Ni kwanini Wanawake wasio na wowowo wanaroho ya wivu sana na hawajiamini?

Ni kwanini Wanawake wasio na wowowo wanaroho ya wivu sana na hawajiamini?

Na usikute mambo yake yenyewe yameegeshwa tu.
Mtakuja kuporomokewa vibaya😂😂😂


NB 😂😂😂😂 atakaedefine deeply sitokuwa na msaada nae.
Punguza ukorofi cha utundu...
 
Avatar yako ni kielelezo tosha, hauwezi kukihusudu kishundu kiasi cha kukiweka kwenye avatar ikiwa wewe huna. Ni lazima ungekuwa ma wivu kama uzi unavyosema.
Awapi mie poyoyo tu mkuu sina hizo sifa kabisa! Avatar haina uhalisia kabisa!
 
Mimi najibu kama ifuatavyoo .
1.wanawivu kwasababu wao wanapenda sana mapenzii nawanahamu yakusex all the time so.wivi lazima iwepo.

Kingine wanene wana hakika yakupata muda wowote so hawana stress wembamba sio kila wakati wao wapate wengine so lazima walete soo kwa maana wanawewe tu .

Halafu sinyie ndio mnataka muwe na watu wanao waonea wivu??
 
😳😳😳🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
kwani jamani vidole ndio vinagegeda mbusus ama?
lini sasa uje upate na wewe dozi kamilifu?
Na uzee huu nishastaafu hayo mambo mie!
 
Yaani natia hurumaa[emoji2][emoji2]

Nilikua najiuliza sana sipati jibu hizi hasira na wivu nimetoa wapi,kumbe ni hii shape ya biringanya[emoji2][emoji2]
Shangazi mbavu zangu hukuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!🤣🤣🤣😂😂😂
 
Yaani natia hurumaa[emoji2][emoji2]

Nilikua najiuliza sana sipati jibu hizi hasira na wivu nimetoa wapi,kumbe ni hii shape ya biringanya[emoji2][emoji2]
Hasira hasira Sometimes zinahitaji service shangazi !!😜😜
 
Back
Top Bottom