Ni kwanini Wanawake wasio na wowowo wanaroho ya wivu sana na hawajiamini?

Ni kwanini Wanawake wasio na wowowo wanaroho ya wivu sana na hawajiamini?

Weee sio wote ni hao unao kutana nao uko
Siyo wote Ila wengi wenye tako ni wachafu kinoma ukimshtukiza kumtembelea anapoishi unaweza kukuta kiatu kwenye kochi , ukoko kwenye frij ye mwenyewe kavaa khanga haieleweki.

Wenye tako huwa wanajali sana muonekano wa nje kuliko mahali wanaishi muda Mwingine akikuzoea sana hata usafi wake wa mwili unawapiga chenga, tofaut sana na madem wembamba wengi ni wasafi sana yaan hata punje ya wali ikidondoka ndan anafanya usafi nyumba nzima wengi wao ni wasafi sana kwanzia ndan had nje
 
Hawa wanawake vimbaombao wenyewe wanajiita modo! Wana wivu na hawajiamini kabisa shida ni nini, mbna wenye wowowo huwa hawana wivu na wanajiamini! They are soo insecure
wengi hawajawekeza sana kwenye miili yao wametengeneza mechanism ya kujitegemea wanapenda upendo lakini sex sio issue inayowasukuma sana kwa wanaume they just do it kwa kuwa inabidi iwe hivyo.
 
Back
Top Bottom