Kuna nini huku tena...mbona sielewi elewiExtrovert DeepPond mzabzab naomba mkuje huku! Bila kukusahau raraa reree pisi mpya ya JF kwa mwaka huu ni Depal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini huku tena...mbona sielewi elewiExtrovert DeepPond mzabzab naomba mkuje huku! Bila kukusahau raraa reree pisi mpya ya JF kwa mwaka huu ni Depal
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Injinia Eng au Injinia whooo😂
Ni habari ya wanawake vimbaumbau kuwa na roho ya wivu mkuuKuna nini huku tena...mbona sielewi elewi
Na usikute mambo yake yenyewe yameegeshwa tu.
Wivu kuelekea waume zao au wivu in general?Ni habari ya wanawake vimbaumbau kuwa na roho ya wivu mkuu
Halafu wanapenda sana mashindano sijui kwanini Wengi hawajiamini kabisa!
Shangazi wa watu 🤣🤣Hebu tukaushie kwanza [emoji2][emoji2]
Kwa comment hii bila shaka wewe umefungasha zigo, maana umejitoa kabisa kwenye hiyo sifa uliyowapa wenzako.Kwa kuongea sasa ni hatarii yani Wengi wao wanaongeaa nyie uwiiii!!
kiazi mbatata TU mie flat screen kabisa nyuma kama muhindi!Kwa comment hii bila shaka wewe umefungasha zigo, maana umejitoa kabisa kwenye hiyo sifa uliyowapa wenzako.
nilikuwa busy kwenye miggedo mwanawane.Kaa utulie kwanza punguza pupa umechelewaje leo!
Naam! Mambo yake tumwachie mwenyewe yasije yakatuporomokeaNa usikute mambo yake yenyewe yameegeshwa tu.
Mtakuja kuporomokewa vibaya😂😂😂
NB 😂😂😂😂 atakaedefine deeply sitokuwa na msaada nae.
Nakuaminia muzee ya kugegeda mpaka inawaka moto!nilikuwa busy kwenye miggedo mwanawane.
Avatar yako ni kielelezo tosha, hauwezi kukihusudu kishundu kiasi cha kukiweka kwenye avatar ikiwa wewe huna. Ni lazima ungekuwa ma wivu kama uzi unavyosema.kiazi mbatata TU mie flat screen kabisa nyuma kama muhindi!
😂😂😂 so dad!!Nakumbuka majuzi kuleee venye alivyokuwa anakandiwa .... nachekaje na kuburudika na nafasi yangu mwenzenu!!🤸🤸🤸
Mambo yangu niachie mwenyewe, yasikuumize kichwa...