Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Hakuna wafanyakazi wa Serikali ambao kichwani ni weupe kama waalimu ni haki yao kudharauli.

1. Imagine ...Mtu aliyemaliza sekondari ya kata kafanyiwa mchakato tu huko na ndugu na jamaa kwa sababu kaonekana kichwani hamna kitu ...Kapelekwa Kondoa Teachers college Ili aje akufundishie mtoto wako awe Pilot! Hivi mnanielewa?


2. Nimebahatika kuwa na Shemeji Mwalimu
Alikuwa anakuja na maswali aliyoulizwa na watoto shuleni kuja nimpe majibu Ili awapelekee kesho yake ....aliyaweka pending [emoji3] Huwa anawaambia watoto kwa sababu ya muda tutaendelea kesho fanyeni hiyo kazi hapo ubaoni kwanza[emoji23]

Mtoto alimuuliza Mwalimu kwa Nini Tanzania na Rwanda zinapishana lisaa limoja dakika zile zile
Mtoto alisikia kwende Taarifa ya habari ya saa saba mchana DW ya ujerumani
Shemeji anasema siku Ile watoto wengi walisubiria hilo jibu sana
Anakuambia hakuna siku ilikuwa ngumu kama Ile

3. Kazi ya Ualimu ni laana ..Ukiona mtu anajivunia mkopo wa Serikali ambao anakatwa kwenye mshahara wake na kumfanya aishi maisha magumu na wengine tunaona hadi wanajiuza miili yao elewa kuna tatizo mahali flani

SWALI LANGU NAJIULIZA KILA SIKU

Hivi Serikali inanufaika Nini
Watu wasio na sifa ndio wategemewe kuzalisha Viongozi wa nchi?
Okay Iko hivi angalia Hali ya ufahamu wa mwalimu then kesho kutwa usikie kazalisha waziri wa Nishati unategemea nini? asanteni.
Hii nchi tuna janga kubwa. Kwa hiyo ukilaza wa shemeji yako ndio una generalize watu wote. Muhaweshimu basi hata kwa kazi ya kukaa tu na watoto wetu
 
Screenshot_20220626-090653.jpg
 
Hakuna wafanyakazi wa Serikali ambao kichwani ni weupe kama waalimu ni haki yao kudharauli.

1. Imagine ...Mtu aliyemaliza sekondari ya kata kafanyiwa mchakato tu huko na ndugu na jamaa kwa sababu kaonekana kichwani hamna kitu ...Kapelekwa Kondoa Teachers college Ili aje akufundishie mtoto wako awe Pilot! Hivi mnanielewa?


2. Nimebahatika kuwa na Shemeji Mwalimu
Alikuwa anakuja na maswali aliyoulizwa na watoto shuleni kuja nimpe majibu Ili awapelekee kesho yake ....aliyaweka pending [emoji3] Huwa anawaambia watoto kwa sababu ya muda tutaendelea kesho fanyeni hiyo kazi hapo ubaoni kwanza[emoji23]

Mtoto alimuuliza Mwalimu kwa Nini Tanzania na Rwanda zinapishana lisaa limoja dakika zile zile
Mtoto alisikia kwende Taarifa ya habari ya saa saba mchana DW ya ujerumani
Shemeji anasema siku Ile watoto wengi walisubiria hilo jibu sana
Anakuambia hakuna siku ilikuwa ngumu kama Ile

3. Kazi ya Ualimu ni laana ..Ukiona mtu anajivunia mkopo wa Serikali ambao anakatwa kwenye mshahara wake na kumfanya aishi maisha magumu na wengine tunaona hadi wanajiuza miili yao elewa kuna tatizo mahali flani

SWALI LANGU NAJIULIZA KILA SIKU

Hivi Serikali inanufaika Nini
Watu wasio na sifa ndio wategemewe kuzalisha Viongozi wa nchi?
Okay Iko hivi angalia Hali ya ufahamu wa mwalimu then kesho kutwa usikie kazalisha waziri wa Nishati unategemea nini? asanteni.
Ndugu yangu Semahengere umeongea ukweli mtupu, shida ilianzia hapo kusema mwalimu aende aliefeli. Hata nyumbani wakiona umefeli wanakwambia basi nenda tu ukasome ualimu maana hakuna namna. Ndio maana wiki iliyopita Samia akiwa zanzibar alisema swala la mtu kufeli akasome ualimu hilo lilekebishwe.
 
Hakuna wafanyakazi wa Serikali ambao kichwani ni weupe kama waalimu ni haki yao kudharauli.

1. Imagine ...Mtu aliyemaliza sekondari ya kata kafanyiwa mchakato tu huko na ndugu na jamaa kwa sababu kaonekana kichwani hamna kitu ...Kapelekwa Kondoa Teachers college Ili aje akufundishie mtoto wako awe Pilot! Hivi mnanielewa?


2. Nimebahatika kuwa na Shemeji Mwalimu
Alikuwa anakuja na maswali aliyoulizwa na watoto shuleni kuja nimpe majibu Ili awapelekee kesho yake ....aliyaweka pending [emoji3] Huwa anawaambia watoto kwa sababu ya muda tutaendelea kesho fanyeni hiyo kazi hapo ubaoni kwanza[emoji23]

Mtoto alimuuliza Mwalimu kwa Nini Tanzania na Rwanda zinapishana lisaa limoja dakika zile zile
Mtoto alisikia kwende Taarifa ya habari ya saa saba mchana DW ya ujerumani
Shemeji anasema siku Ile watoto wengi walisubiria hilo jibu sana
Anakuambia hakuna siku ilikuwa ngumu kama Ile

3. Kazi ya Ualimu ni laana ..Ukiona mtu anajivunia mkopo wa Serikali ambao anakatwa kwenye mshahara wake na kumfanya aishi maisha magumu na wengine tunaona hadi wanajiuza miili yao elewa kuna tatizo mahali flani

SWALI LANGU NAJIULIZA KILA SIKU

Hivi Serikali inanufaika Nini
Watu wasio na sifa ndio wategemewe kuzalisha Viongozi wa nchi?
Okay Iko hivi angalia Hali ya ufahamu wa mwalimu then kesho kutwa usikie kazalisha waziri wa Nishati unategemea nini? asanteni.
Weka salary slip yako hapa,hayo ni maneno yasiyoliwa jomba
 
Hakuna wafanyakazi wa Serikali ambao kichwani ni weupe kama waalimu ni haki yao kudharauli.

1. Imagine ...Mtu aliyemaliza sekondari ya kata kafanyiwa mchakato tu huko na ndugu na jamaa kwa sababu kaonekana kichwani hamna kitu ...Kapelekwa Kondoa Teachers college Ili aje akufundishie mtoto wako awe Pilot! Hivi mnanielewa?


2. Nimebahatika kuwa na Shemeji Mwalimu
Alikuwa anakuja na maswali aliyoulizwa na watoto shuleni kuja nimpe majibu Ili awapelekee kesho yake ....aliyaweka pending [emoji3] Huwa anawaambia watoto kwa sababu ya muda tutaendelea kesho fanyeni hiyo kazi hapo ubaoni kwanza[emoji23]

Mtoto alimuuliza Mwalimu kwa Nini Tanzania na Rwanda zinapishana lisaa limoja dakika zile zile
Mtoto alisikia kwende Taarifa ya habari ya saa saba mchana DW ya ujerumani
Shemeji anasema siku Ile watoto wengi walisubiria hilo jibu sana
Anakuambia hakuna siku ilikuwa ngumu kama Ile

3. Kazi ya Ualimu ni laana ..Ukiona mtu anajivunia mkopo wa Serikali ambao anakatwa kwenye mshahara wake na kumfanya aishi maisha magumu na wengine tunaona hadi wanajiuza miili yao elewa kuna tatizo mahali flani

SWALI LANGU NAJIULIZA KILA SIKU

Hivi Serikali inanufaika Nini
Watu wasio na sifa ndio wategemewe kuzalisha Viongozi wa nchi?
Okay Iko hivi angalia Hali ya ufahamu wa mwalimu then kesho kutwa usikie kazalisha waziri wa Nishati unategemea nini? asanteni.
Swali dogo kwako, Ulisomea Hospitali, Jeshini au TRA? Kama ulisomea Shuleni ulipata wapi huo ufahamu wa kumsadia Shemeji yako maswali aliyoulizwa na wanafunzi wake? Ukichunguza shemeji yako ndio nweupe kichwani na sio Walimu wote, na kama unataka kusema walimu wote ni failures basi hujui kitu.
Wale waliosoma UDSM na vyuo vingine vikuu kabla ya hili wimbi la vyuo vikuu vya private kuja, onyesha walimu waliojiunga wakiwa na matokeo pungufu ya Div 2 tu, halafu tutakuonyesha waliokuwa wanasoma course nyingine wakiwa na Div 3, sasa hapo ndio utajua nani mweupe kichwani.
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Huna hata kazi unaleta dharau kwa wenye ajira,
 
Ndugu yangu Semahengere umeongea ukweli mtupu, shida ilianzia hapo kusema mwalimu aende aliefeli. Hata nyumbani wakiona umefeli wanakwambia basi nenda tu ukasome ualimu maana hakuna namna. Ndio maana wiki iliyopita Samia akiwa zanzibar alisema swala la mtu kufeli akasome ualimu hilo lilekebishwe.
Ni vyuo vipi vimeonesha sifa za kusoma ualimu ni kwa waliofeli? Na hiyo sera ilipitishwa lini? Au ni maneno ya mtaani yanafanywa kuwa sera ya elimu kitaifa ?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nilidhani neno kuFELI ni kupata 0' kumbe bado sijui.
 
Watumishi wa Umma kwa idadi yao inajulikana, Walimu ndio wengi kwa idadi yao kwahiyo ni rahisi mno kuwaona mtaani na siku za mishahara ni jambo la kawaida kila mtu kwenda kuchukua haki yake.

Kuhusu uliyoandika kuwahusu Walimu na akili zao, kila mwenye akili timamu atakubaliana na mimi kuwa wewe ni mtoto mdogo uliyekosa maarifa na adabu au kama una umri mkubwa basi ni miongoni mwa watu wa hovyo wanaopatikana katika jamii yetu.

Kwa maelezo yako wewe hata kama utakuwa Engineer, Daktari, Mhasibu...bado ukiwa ofisini utawadharau wale wenye elimu ya cheti au vibarua.

Na haya unayoandika ni dalili za mtu aliyekosa ajira kwahiyo anahisi ajira za Walimu ni upendeleo wakati yeye alichokisoma hakijapewa kipaumbele.

Kuhusu Walimu kushiriki shughuli za kitaifa kama wasimamizi na sio kada nyingine hujajiuliza, hata hao wengine hawajakatazwa na wanashiriki kuanzia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakurugenzi na Polisi. Sasa kama ulitaka Walimu wakawe walinda usalama kwenye sensa au wakawe madaktari ili hizo kada nyingine zikafanye kazi ya kuandika majina utakuwa mtu wa ajabu kweli.

Kwenye uchaguzi au Sensa au jambo lolote lile la kitaifa kila kada ipo, Engineers wapo kwenye mifumo, Watu wa mahesabu na takwimu wapo, Watu wa Sera na mipango wapo, Jeshi na Polisi wapo pia.

Kuhusu maisha yao na akili zao umechukua sample yako ukaifanya kuwa jibu, mishahara ya Walimu na kada nyingine inajulikana, kinachotofautisha ni mianya ya WIZI tu na sio ukubwa wa mishahara.
Umenena vema. Tatizo ubongo uliosheheni kamasi hauwezi tambua hilo.!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom