Ni kwanini Wanawake wasio na wowowo wanaroho ya wivu sana na hawajiamini?

Ni kwanini Wanawake wasio na wowowo wanaroho ya wivu sana na hawajiamini?

Hiv tako lina nn had watu wajiamin na wasio nalo wawe na roho mbanyaaaa.

Wenye mataka akili zao huwa wanazijua wenyeweee
Usafi wanaujua wenyewee.
Uvivu wanaujua wenyeweee
Kaz kaz ndo usisemeee yan wanakuwa kama vigunia
 
Hawa wanawake vimbaombao wenyewe wanajiita modo! Wana wivu na hawajiamini kabisa shida ni nini, mbna wenye wowowo huwa hawana wivu na wanajiamini!

They are soo insecured
Sasa ukiwekewa hawa wawili utachagua yupi
FB_IMG_1651263248672.jpg
Screenshot_20220429-232006.jpg
 
Back
Top Bottom