Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Kwani wanasayansi wanavyo sema Sisi tulikua nyani nani alikwepo alafu mtume kasoma Shule gani
hilo swali ka remix ya DJ Khaled [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
MUNGU maana yake ni muumbaji. Yesu ni muumbaji maana pasipo yeye hakikufanyika chochote
Yesu aliumba nin?? Af kama mnavyosema kwamba yesu alifariki na Yesu mnavyoamini ni Mungu , na kama tunavyojua kuwa Mungu ndiye ana control dunia sasa huyo Mungu wenu ambaye ni Yesu alivyokufa nan alikuwa anaendesha dunia??

Na ikiwa Yesu ndiye Mungu alikuwa akiomba msaada kwa Mungu gani??
Na pale aliposema anaenda kukaa upande wa kulia wa Mungu ni Mungu yupi??
 
"Mambo mengine ya wazungu" yapi?

Umekatazwa kukosoa?
Mambo mengine ni kama mambo ya kisayansi. Mtu kama Deception humu huonekana ni kama muuwaji kutokana na ukosoaji wake wa matumizi ya madawa ya kupunguza makali ya ukimwi.
 
MUNGU maana yake ni muumbaji. Yesu ni muumbaji maana pasipo yeye hakikufanyika chochote
Na kama tunavyojua mama ana mamlaka kwa mtoto, sasa je huyo mama yake yesu(mungu wa kikristo) ina maana ana mamlaka kuliko Mungu na anaweza akamuamuru Mungu nin cha kufanya??
 
Na kama tunavyojua mama ana mamlaka kwa mtoto, sasa je huyo mama yake yesu(mungu wa kikristo) ina maana ana mamlaka kuliko Mungu na anaweza akamuamuru Mungu nin cha kufanya??
mamaake yesu alitumika tu kumzaa yesu, according to the bible, hana ishu..

kwenye biblia mwanamke anaonekana ni mtu duni

MWANZO 19:4-8
"Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa wazee, watu wote waliotoka pande zote. Wakamwita Lutu, wakamwambia, Wa wapi wale watu waliokuja kwako usiku huu? Uwatoe kwetu, tupate kuwajua.

Lutu akawatokea mlangoni, akafunga mlango nyuma yake. Akasema, Basi, nawasihi, ndugu zangu, msitende vibaya hivi.

Tazama, ninao binti wawili ambao hawajajua mtu mume, nawasihi nitawatolea kwenu mkawafanyie vilivyo vyema machoni penu, ila watu hawa msiwatende neno, kwa kuwa wamekuja chini ya dari yangu."
* * * * * * * * * * * * * * *
hapa unaona kabisa Lutu anawatoa sadaka binti zake wakafanywe jinsi itakavyowapendeza watu wa Sodoma, wakati anajua kabisa watu wa sodoma wanakula kiboga..

hawa manabii hatari sana.
 
Na kama tunavyojua mama ana mamlaka kwa mtoto, sasa je huyo mama yake yesu(mungu wa kikristo) ina maana ana mamlaka kuliko Mungu na anaweza akamuamuru Mungu nin cha kufanya??
Ukiambiwa mama tafsiri yake ni kanisa. Mariamu alikuwa ni kivuli cha kanisa tu mkuu ulisikia kwamba alilala na nani ndo akaipata hiyo mimba
 
Ukiambiwa mama tafsiri yake ni kanisa. Mariamu alikuwa ni kivuli cha kanisa tu mkuu ulisikia kwamba alilala na nani ndo akaipata hiyo mimba
duuuh aisee hii kali, mama maana yake kanisa, haya nijibu na yale mengine yaliyobaki
 
Yesu aliumba nin?? Af kama mnavyosema kwamba yesu alifariki na Yesu mnavyoamini ni Mungu , na kama tunavyojua kuwa Mungu ndiye ana control dunia sasa huyo Mungu wenu ambaye ni Yesu alivyokufa nan alikuwa anaendesha dunia??




Na ikiwa Yesu ndiye Mungu alikuwa akiomba msaada kwa Mungu gani??


Na pale aliposema anaenda kukaa upande wa kulia wa Mungu ni Mungu yupi??
Pasipo yeye hakikufanyika chochote. MUNGU kujigawanya ktk nafsi 3 ni ili a control mambo yote. Nafsi zake zinazidiana. Baba ni nafsi kuu. MTU mwenye dhambi akiiona lazima age. MWANA ni ya pili amejiweka ktk maumbo ya viumbe wake. Roho ni roho yake
 
Uongo mwingine huu..

MWANZO 6:3

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.

MWANZO 7:6

Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

* * * * * * * *

huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..

Hatari sana.
bibilia imeeleza mambo ya nyakati tofauti mfano ni kuwa wakati iliposema miaka 120 ni zama za utume wa yesu wastani wa maisha ya mwadamu ndio huo ama huko nyuma ilikua zaidi ya hapo na kama ilivyo kwa sasa wastani wa maisha ya mwanadamu ni kati 65 na 85
 
Pasipo yeye hakikufanyika chochote. MUNGU kujigawanya ktk nafsi 3 ni ili a control mambo yote. Nafsi zake zinazidiana. Baba ni nafsi kuu. MTU mwenye dhambi akiiona lazima age. MWANA ni ya pili amejiweka ktk maumbo ya viumbe wake. Roho ni roho yake
Aisee uongo mwingine huu"Mungu ana nafsi" duuh hatari
 
Pasipo yeye hakikufanyika chochote. MUNGU kujigawanya ktk nafsi 3 ni ili a control mambo yote. Nafsi zake zinazidiana. Baba ni nafsi kuu. MTU mwenye dhambi akiiona lazima age. MWANA ni ya pili amejiweka ktk maumbo ya viumbe wake. Roho ni roho yake
kwa hiyo inamaana Mungu naye hayupo perfect??
 
Pasipo yeye hakikufanyika chochote. MUNGU kujigawanya ktk nafsi 3 ni ili a control mambo yote. Nafsi zake zinazidiana. Baba ni nafsi kuu. MTU mwenye dhambi akiiona lazima age. MWANA ni ya pili amejiweka ktk maumbo ya viumbe wake. Roho ni roho yake
ila bado hujajibu swali soma vizuri alafu unijibu
 
Back
Top Bottom