Ni kwanini watu wengi maarufu nchii hii wanatokea kigoma

Ni kwanini watu wengi maarufu nchii hii wanatokea kigoma

Juma kitmbi mtunzi wa wimbo"rangi yachungwa"....shem kalenga...zahoro bangwe...hassan rehani bitchuka
 
Ommy Dimpoz
Soudy Brown
Baruan Mhuza
Prof. Ndalichako
Philip Mpango
Baba Levo
M. Machali
Recho
Mwasiti
Linex
A. Nditiye
Khasheem Rungwe
Nk nk nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatumia vigezo gani kusema mtu fulani ni maarufu. Maana hata mikoa mingine wakiamua kutaja watu wao ambao wanaonekana kwenye media list ndefu zitapatikana tu
 
Kaazi kweli kweli eti majuto alkuwa mwenyeji wa kigoma kuliko tanga[emoji1][emoji1]
unajua maana ya mwenyeji?
hivi huko mbepe na tanga wapi ambapo majuto ni mwenyeji kwa maana ya uwenyeji
 
Japo kwa ufupi ukisoma mwongozo huu utagundua mkoa wa kigoma ni mkoa wa kipekee ambao umetoa watu mashuhuri na maarufu nchi hii tukianzia .....

1.DIamond platnum KIGOMA

2.ALI KIBA KIGOMAAAA

3.ZITTO KABWE KIGOMAA

4.ABDUL NONDO KIGOMA

5.ASKOFU KAKOBE KIGOMA

6.SHEHE PONDA ISSA PONDA KIGOMA

7.JUMA KASEJA KIGOMA

8.LINAH KIGOMA

9.UPENDO NKONE KIGOMA

10.DAVID KAFULILA KIGOMA

11.KING MAJUTO KIGOMA

12.CHEGE CHIBUNDA KIGOMA

13.TX MOSHI KIGOMA

14.BANANA ZORO KIGOMA

15.MAUNDA ZORO KIGOMA

16.DOCTOR LEAKEY KIGOMA

17.FUNDI HAMIS FULL MIGEBUKA (KIGOMA)

18.

19.

HAYA MNAWEZA KUENDELEA KUWATAJA WENGINE NILIOWASAHAU LAKINI KWANINI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli binadam ni mzigo usiobebeka. Wakati ilipokuwa hakuna kiongozi aliyekuwa anatoka huko mlikuwa mnalalamika kuwa wapembezoni wamesahaulika kwa kila kitu kwa sababu hakuna viongozi wanaotoka huko. Hivi sasa mambo yamebadilika mnaanza kujisifu.
 
Marhaba dogo..vp mjin umefanikiwa na mm nataka niibukie huko?
Mh, wewe ni wa kike, kwahiyo hata huwezi kuteseka kama mimi nilivyo sota.
Karibu mjini, wapo wenye hela zao watakupokea. Mimi nitakuja tuonane tu na kupeana namba za simu. (Ukipenda lakini)
 
sijaona mtu maarufu hapo

Japo kwa ufupi ukisoma mwongozo huu utagundua mkoa wa kigoma ni mkoa wa kipekee ambao umetoa watu mashuhuri na maarufu nchi hii tukianzia .....

1.DIamond platnum KIGOMA

2.ALI KIBA KIGOMAAAA

3.ZITTO KABWE KIGOMAA

4.ABDUL NONDO KIGOMA

5.ASKOFU KAKOBE KIGOMA

6.SHEHE PONDA ISSA PONDA KIGOMA

7.JUMA KASEJA KIGOMA

8.LINAH KIGOMA

9.UPENDO NKONE KIGOMA

10.DAVID KAFULILA KIGOMA

11.KING MAJUTO KIGOMA

12.CHEGE CHIBUNDA KIGOMA

13.TX MOSHI KIGOMA

14.BANANA ZORO KIGOMA

15.MAUNDA ZORO KIGOMA

16.DOCTOR LEAKEY KIGOMA

17.FUNDI HAMIS FULL MIGEBUKA (KIGOMA)

18.

19.

HAYA MNAWEZA KUENDELEA KUWATAJA WENGINE NILIOWASAHAU LAKINI KWANINI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh, wewe ni wa kike, kwahiyo hata huwezi kuteseka kama mimi nilivyo sota.
Karibu mjini, wapo wenye hela zao watakupokea. Mimi nitakuja tuonane tu na kupeana namba za simu. (Ukipenda lakini)
[emoji23][emoji23][emoji23]mbona nilishasota na naendelea kusota
 
Mh, wewe ni wa kike, kwahiyo hata huwezi kuteseka kama mimi nilivyo sota.
Karibu mjini, wapo wenye hela zao watakupokea. Mimi nitakuja tuonane tu na kupeana namba za simu. (Ukipenda lakini)
Acha mapenzi Fanya kazi
 
Japo kwa ufupi ukisoma mwongozo huu utagundua mkoa wa kigoma ni mkoa wa kipekee ambao umetoa watu mashuhuri na maarufu nchi hii tukianzia .....

1.DIamond platnum KIGOMA

2.ALI KIBA KIGOMAAAA

3.ZITTO KABWE KIGOMAA

4.ABDUL NONDO KIGOMA

5.ASKOFU KAKOBE KIGOMA

6.SHEHE PONDA ISSA PONDA KIGOMA

7.JUMA KASEJA KIGOMA

8.LINAH KIGOMA

9.UPENDO NKONE KIGOMA

10.DAVID KAFULILA KIGOMA

11.KING MAJUTO KIGOMA

12.CHEGE CHIBUNDA KIGOMA

13.TX MOSHI KIGOMA

14.BANANA ZORO KIGOMA

15.MAUNDA ZORO KIGOMA

16.DOCTOR LEAKEY KIGOMA

17.FUNDI HAMIS FULL MIGEBUKA (KIGOMA)

18.

19.

HAYA MNAWEZA KUENDELEA KUWATAJA WENGINE NILIOWASAHAU LAKINI KWANINI

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi na huyu Lina anayezungumziwa hapa unamaanisha huyu Sanga Mkinga wa Makers!..? Sad[emoji42]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom