Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Roho ni nini?*******HII POST YAKO NAKUSHAURI UITENGUE UTAKUJA KUJUTA SANA PINDI UKATAPO ROHO, NA UTAONESHWA TENA LIVE******
Unaweza kuthibitisha roho ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho ni nini?*******HII POST YAKO NAKUSHAURI UITENGUE UTAKUJA KUJUTA SANA PINDI UKATAPO ROHO, NA UTAONESHWA TENA LIVE******
wahubiri wanaujua ukweli, ila kwa vile hio dini inawafaidisha wameona waseme yesu amekuja kwa ajili ya dunia nzima ili wapige hela.. kwenye misa vinakuja vikapu vitatu, kimoja cha sadaka, kingine cha mchango, kingine hela ya maombi..Af biblia hiyo hiyo inakwambia yesu alitumwa kwa wana israel
"Sikutumwa ila kwa kondoo aliye potea wa wana wa israel"
"Ewe bethelem katika majumbe ya Yuda hu mdogo kamwe katika majumbe ya Yuda kwa kuwa kwako atatoka mtawala atakae wachunga wana wangu wa israel"
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?hujakosea wala nini Kiranga ni devil ndo maana akisikia neno la mungu anapagawa kabisaa
Leo tarehe 6/9/2016 nakushauri tena tengua kauli zako zote ulizo mtusi Mungu,Roho ni nini?
Unaweza kuthibitisha roho ipo?
huyo hela zake zakishetani ndo maana hawezi kuwa upande wa mwenyezi munguLeo tarehe 6/9/2016 nakushauri tena tengua kauli zako zote ulizo mtusi Mungu,
Utakuja kujuta kipindi cha sakratul mauti,na nakuhakikishia utaomba angalau dakika moja utubu lakini itashindikana
Pindi usomapo hii post yangu haraka sana katengue kauli maana huwezi jua ,yawezekana leo ndio ikawa mwisho wako wa kukuona humu jukwaani
Na hata kipindi utakapo pelekwa motoni malaika atakukumbusha tena haya maneno
Soma zaburi 53:1Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Nyie ndio mnaoua vibibi vizee vyenye macho mekundu kwa kuvisema ni vichawi kumbe macho mekundu kwa sababu ya moshi wa kuni.
Ujinga tu.
Niko tayari kutengua kauli zangu zote na kutubu kama ukinithibitishia Mungu yupo kwanza.Leo tarehe 6/9/2016 nakushauri tena tengua kauli zako zote ulizo mtusi Mungu,
Utakuja kujuta kipindi cha sakratul mauti,na nakuhakikishia utaomba angalau dakika moja utubu lakini itashindikana
Pindi usomapo hii post yangu haraka sana katengue kauli maana huwezi jua ,yawezekana leo ndio ikawa mwisho wako wa kukuona humu jukwaani
Na hata kipindi utakapo pelekwa motoni malaika atakukumbusha tena haya maneno
Thibitisha kwamba Mungu yupo. Thibitisha kwamba shetani yupo.huyo hela zake zakishetani ndo maana hawezi kuwa upande wa mwenyezi mungu
Hiki kilevi ulichokunywa ni kikali sanaLeo tarehe 6/9/2016 nakushauri tena tengua kauli zako zote ulizo mtusi Mungu,
Utakuja kujuta kipindi cha sakratul mauti,na nakuhakikishia utaomba angalau dakika moja utubu lakini itashindikana
Pindi usomapo hii post yangu haraka sana katengue kauli maana huwezi jua ,yawezekana leo ndio ikawa mwisho wako wa kukuona humu jukwaani
Na hata kipindi utakapo pelekwa motoni malaika atakukumbusha tena haya maneno
Sijakutukana soma Zaburi 53:1Hujajibu swali.
Kwa sababu huna jibu.
Kwa sababu huyo Mungu hayupo.
Sasa mimi niliyeuliza maswali na wewe uliyeshindwa kuyajibu mpaka umenitukana, nani yupo frustrated hapo?
nitajaribu kukuelimisha kile kidogo nilichokuwa nachoNiko tayari kutengua kauli zangu zote na kutubu kama ukinithibitishia Mungu yupo kwanza.
Unaweza kuthibitisha hilo?
Nimeisoma, haijathibitisha kwamba Mungu yupo.Soma zaburi 53:1
Unajuaje kwamba wewe ndiye utakayenielimisha mimi na si mimi nitakayekuelimisha wewe?nitajaribu kukuelimisha kile kidogo nilichokuwa nacho
Asante nashukuru, ila mtakuja kusema siku ya mwisho kuwa haikuwa akili yenu bali ni ibilisi ndiye aliye waponza ,Hiki kilevi ulichokunywa ni kikali sana
Haijathibitisha kwamba mungu yupo.Sijakutukana soma Zaburi 53:1
sawa, tuanzie hapa , wewe unataka nikudhihirishie kama Mungu yupo kwa njia gani??Unajuaje kwamba wewe ndiye utakayenielimisha mimi na si mimi nitakayekuelimisha wewe?
Kwa njia yoyote ambayo ipo logically consistent na consistent with observed reality.sawa, tuanzie hapa , wewe unataka nikudhihirishie kama Mungu yupo kwa njia gani??
Mwana sayansi Neil Armstrong aliweza kusikia adhana mwezini, sasa we jaribu kufikiri umbali uliopo duniani na mwezini lakini aliweza kuisikia vizuri na kui record japo kuwa kwa wakati huo hakujua yale maneno yanaaashiria niniKwa njia yoyote ambayo ipo logically consistent na consistent with observed reality.