wa4
Senior Member
- Jul 2, 2016
- 158
- 65
Neno la MUNGU limesitirika yeye achimbaye sana ndiye atakayelionaMshaleta mafumbo kwenye dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno la MUNGU limesitirika yeye achimbaye sana ndiye atakayelionaMshaleta mafumbo kwenye dini.
Kabla ya misri dini ilikuwepo. Wamisri ndo walikopi. Dini ilianzia mbinguniKatika dini ya mafarao wa misri, ambayo ni dini ya zamani kuliko Ukristo, kuna mungu katika nafsi tatu,
Horus = mungu mwana. (sun of god)
Osirus = mungu baba
Isis = mungu mama
Je Mafundisho(dhana) haya ya dini ya kimsri yanafanana na dini ya kikristo? Jibu ni ndio. Ukristo uli-copy nadharia ya utatu kutoka misri.
Sifa kuu ya nafsi ni lazima ionje umauti, kwa hiyo kwa mantiki hii inamaana huyo Mungu baba na roho nazo zitakufa, na kwa kuwa Mungu mwana hana uwezo kumzidi Mungu baba basi huo ndio utakuwa ukomo wa Mungu wa kikristo na kwa kuwa Mungu hana ukomo basi inamaana Mungu wa kikristo ni Mungu uchwaraMUNGU kujigawa ktk nafsi 3 alijuwa kuwa kiumbe bora lakini kidhaifu ambacho ni mwanaadamu kitaanguka dhambini. Hivyo akaweka mpago maalumu WA kumkomboa mwanaadamu kwa kujigawa ktk hizo nafsi 3 kwa kazi maalumu kama ifuatavyo. Nafsi Baba I control mambo yote ya ki MUNGU ndo maana mwenye dhambi akiiona hiyo nafsi hufa. Ya pili MWANA ambayo ndo Yesu alipunguza utukufu wake ili apate kukaa na watu wenye dhambi na watakatifu. wenye dhambi wasife kwa ule utukufu WA BABA. Na hiyo nafsi ilikufa kweli kwa kuthibitisha kile alichosema wenye dhambi watakufa lkn yeye hakuwa na dhambi lakini alibeba dhambi zetu. lakini kwa uweza WA ki MUNGU alifufuka. Nafsi ya 3 Roho maana yake nikuwa ile nafsi MWANA ikiondoka Roho yake itabaki ikisema na kuwafundisha watu wake mpaka siku ya hukumu. Linganisha Yesu WA kipindi kile ambaye alikula na kunywa na yote ulosema na Yesu WA siku ya kiyama KILA JICHO LITAMWONA. na Kule kumwona tu lazima uonje mauti kutokana na utukufu wake. Huyo ndiye muumbaji wetu Mbarikiwe
Farao na dini yake alikuwako kabla musa na dini yake. (kabla ya kupewa amri, kanuni na sheria za mungu).Kabla ya misri dini ilikuwepo. Wamisri ndo walikopi. Dini ilianzia mbinguni
Mkuu we dini gani?!Ikiwa wazungu ndiyo waliyobuni dini na kutunga kitabu chake ili kuwaongopea watu,hiyo dini pamoja na hicho kitabu(UONGO) ni vitu vilivyosambaa karibu dunia nzima hadi sasa.
Swali nalojiuliza hapa ikiwa hao waongo(wazungu) wameweza kufanikiwa kusambaza uongo dunia Nouma na kwa muda mrefu hivyo je,haiwezekani ikawa waongo hawa(wazungu) wakawa wanaendelea kudanganya ulimwengu kwa staili na mbinu tofauti katika masuala mengine hivi sasa?
Kwanini umeamua kuniuliza hivyo?Mkuu we dini gani?!
Kwani MUSA aliona wakati MUNGU anaumba ndo akaandika historia ya uumbajiFarao na dini yake alikuwako kabla musa na dini yake. (kabla ya kupewa amri, kanuni na sheria za mungu).
Rejea habari ya Yusufu kuuzwa utumwani misri.
unaamini mungu ana umbile?Pasipo yeye hakikufanyika chochote. MUNGU kujigawanya ktk nafsi 3 ni ili a control mambo yote. Nafsi zake zinazidiana. Baba ni nafsi kuu. MTU mwenye dhambi akiiona lazima age. MWANA ni ya pili amejiweka ktk maumbo ya viumbe wake. Roho ni roho yake
Unapoficha ubongo mfukoni na kutumia sehemu ya kukalia ili ufikiri, lazima utapeliwe fikra.Yaani mambo yapo wazi kabisa na hovyo ila unaambiwa kuwa ni fumbo la imani? waache wadanganywe...wametaka wenyewe.
Kuweni na kiasi kwa kila jambo. MUNGU hutuvumilia sana na ndo maana mwenye dhambi tuposasa si ndio ukaidi wenyewe huo, yaan we unamtuma mtu atende jambo fulani lakini akishindwa kufanya ipasavyo una mlaani maana yake nini sasa??
Hivi unajua maana ya upole na unyenyekevu wewe??
Huko katika milima ya Himalaya wapo watu wanaoishi zaidi ya miaka120. Hawa ni miongoni mwa Jamii ya "maYogi" ama "sadhu". Kitabu cha Lopsang Rampa mwenyeji wa Tibet kiitwacho "The Cave of the Ancients," chaweza kukupa mwanga juu ya maisha marefu ya mwanadamu. Licha ya kuishi miaka mingi, katika Biblia kuna watu ambao hawakufa kabisa. Henoko (Mwa 5) hakufa Bali alitwaliwa na Mungu. Eliya Nabii (2Wafalme Sura ya 2) hakufa bali alitwaliwa na Mungu. Wengine ambao hudhaniwa hawakuonja mauti ni pamoja na Yohana Mpendwa (wa Ufunuo wa Yohana) kulingana na simulizi za Historia ya Kanisa na Katika nyakati zetu, Sandhu Sundar Singh ambaye Safari yake ya mwisho ya kuhubiri ilikuwa akizunguka Katika milima ya Himalaya na akapotea. Wengi wanaamini kuwa alifia huko ama alitwaliwa na Mungu maana hata mwili wake haukuonekana.Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
sio kwamba hakuwa na adabu,bali ule ulikuwa unaongea mvinyo..Alafu kitu kingine Yesu hakuwa na adabu hata kidogo, alikuwa akimwita mama yake "we mwanamke "
Uongo mwingine katika biblia, kwenye biblia inafundisha kuwa mafarisayo walimfuata yesu na kutaka ishara kutoka kwake , Yesu akawajibu "Hamtapata ishara kutoka kwangu bali ishara ya nabii Yona kama nabii Yona alivyokaa siku 3 katika tumbo la samaki ndivyo mimi nitakavyokaa katika moyo wa nchi"
Swali. 1:, ikiwa nabii Yona alikaa siku 3 bila ya kufa sasa kwa nini yesu inasemekana alikufa wakati yeye mwenyewe alisema ishara pekee ni tukio la nabii yona na la kwake ni sawa
2:Ikiwa Yesu alitumwa ili afie msalabani ili sisi tukombolewe sasa kwa nini aliogopa kufa na kuomba kwa Mungu hamuepushie janga hilo??
3:Biblia inatufundisha kuwa baba hawezi kumpa mwanae nyoka akiombwa samaki au hawezi kumpa mwanae jiwe akiomba mkate , sasa ukisoma waebrania inasema "Mara baada ya kuomba sana hatimaye maombi yake yalikubaliwa" sasa ikiwa maombi yake yalikubaliwa je Mungu aliruhusu yesu akafe msalabani au lah alimuepusha?? kama alifia msalabani je lile andiko linalo tufundisha kuwa baba hawezi kumpa mwanae nyoka akiombwa samaki au akampa jiwe akiomba jiwe lilikuwa la uongo??
4:Ukisoma kumbukumbu la torati 21:22 inasema kuwa "mtu akitundikwa msalabani amelaaniwa," sasa je yesu alilaaniwa??
Aisee kwa hiyo yesu alilewa , duuuh inamaaana angekuwa enzi zetu hizi viroba vingemkomasio kwamba hakuwa na adabu,bali ule ulikuwa unaongea mvinyo..
Kama ujuavyo mzee joseph hakuwa mtu wa kutulia nyumbani,akisafiri mara kwa mara,sasa mamake yesu ili kujikimu alikuwa akisupply mvinyo katika maharusi na matamasha mbalimbali,na yesu ndo akimsaidia kubeba madumu ya mvinyo kupeleka arusini,sikuhiyo wakiwa harusini mvinyo ukaisha na mamake akamfuata kumtaarifa ili afuate alipomkuta tayari mvinyo umeshamkolea hence majibu mkato kama kumwita mamake ,We mwanamke.......
Kabla ya misri dini ilikuwepo. Wamisri ndo walikopi. Dini ilianzia mbinguni
ndio maana viongozi wa kikristo wana kuwa matajiri kwa muda mfupi ,kwa kuwa wanadanganywa danganywa tu ovyo ovyoHahahaa....mbinguni wana "dini"?Na mbinguni ni wapi?Hupajui
Basi tu-assume kweli dini ilianzia mbinguni,ni dini gani labda?Itaje...Hujui hata unye
Watu wasiomjua MUNGU Aliwafananisha na mbwa. Lkn yule mama alipokomaa naye si alitimiziwa haja yakeAlafu huyo Yesu ana nyodo sana. Kuna mama alimfuata ambaye si mu israel amsaidie yesu akamjibu kwa dharau "Siwezi kutoa chakula cha watoto na kuwapa mbwa"