Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nilibaki mwenyewe mpaka mtu alipoanzisha thread.Inapendeza baki na imani yako inatosha .
Sikuanzisha thread. Nimeikuta.
Maneno hayo kamwambie aliyeanzisha thread.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilibaki mwenyewe mpaka mtu alipoanzisha thread.Inapendeza baki na imani yako inatosha .
Kama mtu atahukumiwa kwa matendo yake je yesu ni wanini?Wala hao babu zako unaowasema hawako motoni maana siku ya hukumu haijafika bado.ila kwa kukusaidia uelewa kidogo no kwamba, kipindi hicho cha mababu walikuwa chini ya sheria hivyo watahukumiwa kulingana na matendo Yao maana utambuzi wa mema na mabaya ulikuwa ndani ya mioyo Yao.hata Kama hawakumjua Mungu lakin sasa hatuko chini ya sheria tena Bali chini ya Imani katika Kristo. Yesu ndio agano la mwisho kuelekea hukumu hakutakuwa na agano jingine tena Bali hukumu atakaporudi kwa Mara nyingine.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, pale mwanzo kabisa, kabla ya chochote au yeyote kuumbwa, hakuamua kuumba ulimwengu ambao ubaya wowote hauwezekani?Akili ndogo mnooo.
Kwanza elewa binadamu hakuumbiwa kufa ila dhambi zetu ndo zimetufikisha hapa.
Ukisoma vizuri utagundua kuwa umri wa kuishi uliendelea kupungua miaka ilivyoendelea toka kuumbwa kwa Adam mpaka pale Mungu alupoweka kikomo/wastani wa kuishi kwa mwanadamu.
Chunguza vizuri maandiko
Wewe ni lipumbavu la kutupwa. Tena utakufa kifo cha fedheha mzog wa mbwa wewe usiye na ufahamu. Pumbavu kwelikwlei. Ungelikuwa akili japo kidogo usingeongea upumbavu ambao hata tu elimu ya darasani inatoa jibu. Pumbavu kafie mbali zoga la mijibwa!
tena achana na mimi siji kwenye upumbavu wako wa kishetani hapa. Elti walitumia kipimo gani!. Nenda hata shule ya kata uapte basi ili hata kama ni argument uargue scientifically japo kidogo. Jitu lilipelekwa shule likawa jinga darasani, likakimbia umande, Mungu halimjui linaishi kwa sababu linaamuka ili lile, halafu leo linaleta ma.vi ya kichwani kwake hapa. Wewe unafikirakwa kutumia m.a.vi. Wweni zaidiya mzoga wanguruwe.
Waeleze hao, nilikuwa nakosa neno sahihi la kuwahitamkuu upo juu.. biblia ipo encoded, hata mimi naelewa hivyo. nimepata huo ufahamu kutoka kwa mwanasayansi anaitwa David Flynn, tunachokisoma ni zaidi ya upeo wa macho yetu, geometry imetembea mule mwanzo mwisho.
ila kutokana na hawa wafia dini kusoma kitabu jinsi kilivyo, inabidi twende nao sawa hivyo hivyo.
Sayansi:
Sayansi ya leo imethibitisha kuwa Mtu wa kwanza (Adam) alikuwa na kimo cha dhiraa 60. Soma nukuu zifuatazo katika Sehemu moja ya Toleo la Septemba 2001 la Jarida Mashuhuri la Sayansi la Israil, Ha-Mada Ha-Yisraeli B’ Angleet V’lvreet.” Kisha soma maoni chini yake.
Tel Aviv, Israil
Katika Kongamano la hivi karibuni nchini Israil lililozungumzia sayansi na dini, Dkt. Shlomi Lesser wa Chuo Kikuu cha Hebrew, na Mwenyekiti wa Taasisi ya Hofesh V’ Mada, akiwakilisha wanasayansi wenye shaka na dini, aliongoza mdahalo mkali baina ya wanabaiolojia na Wanazuoni wa ki-Orthodox wa Kiyahudi juu ya mada “Mwanzo wa Maisha”.
Wengi walioshuhudia mdahalo huo wakiwemo wale wenye msimamo mkali wa kidini, wakaibuka na hisia kuwa wanazuoni wa Kiyahudi hawakufanya vizuri dhidi ya wapinzani wao wa mrengo wa “Epicurean”.
Mwangaza wa mchana ulichomoza pale Dkt Lesser aliposhiriki katika kuulizana maswali; moja baada ya jingine na Rabbi Dovid Brown wa Chuo Kikuu cha Yeshiva.
Katika nukta moja, Dkt. Brown alimuuliza Rabbi Brown, je, mtu wa kwanza alikuwa na kimo gani? Mwanazuoni wa Kiyahudi akajibu, “aghalabu alikuwa na kimo cha mwanadamu wa wastani kwa mujibu wa Wahenga wa Kiyahudi (chazal)
Dkt. Lesser, akirejea utafiti ulioshirikisha taasisi yake na taasisi nyingine, akasema, “njia pekee ya mwanadamu kuweza kuja kutokana na jozi moja ya wazazi (wazazi wawili-Adam na Hawa) ni iwapo tu kama wazazi hao wa mwanzo walikuwa ni majitu makubwa katika zama za kabla ya elimu ya lishe.”
Hesabu zake zilionesha kuwa ili jamii ya mwanadamu kuweza kufikia hali ya maumbile waliyokuwa nayo katika karne ya 17, Kisa cha Adam na Hawa kingelikuwa na maana iwapo tu mtu wa kwanza angelikuwa na kimo cha futi 90. Hakuna njia nyingine ambayo mwanadamu angeliweza kuvuka kikwazo cha kijenetikia.”
Aidha, Dkt. Lesser anasema, kama Adam angelikuwa na kimo cha mtu mwingine yoyote yule kama wanavyosema wanazuoni wa dini ya Kiyahudi, basi hii ingekifanya kisa cha Adam na Hawa kuwa upuuzi ulio dhahiri.”
Ni jambo la kuvutia kwamba wakati wanabaiolojia hao wakidhani kuwa wanaipondaponda dini ya Kiyahudi kumbe wanauthibitisha Uislamu! Wanasayansi waliibuka na utafiti wa kijenetikia ambao uliwapelekea kufanya hesabu za kimo ambacho mtu wa kwanza angekuwa nacho kama Kisa (cha Adam na Hawa) kilikuwa cha kweli.
Wakaibuka na futi 90. Zingatia kuwa miaka 1400 iliyopita kabla ya wasomi hawa hawajafikia hitimisho hilo, Mtume, swallallahu alayhi wa sallam, alishazungumzia kitu hicho. Kimahesabu, dhiraa sitini ni sawa na Futi 90.
Ndiyo nauliza kama wazungu(waongo) wameweza kudanganya hivyo toka kipindi hicho hadi sasa basi tuwe makini nao hata kwenye mambo mengine maana wanaweza wakawa wanaendelea kuongopa.Kama mtu anaweza kuishi miaka 100 harafu biblia ikasema adamu na hawa waliishi miaka 900 inamaana hapo biblia imeonge uongo 800%
Hadi uzi unafika pg ya 12, hakuna mfiadini aliyejitokeza kukanusha hii post ya Kiranga ama kuomba radhi kwa uongo ulioandikwa kwenye Bible....Hivi inawezekanaje mwaandishi mmoja kujicontradict mwenyewe tena baada ya sura 1 au 2?...wafia dini majibu tafadhali.
Akili ndogo mnooo.
Kwanza elewa binadamu hakuumbiwa kufa ila dhambi zetu ndo zimetufikisha hapa.
Ukisoma vizuri utagundua kuwa umri wa kuishi uliendelea kupungua miaka ilivyoendelea toka kuumbwa kwa Adam mpaka pale Mungu alupoweka kikomo/wastani wa kuishi kwa mwanadamu.
Chunguza vizuri maandiko
Unapoficha ubongo mfukoni na kutumia sehemu ya kukalia ili ufikiri, lazima utapeliwe fikra.Yaani mambo yapo wazi kabisa na hovyo ila unaambiwa kuwa ni fumbo la imani? waache wadanganywe...wametaka wenyewe.Hawa jamaa wamejitoa akili, wanajitia ujinga wa kutoona kilicho wazi kabisa.
unaweza ukakuta ndo huyo huyo shetan anaeandikaagent of satanism mnaongezeka tu
Huyo Mungu Mungu gani aweke mafumbo ya ajabu ya kukiondolea credibility kitabu chake?Unapoficha ubongo mfukoni na kutumia sehemu ya kukalia ili ufikiri, lazima utapeliwe fikra.Yaani mambo yapo wazi kabisa na hovyo ila unaambiwa kuwa ni fumbo la imani? waache wadanganywe...wametaka wenyewe.
Sayansi haifikiriki..! Incomparable.Ku reverse muda ni concept inayoitwa time travel,.
Kama utasafiri katika speed ya mwanga( 2.998e+8).
Aisee, yana mwisho wake haya we tamba tu kwenye mgongo wa ardhi ila ngoja uingie tumboni ndipo utaaelewaIn the name of KING LUCIFER AND HIS YOUNG BROTHER SATAN let this spell to perish.
Mods please futa comments zinazomkashifu mfalme wetu (KING LUCIFER) .kwani wamwabuduo Jesus wanapenda akashifiwe?
Hahahaha.......Aliekuletea yesu anakwambia maskini ndo watauona ufalme wa mungu, halafu hapohapo anashusha thamani ya shilingi yako halafu anapandisha thamani ya Paundi na Dola yake.. nchi yake tajiri, yako maskini..
swali la kujiuliza ni "kama ufalme wa mungu ni wa watu maskini kwanini wao walioleta huo ujumbe wanauhangaikia sana utajiri? Wao wanainvest Afrika, waafrika wanainvest in heaven..
akili kumkichwa.
Mkuu si unajua kuna watu wenye tamaa za kudominate watu?Huyo Mungu Mungu gani aweke mafumbo ya ajabu ya kukiondolea credibility kitabu chake?
Kwa nini aweke fumbo at all?
Kwani anaimba taarabu? Au anajifunza kutongoza?
Ridiculous.
Hahahaha......aya zinapigana sana ,ipo inayosema huwezi kwenda mbinguni mpaka babake yesu akuvute,
tena nyingine yesu anasema kama jina lako halipo katika kitabu cha uzima kilichoandikwa hapo zamani za kale unapoteza mda huendi mbinguni ng'o,whatever mbinguni means.
Yaani usanii juu ya usanii
Af biblia hiyo hiyo inakwambia yesu alitumwa kwa wana israelaccording to Jesus, hakuna anaeweza kufika mbinguni isipokua kupitia yeye.. yani hata mchina mhindi mwarabu hawasalimiki maana wao wanaabudu buddha, Allah na krishna. yani dunia nzima inabidi tuwe wakristo ili twende mbinguni... hatari sana