yao na elimu yetu kwa ujumla. Sidhani kama matatizo yote waliyonayo ni self inflicted. Mengi ni ya kimfumo tu na yanatokana na jamii isiyojali elimu ya watu wake.

Walimu ni watu wa muhimu sana basi tu [emoji1545]
 
Mshahara ambao hata kuishi mjini huwezi, laki tano nayo pesa, hata machinga wa manzese hiyo pesa haimtoshi ndomana pesa yenu iko fixed bajeti inaishia kwenye kulisha Familia tu, nenda kidimbwi au samaki samaki ukatumie hata laki moja tuone kama siku zilizobaki utasavive bila madeni kwa mangi. Danganya wengine sio mm, nakaa na mwalimu mm nafanya biashara zangu kitaa ila kila siku analia shida namsaidia tu huku namwonea huruma maana ni kama serikali imewafanya special group mnaenda mliofeli
Kwaiyo unatka tukushauri tuache kufundisha tukauze mitumba manzese jifunze kuheshimu kazi za watu alafu unajishushia heshima Sana sijui unaona ufahari gani kila nyuzi zako kuitwa kilaza huna akili jifunze kujiheshimu jifunze kuangalia kipi unandike kipi uache unajishushia heshima Sana sema ndo tushakuwa walimu haibadilishi kitu na tutafundisha na kuuza mitumba hatuuz hta tulipwe elf 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna taifa linaloweza kusimama bila elimu bora na walimu ndiyo injini ya maarifa na ukombozi katika jamii yo yote ile.

Ningefurahi sana kama badala ya kuwasema na kuwasimanga hivi ungetoa mapendekezo ya jinsi ya kuboresha maisha yao na elimu yetu kwa ujumla. Sidhani kama matatizo yote waliyonayo ni self inflicted. Mengi ni ya kimfumo tu na yanatokana na jamii isiyojali elimu ya watu wake.

Walimu ni watu wa muhimu sana basi tu [emoji1545]
Hujaona solution niliyotoa? Nimesema hivi

Watu waende kusoma ualimu waliofaulu tu

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine, mfumo wa written na oral interview upo kwenye shule za private.

Wakishafanya hayo walimu watastahiri kupewa mshahara kama kada zingine.
 
KIPATO.
Ukifunga Mithali utakutana na mstari unaosema,"Pesa ni jawabu la mambo yote"
Though walimu wa siku hizi sio kiivyo labda wa bush
 
Kwaiyo unatka tukushauri tuache kufundisha tukauze mitumba manzese jifunze kuheshimu kazi za watu alafu unajishushia heshima Sana sijui unaona ufahari gani kila nyuzi zako kuitwa kilaza huna akili jifunze kujiheshimu jifunze kuangalia kipi unandike kipi uache unajishushia heshima Sana sema ndo tushakuwa walimu haibadilishi kitu na tutafundisha na kuuza mitumba hatuuz hta tulipwe elf 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Let me stop, I can't urgue with a foool
 
Let me stop, I can't urgue with a foool
Kaa hapohapo sijamaliza
Jifunze kujiheshimu alafu always hta vidole vya mikono havifanani na ndivyo maisha yalivyo na hta kazi hatuwez somea wote udaktari au wote tufanye biashara lazima kuwe na utofauti ili mzunguko uende sawa na tunategemeana
Walimuwengi lkn hatufanani mishahara pia hatufanani majukumu kifamilia usipende kuropoka

Unajishushia heshima kuitwa kilaza mtu mzima na ndevuzako ni aibu...
 
Back
Top Bottom