Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Sifa kuu ya nafsi ni lazima ionje umauti, kwa hiyo kwa mantiki hii inamaana huyo Mungu baba na roho nazo zitakufa, na kwa kuwa Mungu mwana hana uwezo kumzidi Mungu baba basi huo ndio utakuwa ukomo wa Mungu wa kikristo na kwa kuwa Mungu hana ukomo basi inamaana Mungu wa kikristo ni Mungu uchwara
MUNGU ni WA ajabu nafsi zake 3 zote ni hai na zinatenda kazi. Alipokuwa anaingia MTO yordani kubatizwa (MWANA) ambaye ni Yesu. roho ya MUNGU akashuka juu yake mfano WA njiwa (Roho Mtakatifu) sauti ikasikika kutoka mbinguni (BABA)
 
Siyo boblia peke yake pitia vitabu vyote vya dini vinasema hivyo mkuu
 
nilipokua mdini nilikua mtu wa kuhukumu watu wa dini tofauti, na kutokana na hilo moyo ulikua na mafadhaiko sababu nilikua na marafiki wa kiislam na sikuona sababu ya kuwachukia..

mkuu huo mzigo wa chuki (dini) nimeshautua, nipo huru.. sitaki kabisa kusikia utumbo unaoitwa dini.
Mkuu hukuwa na dini ya kweli maana dini ya kweli imejaa upendo. Ukiwa nayo hiyo hutamchukia MTU yoyote kwa namna yoyote ila unaweza kumhurumia mtu. Msihukumu msije mkahukumiwa
 
Mkuu hukuwa na dini ya kweli maana dini ya kweli imejaa upendo. Ukiwa nayo hiyo hutamchukia MTU yoyote kwa namna yoyote ila unaweza kumhurumia mtu. Msihukumu msije mkahukumiwa
acha kuongea pumba we mwenyewe umeona majibu na matusi ya wakristo wenzako humu.. limtokalo mtu ndilo aliwazalo, na wakristo mawazo yenu juu ya watu wa dini tofauti si ya kheri, hata mahubiri nayo ni ya vijembe.
 
acha kuongea pumba we mwenyewe umeona majibu na matusi ya wakristo wenzako humu.. limtokalo mtu ndilo aliwazalo, na wakristo mawazo yenu juu ya watu wa dini tofauti si ya kheri, hata mahubiri nayo ni ya vijembe.
Si wote wamwitao BW ni watumishi wake wengine atawakana kuwa hawatambui na atawafukuza
 
Uongo mwingine katika biblia, kwenye biblia inafundisha kuwa mafarisayo walimfuata yesu na kutaka ishara kutoka kwake , Yesu akawajibu "Hamtapata ishara kutoka kwangu bali ishara ya nabii Yona kama nabii Yona alivyokaa siku 3 katika tumbo la samaki ndivyo mimi nitakavyokaa katika moyo wa nchi"

Swali. 1:, ikiwa nabii Yona alikaa siku 3 bila ya kufa sasa kwa nini yesu inasemekana alikufa wakati yeye mwenyewe alisema ishara pekee ni tukio la nabii yona na la kwake ni sawa



2:Ikiwa Yesu alitumwa ili afie msalabani ili sisi tukombolewe sasa kwa nini aliogopa kufa na kuomba kwa Mungu hamuepushie janga hilo??

3:Biblia inatufundisha kuwa baba hawezi kumpa mwanae nyoka akiombwa samaki au hawezi kumpa mwanae jiwe akiomba mkate , sasa ukisoma waebrania inasema "Mara baada ya kuomba sana hatimaye maombi yake yalikubaliwa" sasa ikiwa maombi yake yalikubaliwa je Mungu aliruhusu yesu akafe msalabani au lah alimuepusha?? kama alifia msalabani je lile andiko linalo tufundisha kuwa baba hawezi kumpa mwanae nyoka akiombwa samaki au akampa jiwe akiomba jiwe lilikuwa la uongo??



4:Ukisoma kumbukumbu la torati 21:22 inasema kuwa "mtu akitundikwa msalabani amelaaniwa," sasa je yesu alilaaniwa??
Ishara ni moja kwa wote siku tatu bila kuliona jua
 
jiulize swali Yesu aliwezaje kupaa mbinguni au kutembea juu ya maji ina maana alishindana na gravitational force? Ukisoma 2Petro 1:21 biblia inasema, 'wanadamu wanena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho wa Mungu'. Vitabu vya kwanza vitano vya biblia vimeandikwa na nabii Musa ambaye hakuwepo wakati Mungu anaumba dunia. Ni wazi kuwa Mungu ndiye alimwongoza. soma Isaya 46:9-10 Mungu anasema '...nitangazaye mwisho tangu na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado...'
 
sio kwamba hakuwa na adabu,bali ule ulikuwa unaongea mvinyo..
Kama ujuavyo mzee joseph hakuwa mtu wa kutulia nyumbani,akisafiri mara kwa mara,sasa mamake yesu ili kujikimu alikuwa akisupply mvinyo katika maharusi na matamasha mbalimbali,na yesu ndo akimsaidia kubeba madumu ya mvinyo kupeleka arusini,sikuhiyo wakiwa harusini mvinyo ukaisha na mamake akamfuata kumtaarifa ili afuate alipomkuta tayari mvinyo umeshamkolea hence majibu mkato kama kumwita mamake ,We mwanamke.......

Huyo Yesu mlevi ni wa kuchekesha kweli...hebu kuweni serious kidogo bwana...stop this nonsense!
 
Hahahaa....mbinguni wana "dini"?Na mbinguni ni wapi?Hupajui

Basi tu-assume kweli dini ilianzia mbinguni,ni dini gani labda?Itaje...Hujui hata unye
Mbinguni kuna hekalu na malaika wanaabudu
 
jiulize swali Yesu aliwezaje kupaa mbinguni au kutembea juu ya maji ina maana alishindana na gravitational force? Ukisoma 2Petro 1:21 biblia inasema, 'wanadamu wanena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho wa Mungu'. Vitabu vya kwanza vitano vya biblia vimeandikwa na nabii Musa ambaye hakuwepo wakati Mungu anaumba dunia. Ni wazi kuwa Mungu ndiye alimwongoza. soma Isaya 46:9-10 Mungu anasema '...nitangazaye mwisho tangu na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado...'

Kiumbe chenye umbo la kibinadamu hawezi paa kamwe...wala kutembea juu ya maji...scientifically haiwezekani...

Stori zote za biblia mostly ni fabrications,sio zote ni factual...thats the truth,hutaki andamana..

Yesu ni huwenda akawa mythical figure tu,huwenda alikuwepo au hakuwepo vilevile...ila stori za kumuelezea sio consinstent kabisa,na kitu kikishakua ambiguous,basi ni cha uongo,thats it...

Huwenda alikuwepo kweli ila stori za kumuhadithia hazi-make sense au wamepindisha makusudi...walioandika biblia ndio wanatupoteza,sio wakweli...
 
Back
Top Bottom