Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Sababu moja ni kwakuwa kipato chao ni kidogo cha mshahara...

Pia hawajipendi, mavazi yao yapoyapo...

Ila wanamchango mkubwa sana ktk kuendeleza elimu za watoto wetu...
Kweli lkn sometimes wengi wao hawajiongezi.Kuna mwalimu ni jirani yangu Tofali za kuchoma anafyatua Mwenyewe na mke na watoto wake.Anapanga tanuru na kulichoma mwenyewe.Msingi amechimba na kujenga nyumba ya kisasa mwenyewe mpaka kupaua kapaua mwenyewe.Nyumba kaipandia miti ya maua na matunda mpaka naona wivu.
 
Kweli lkn sometimes wengi wao hawajiongezi.Kuna mwalimu ni jirani yangu Tofali za kuchoma anafyatua Mwenyewe na mke na watoto wake.Anapanga tanuru na kulichoma mwenyewe.Msingi amechimba na kujenga nyumba ya kisasa mwenyewe mpaka kupaua kapaua mwenyewe.Nyumba kaipandia miti ya maua na matunda mpaka naona wivu.
Sio kila mwalimu ana fani hii
 
Unasema Kufeli ni kukosa vigezo fulani, Wakati huo unasema Ukifeli unaenda kusomea Ualimu, aisee!! Kivipi yani?

Ukiwa na Cut-off points za kusomea Ualimu, unakuwa umefeli, lakini ukiwa na za kusomea Udaktari unakuwa umefaulu.

[emoji3][emoji3] Lakini si unasoma unachoandika brother? Ama unfanyaje fanyaje? Nieleweshe kwanza.
Ualimu unaenda tu hata kama una EEF
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
W
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Labda huko kwenu
Huku mwalimu anaheshimiwa sana
 
Sio shida, kufunzwa na walimu haitufanyi tusiwarekebisha, ukosoaji ni njia salama salama yakumrekebisha mtu.
Hakuna anepinga kukosolewa sema unapokosea inabidi utumie akili na fikra saanaa sasa thread yako imeshadescribe uwezo wako wa kufikiria unaishia wapi... Musiwe munazicompare proffesionals na lifestyles za watu ,,, professional na lifestyle ni vitu viwili tofauti hata ukilala unaharisha...

Wote tukiwa na mawazo kama yako kila mtu ataanza kusema lifestyle ya kila watu na group lako na kusahau kuwa proffesional na kipato havibadilishi mtu tabia ila mtu mwenyewe na maisha yake tu

Kibaya zaidi unaweza kukuta tunaargue na mtu ambae hana majukumu na hajawahi kufahamu majukumu ni nini au ni kitu gani[emoji3] utoto mwingi umekijaa kichwa cchake
 
Unasema Kufeli ni kukosa vigezo fulani, Wakati huo unasema Ukifeli unaenda kusomea Ualimu, aisee!! Kivipi yani?

Ukiwa na Cut-off points za kusomea Ualimu, unakuwa umefeli, lakini ukiwa na za kusomea Udaktari unakuwa umefaulu.

[emoji3][emoji3] Lakini si unasoma unachoandika brother? Ama unfanyaje fanyaje? Nieleweshe kwanza.
Unaenda ualimu baada ya kufeli ulikokuwa unataka, ualimu ni kimbilio lawalio feli kwenye kada mbalimbali, una three ya mwisho watu wanakushauri kuwa kwa huu ufaulu ni mdogo sana nenda tu ualimu. Swali linakuja, why ualimu unaendeka kirahisi kuliko program zote zilizobaki.
 
Unaenda ualimu baada ya kufeli ulikokuwa unataka, ualimu ni kimbilio lawalio feli kwenye kada mbalimbali, una three ya mwisho watu wanakushauri kuwa kwa huu ufaulu ni mdogo sana nenda tu ualimu. Swali linakuja, why ualimu unaendeka kirahisi kuliko program zote zilizobaki.
Naomba kujua taaluma yako km hutojali.
 
Unaenda ualimu baada ya kufeli ulikokuwa unataka, ualimu ni kimbilio lawalio feli kwenye kada mbalimbali, una three ya mwisho watu wanakushauri kuwa kwa huu ufaulu ni mdogo sana nenda tu ualimu. Swali linakuja, why ualimu unaendeka kirahisi kuliko program zote zilizobaki.
Nilishakujibu kule mwanzo, kwanini Serikali ina Quantify teachers demand. Ama hukuelewa?
 
Huyo kilaza nae ni CHICHIDODO tu kama mwenzake mleta thread na wengine wanaowafata.... Huwezi kuishi kwa DADA ukawa na akili timamu[emoji3]
Hawa watoto wadogo wakishiba chakula cha bure, huwa wanasumbua sana.

Mtu mwenye akili timamu, hawezi kudharau kazi ya ualimu. Na kama serikali nayo inachangia walimu kudharauliwa na hawa jobless, basi inatakiwa na yenyewe ijitafakari.
Binafsi nitaendelea kuwaheshimu walimu kwa mchango wao mkubwa wa kunipa maarifa katika kichwa changu.

Na mpaka kesho nikienda kwenye Kijiji kimoja hivi huko Ifakara Morogoro, kuna walimu wangu wachache wazee sana (wa UPE)wabebaki!! Huwa nikikutana nao nawasalimu kwa heshima sana pamoja na haka kadigrii kangu ka pale Mlimani enzi hizo Makamu Mkuu ni Mathew Luhanga. Maana ndiyo walio nifundisha kusoma na kuandika.
 
Unasema Kufeli ni kukosa vigezo fulani, Wakati huo unasema Ukifeli unaenda kusomea Ualimu, aisee!! Kivipi yani?

Ukiwa na Cut-off points za kusomea Ualimu, unakuwa umefeli, lakini ukiwa na za kusomea Udaktari unakuwa umefaulu.

[emoji3][emoji3] Lakini si unasoma unachoandika brother? Ama unfanyaje fanyaje? Nieleweshe kwanza.
Inahitaji mtu mwenye akili kuelewa hili. Mtoa mada hana uwezo mzuri wa kuchanganua mambo nashauri aachwe.
 
Nilishakujibu kule mwanzo, kwanini Serikali ina Quantify teachers demand. Ama hukuelewa?
Mzee unabishana na mtoto wa 97 aliejion JamiiForums mwaka jana 2021

Imagine[emoji4]

Unajua kuna threads tu ukiisoma tu hapohapo unapata jibu huyu kichwani akili haimo

Eh akili haimo...
 
Hawa watoto wadogo wakishiba chakula cha bure, huwa wanasumbua sana.

Mtu mwenye akili timamu, hawezi kudharau kazi ya ualimu. Na kama serikali nayo inachangia walimu kudharauliwa na hawa jobless, basi inatakiwa na yenyewe ijitafakari.
Binafsi nitaendelea kuwaheshimu walimu kwa mchango wao mkubwa wa kunipa maarifa katika kichwa changu.

Na mpaka kesho nikienda kwenye Kijiji kimoja hivi huko Ifakara Morogoro, kuna walimu wangu wachache wazee sana (wa UPE)wabebaki!! Huwa nikikutana nao nawasalimu kwa heshima sana pamoja na haka kadigrii kangu ka pale Mlimani enzi hizo Makamu Mkuu ni Mathew Luhanga. Maana ndiyo walio nifundisha kusoma na kuandika.
Ni kwann waligushi vyeti kipindi cha magufuli walifukuzwa wengi walikuwa walimu?, au kwann ambao hawakuwa na elimu ya kutosha wengi walikuwa ni walimu. Mpaka juzi Samia kawahurumia warudi wamalizie miaka yao.
 
Back
Top Bottom