Ni kwanini watu wengi maarufu nchii hii wanatokea kigoma

Itakuwa ushikirikina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi maarufu wanatokea kigoma?,_huo ni upotoshaji. Tutaje watanzania kumi maarufu alaf tuone kigoma wamo wangapi. 1. Nyerere, 2. JPM, 3. Mo, 4. Barhkresa, 5. Menghi, 6. Lissu, 7. Gwajima, 8. Makonda, 9. Mwanri, 10. Mbowe. Haya, twambie Kigoma wapo wangapi?,_

Lina gani unamzungumzia?
 
Agrey mwanri ni maarufu kuliko diyamondi
 
Linnah gani anayetokea kigoma???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chege ni kutoka Mtwara,

Diamond hata hajui kigoma ni wapi, wala hajawahi kukanyaga huko, Lina ni mhehe.. acha umbeya
 
Chege ni kutoka Mtwara,

Diamond hata hajui kigoma ni wapi, wala hajawahi kukanyaga huko, Lina ni mhehe.. acha umbeya
Akitoka profesa Muhongo unafatia wew kwa uongo!
Lina ni mhehe?
Chege anatoka mtwara?
Diamond hapajui kigoma?
 
Acha ubishi mkuu
Unawajua akina Sanga ni kabila gani?
Unaijua kigoma all star ilioundwa na zitto kabwe?
WEWE ndio unaleta ubishi..!

Sihitaji kubishana, but Lina Sanga ni mwenyeji wa Iringa/Njombe

Mtoto wa mama Said (Chege) ni Mtwara

Diamond TANDALE

HUTAKI KABISHANE NA JUA, mimi sikuwezi
 
WEWE ndio unaleta ubishi..!

Sihitaji kubishana, but Lina Sanga ni mwenyeji wa Iringa/Njombe

Mtoto wa mama Said (Chege) ni Mtwara

Diamond TANDALE

HUTAKI KABISHANE NA JUA, mimi sikuwezi
Acha ushamba kama kitu hujui kaa kimya Lina ni mkinga na ujue njombe Hamna kabila LA wahehe, sheeeynzi typeee wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…