Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama inajiamini kwa nini ishindwe kujieleza hadi imtumie wakili?Pisi kali hiyo mbna inajiamini balaa!
Wewe ipoMbona jibu lipo kwenye swali, kwa sababu hatuna wowowo.
Wewe ni msemaji wake?Usimfananishe Depal na vitu vya ovyo!
Hujajibu swaliAcha wivu mtoto wa kiume ulitaka utangazwe wewe
Jifunze kutofautisha kati ya tako na kalio.Kwan kunamtu ambae Hana tako kwamba wanakalia vifuu ama
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
[emoji23]kwaiyo kalio sio takoJifunze kutofautisha kati ya tako na kalio.
#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23]kumbeKalio kila mtu analo! Ila tako ni wowowo
Sasa ukiwekewa hawa wawili utachagua yupiHawa wanawake vimbaombao wenyewe wanajiita modo! Wana wivu na hawajiamini kabisa shida ni nini, mbna wenye wowowo huwa hawana wivu na wanajiamini!
They are soo insecured
Hayo yanaitwa makalio.Kwan kunamtu ambae Hana tako kwamba wanakalia vifuu ama
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sasa JR huyo wa chini mbona body halionekani?Sasa ukiwekewa hawa wawili utachagua yupiView attachment 2205352View attachment 2205353
Mbona jibu rahisi hapo...yaani namba moja tuu hapo....huyu wa pili sura ila inaelekea hana takoSasa ukiwekewa hawa wawili utachagua yupiView attachment 2205352View attachment 2205353