Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ujuaji mwingi shida,........Umaarufu sawa na harufu.......Bora hata ungeuliza,...kweli umeanika kutokujua kwako......JIPANGE
 
Usisahau pia kwamba nabii Adam alikua na kimo cha urefu wa futi 90!!!
Sasa ata hiyo miaka unayoishangaa ya umri wake si ajabu.
Pia historia inasema kwamba baada ya mungu kuwafukuza watatu hao kwenye bustani ya Eden na kutupwa duniani walikuja onana baada ya miaka 100-300yrs(nimesahau kidogo exactly time waliyokutana)

Futi 90????
Come on!

That's more than a super monster!!
The Giants. Mijitu mikubwa. Kama wale nephelim katika kipindi cha nuhu.
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Mungu akusamehe bure tu, endelea kutafiti ukweli kabla ya kutoa conclusion. je uljua kuwa utazaliwa? je wajua lini una expire? nipe hayo majibu. Then nikaumabia ilikuwaje adam aishi 900 years
 
Mungu akusamehe bure tu, endelea kutafiti ukweli kabla ya kutoa conclusion. je uljua kuwa utazaliwa? je wajua lini una expire? nipe hayo majibu. Then nikaumabia ilikuwaje adam aishi 900 years
Ndio tupo kuwauliza nyinyi mnaojifanya mnaijua sana biblia na kila kitu chenyewe kipo kwenye biblia mnasema ndio hata kama uthibitisho haupo.
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Elewa kwanza lugha biblia ndipo utoe dukuduku zako
labda walitumia carbon14 kwa kupima fuvu za kichwa za adam na hawa, maana wazungu nao kwa 'habari nyepesi nyepesi' hawajambo!!
 
Kitabu cha Ayubu (ayub 1,6 - 8)
kinaelezea mahusiano kati ya mungu na shetani,

pale ambapo mungu anapo mwuliza shetani, "umetoka wapi wewe?" nae shetani akamjibu "natoka kuzunguka huku na huko duniani".

Mungu akamwuliza Shetani "je umemwona huyo mtumishi wangu ayub, kwani hakuna kama yeye duniani, mwelekevu na mcha mungu.

Shetani akamjibu mungu" huyo ayubu humcha mungu bure?
yani kama washkaji flani hivi, story nyingi, anamwambia shetani ayubu ananipenda ila mchezee nione kama kweli ananipenda.. yani mungu anafanya binadamu kama matoi vile..

ila huwezi kumlaumu kwa sababu alishajutia kumuumba binadamu..

Mwanzo 6:6

"Bwana akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo. Bwana akasema, nitamfutilia mbali mwanadamu niliemwumba usoni pa nchi, mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani, kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya."

kwa mimi nnavyojua, mzazi atajutia kukuzaa ila hatafikiria kukuua, ila mungu anasema kwa kinywa chake kwamba ni bora awaue tu wanadamu kisa maovu yamezidi.

ina naana mzazi ana busara kuliko mungu? huyu mungu wa biblia mbona anasusasusa halafu kisilani sana?
 
Biblia imejitosheleza. Ina majibu ya kila swali unalojiuliza. Hata sababu kwa nini maisha yalishushwa kutoka 900 hadi 120 na baada bibiblia inasema 70 utazidi ukiwa na Nguvu. Sababu zipo. Kwakuwa biblia ni neno la Mungu, yaani pumzi ya Mungu mwenyewe, ndo kitabu pekee ambacho kadiri unavyokisoma, kinakusoma wewe na kukuonyesha vile ulivyo. Hii ndio sababu walio wengi maneno haya yakishaanza kuwaonyesha vile walivyo wanasoma mstari mmoja wa pili wanakimbia wanaacha. Lakini ukitoa muda wa kuelewa Majibu ya kila swali ulonalo yamo ndani ya bibilia.
 
Ila wanasema eti saizi binadamu amepunguza miaka ya kuishi kutokana na mazingira.
Lakini ingekuwa ni kweli adamu na hawa waliishi miaka 900 saizi kutokana na mzingira ilitakiwa bindamu aishi angalau hata miaka 600.
Kwasababu ukipiga hesabu ktk mazingira haya haya tunayo ishi kuna viumbe vinaishi miaka mingi sana kwa mfano kobe nilisikia anauwezo wa kuishi hadi miaka 250.

Lakini kutoka miaka 900 hadi binadamu kuja kuishi miaka 100 na hapo wakati anabahati sana. lakini kawada ni 45 au 55 kwa tanzania.
Mimi special creation thery huwanaikataa kabisa.Miaka 6000 haiwezi kuruhusu Evolution speed ya haraka namna hiyo Mkuu.
 
Ndio tupo kuwauliza nyinyi mnaojifanya mnaijua sana biblia na kila kitu chenyewe kipo kwenye biblia mnasema ndio hata kama uthibitisho haupo.
Its OK
sasa tuanze darasa, je wewe waelewa nini kuhusu biblia?
 
Haya ni mache ya katika yale mengi yaliyo tudanganya.
Ila kwenye biblia ndio kuna uongo mwingi kiufupi biblia inauongo 800%
Fafanua vizuri mealezo yako mkuu ili nikupate vizuri.
 
Akili yako na mimi na wewe ni maajabu ila kwa Mungu normal kabisa..!

Ukumbuke Mungu hana musa ndiyo maana hachelewi wala hawahi, TIME IS THE PRODUCT OF EVENT/ ACTION ila Mungu anao uwezo wa Ku reverse muda ukarudi nyuma so issu ya muda ni kwetu binad ndiyo maana huwa kuna quotations zinawachanganya laymen (waumini) kama nyie.
Ku reverse muda ni concept inayoitwa time travel,.

Kama utasafiri katika speed ya mwanga( 2.998e+8).
 
Biblia imejitosheleza. Ina majibu ya kila swali unalojiuliza. Hata sababu kwa nini maisha yalishushwa kutoka 900 hadi 120 na baada bibiblia inasema 70 utazidi ukiwa na Nguvu. Sababu zipo. Kwakuwa biblia ni neno la Mungu, yaani pumzi ya Mungu mwenyewe, ndo kitabu pekee ambacho kadiri unavyokisoma, kinakusoma wewe na kukuonyesha vile ulivyo. Hii ndio sababu walio wengi maneno haya yakishaanza kuwaonyesha vile walivyo wanasoma mstari mmoja wa pili wanakimbia wanaacha. Lakini ukitoa muda wa kuelewa Majibu ya kila swali ulonalo yamo ndani ya bibilia.
ok ,tupe sasa wewe hayo majibu ya maswali waliyouliza humu ndani
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Kwanza ulitakiwa ujitambulishe kama wewe ni mkristu, muislamu au mpagani ingekuwa rahisi zaidi kujadili mada yako maana hili ni swala LA kiimani zaidi sio la kisayansi
 
Fafanua vizuri mealezo yako mkuu ili nikupate vizuri.
Kama mtu anaweza kuishi miaka 100 harafu biblia ikasema adamu na hawa waliishi miaka 900 inamaana hapo biblia imeonge uongo 800%
 
Akili ndogo mnooo.
Kwanza elewa binadamu hakuumbiwa kufa ila dhambi zetu ndo zimetufikisha hapa.
Ukisoma vizuri utagundua kuwa umri wa kuishi uliendelea kupungua miaka ilivyoendelea toka kuumbwa kwa Adam mpaka pale Mungu alupoweka kikomo/wastani wa kuishi kwa mwanadamu.
Chunguza vizuri maandiko
 
Katiaka imani kumefanya watu kuwa waoga sana kudadisi mambo,nadhani hii inatokana na ama uwezo mdogo wa kielimu hiyo kwa viongozi wetu wa dini zote ama kujua uongo mkubwa uliopo katika maandishi hayo,na huenda waandishi wa mwanzo au wapokeaji wa simulizi walifanya kwa makusudi au nao kuwa na uwezo mdogo pia.
Ukiuliza jambo ambalo lina utata kwa ndani sana,unaambiwa UTAKUFURU.mwisho wa maelezo
 
Back
Top Bottom