misedemideheki
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 246
- 448
Nani amemdharau mwalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma uelewe kijana, yaani umeiona 500k tu bila kusoma maelezo?Hasa laki tano inatosha kuishi standard life kwa mujibu wa human development index??
Pole Sana mwalimukuwaelewa watanxania especially watu wa jamii forum ni ngumu sana,wengi wanamaisha mazuri wengi wana magari.wameoa pisi kali,sisi walimu ndo tunadharauliwa sawa tu
sasa unawaonea wivu mpaka kwenye sensa unataka madaktari wakahesabu sensa,emu soma kidogo kanuni za utumishi wa umma,likizo ya mtumishi ni mara moja kwa mwaka inamaana siku zingine inabidi awepo ofisini,ye mwalimu anakuwa na likizo zisizo rasmi kutokana na wateja wake ambao ni wanafunzi,acha chuki wa jobless na hopeless mi nshawazoea wala hamnishughulishi
ile ilikua ni chai ya sukari guruLeo hii unaidharau kazi ya ualimu wakati ulienda lindi ili ufanye kazo ya walimu bure bila kulipwa chochote ili tu upate pa kulala..
Sio kweli, one ya PCB haendi ualimu hata umwekee bunduki kifuaniUnaona huko sawa lakini mtafute mtaalamu Wa afya ya akili. Unaongelea walimu wa miaka gani? Nimesoma ualimu na division 2 PCB, nimeenda chuo nimekuta division one PCB na two za kutosha. Hebu tuone matokeo yako ya form six na hiyo HKL yako unadhani walishindwa kusoma hiyo HKL yako unayotupigia nayo kelele humu?
Walimu wengi wanajitambua wengi wamefungua miradi, wanafanya shughuli za kimaendeleo sasa sijui wewe unacho kipi cha kuwazidi hao walimu.
NOTE
Watu wengi wanasoma ualimu kwa sababu ya unafuu wa ada kupunguza mzigo nyumbani unadhani watu hawataki kwenda kcmc? Au kairuki? Au IMTU? au Bugando? Hata hawa ngazi ya chini unadhani wanashindwa kwenda vyuo vya afya? Shida ni umaskini wanakimbilia palipo nafuu.
Tatizo sio waliofeli mkuu,shida inaanzia kwenye mikopo ya elimu:ualimu ndo kozi inayopewa priority kubwa kupata mkopo,nambie mtt wa mkulima kijijini ataweza kusoma mechanical engineering,law au finance ajigharimie?Hili hata Samia juzi kasema zanzibar, amesema moja ya vitu serikali ili fanya makosa nikuchukua waliofeli wakasome ualimu, ndio maana ni wengi mitaani wapo zaidi ya laki tano Hao bado hawana ajira
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.
Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.
Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.
Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.
Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,
Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaidi vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.
Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Huyu anaugua akili achana nae... ajabu ni kwamba kauliza sababu pale juu halafu huku chini akazitiririka vya kutosha sasa sijui swali lile la ninikuwaelewa watanxania especially watu wa jamii forum ni ngumu sana,wengi wanamaisha mazuri wengi wana magari.wameoa pisi kali,sisi walimu ndo tunadharauliwa sawa tu
sasa unawaonea wivu mpaka kwenye sensa unataka madaktari wakahesabu sensa,emu soma kidogo kanuni za utumishi wa umma,likizo ya mtumishi ni mara moja kwa mwaka inamaana siku zingine inabidi awepo ofisini,ye mwalimu anakuwa na likizo zisizo rasmi kutokana na wateja wake ambao ni wanafunzi,acha chuki wa jobless na hopeless mi nshawazoea wala hamnishughulishi
Mbona wanapewa mikopo mpaka wanaosoma human resources mkuu, hakuna course siku hizi zisizopewa mkopo unless uwe umetoka school of tanganyikaTatizo sio waliofeli mkuu,shida inaanzia kwenye mikopo ya elimu:ualimu ndo kozi inayopewa priority kubwa kupata mkopo,nambie mtt wa mkulima kijijini ataweza kusoma mechanical engineering,law au finance ajigharimie?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Eti Sasa sijui swali aliuliza la nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu anaugua akili achana nae... ajabu ni kwamba kauliza sababu pale juu halafu huku chini akazitiririka vya kutosha sasa sijui swali lile la nini
Naona mmeamua tukuchambaKwa sasa kipato ndio kinakupa heshima mtaani na sio kazi yake. Kiuhalisia walimu wengi wana vipato vya kawaida sana, wanaongoza kukopa kwenye duka la mangi, wanaongoza kuomba lift, hawana swaga za matumizi ya pesa nk. Hapo heshima itatokea wapi?
Sophy naww ni mwalimu [emoji1][emoji1][emoji1]Naona mmeamua tukuchamba
Ulikuwa na nia nzuri ya kuelezea matatizo ya walimu, lakini kebehi zimezidi.Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.
Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.
Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.
Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.
Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,
Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaidi vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.
Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Kebehi kama zipi hizo kiongoziUlikuwa na nia nzuri ya kuelezea matatizo ya walimu, lakini kebehi zimezidi.
Tatizo unatanguliza kubishana mbele darasa letu tuliosoma physics tulikua 120 na hakuna aliepata three nawajua wengi tu wenye one.Sio kweli, one ya PCB haendi ualimu hata umwekee bunduki kifuani
Ni asilimia 0.0000000000000000000000001Ta
Tatizo unatanguliza kubishana mbele darasa letu tuliosoma physics tulikua 120 na hakuna aliepata three nawajua wengi tu wenye one.
NAKUKUMBUSHA TU WAPO WENYE TWO PCB WALISOMA UDAKTARI KAIRUKI, IMTU, ST FRANCIS N.K SIO KWAMBA WALIOSOMA UALIMU WAMEFELI