Msdodo
Member
- Apr 12, 2022
- 39
- 48
Wenye tako ni raha kuangalia wakijibinua huko insta tu ila siyo kuish nao ndani wngi ni wachafu balaa unaweza kuwasusia nyumba
Weee sio wote ni hao unao kutana nao uko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye tako ni raha kuangalia wakijibinua huko insta tu ila siyo kuish nao ndani wngi ni wachafu balaa unaweza kuwasusia nyumba
Siyo wote Ila wengi wenye tako ni wachafu kinoma ukimshtukiza kumtembelea anapoishi unaweza kukuta kiatu kwenye kochi , ukoko kwenye frij ye mwenyewe kavaa khanga haieleweki.Weee sio wote ni hao unao kutana nao uko
Tema Nate chini yna!! Mie Ningekua nahuo mshepu ningeringajeee!😂😂Wote waninange ila sio wewe jamani
🤣🤣🤣🤣🤣Ptuu...hujaamua tu kuringa dear na huo mshape hatareeeee Tena ningekua Kama wako walah ningetembelea vidole kwa maringoTema Nate chini yna!! Mie Ningekua nahuo mshepu ningeringajeee!
wengi hawajawekeza sana kwenye miili yao wametengeneza mechanism ya kujitegemea wanapenda upendo lakini sex sio issue inayowasukuma sana kwa wanaume they just do it kwa kuwa inabidi iwe hivyo.Hawa wanawake vimbaombao wenyewe wanajiita modo! Wana wivu na hawajiamini kabisa shida ni nini, mbna wenye wowowo huwa hawana wivu na wanajiamini! They are soo insecure
Hahaa asante dia😘😘😘😘🤣🤣🤣🤣🤣Ptuu...hujaamua tu kuringa dear na huo mshape hatareeeee Tena ningekua Kama wako walah ningetembelea vidole kwa maringo
Uwiiiiii kumbe tunaongeaga sana ee[emoji86]Kwa kuongea sasa ni hatarii yani Wengi wao wanaongeaa nyie uwiiii!!
Ngoja niwaite wafupi wenzangu tuandamane aise[emoji1787]Tehteh hapa umeuaaaa Umemaliza yani!!
Vijitu vifupi vina matatizo Kweli kweli! Havijiamini totally!!
Hahahaaa... dia wewe mrefu chibongeNgoja niwaite wafupi wenzangu tuandamane aise[emoji1787]
Yani wanaongea hatari..ukute chembamba afu ki dwarf sasa!!Uwiiiiii kumbe tunaongeaga sana ee[emoji86]
unauliza nn sasa jmn na wwKwani wowowo ndio kigezo na mbna mna hasira sana!
Kumbee una takoWeee sio wote ni hao unao kutana nao uko
Kumbee una tako
Kwa nini hujiamini?Siwezi kuzungumza chochote bila mwanasheria wangu.