Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ikiwa wazungu ndiyo waliyobuni dini na kutunga kitabu chake ili kuwaongopea watu,hiyo dini pamoja na hicho kitabu(UONGO) ni vitu vilivyosambaa karibu dunia nzima hadi sasa.


Swali nalojiuliza hapa ikiwa hao waongo(wazungu) wameweza kufanikiwa kusambaza uongo dunia nzima na kwa muda mrefu hivyo je,haiwezekani ikawa waongo hawa(wazungu) wakawa wanaendelea kudanganya ulimwengu kwa staili na mbinu tofauti katika masuala mengine hivi sasa??
Inawezekana kabisa tunadanganywa hata kwenye mambo mengine mengi.
 
Inawezekana kabisa tunadanganywa hata kwenye mambo mengine mengi.
Ndiyo inawezekana lakini mie kinachonishangaza ni kutumika nguvu kubwa kwenye kukosoa uongo wa kwenye dini lakini kwenye mambo mengine ya wazungu hatufanyi hivyo tunakubali kila wanachosema(tunaamini).
 
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, pale mwanzo kabisa, kabla ya chochote au yeyote kuumbwa, hakuamua kuumba ulimwengu ambao ubaya wowote hauwezekani?

Kwa nini kaumba ulimwengu huu ambao ubaya unawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Kweli wewe ni frustrated kupita maelezo. Siwezi kukusaidia.
Kwani imeandikwa usishindane na mpumbavu.
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Ungejiuliza maswali machache kwanza kabla ya kudai Biblia imesema uongo.

Ungejiuliza: Je, wakati huo kalenda ya Biblia ilifuata kalenda yetu ya sasa (Gregorian calendar?). Maana nyakati za Agano la Kale ilikuwa ni BC, wakati sasa ni AD.

Ikumbukwe kuwa hata nyakati hizi Wachina wana kalenda yao, Waethiopia nao wanayo ya kwao, Waislamu nao wanayo ya kwao tofauti na hii tunayoitumia sasa.

Vv
 
Pamoja na yote hayo lakini kuishi miaka 900 ni uongo.

kwa. nini isiwezekane??kwan we nan ambaye anakupa fursa ya kuish hapa dunian si ni Mungu , sasa anashindwa vipi kukuongezea miaka ya kuish??

Hizo dawa ambazo unatumia zinatokana na mimea , na mimea hiyo hiyo imeumbwa na Mungu sasa Mungu anashindwa vipi kukufanya uishi miaka mingi kadri apendavyo
 
Yaani hao watu walikuwa macomedian full....Hizi ni hallucinations siyo vitu vya maana kabisa Mkuu....Futi 90? yaani urefu wa makontena manne na nusu yale makubwa? lol! waache kutupima imani hao.
Nenda kwenye miji mitukufu kama maka ushahidi upo wazi kabisa kuanzia nyayo zao na makaburi yao pia yapo
 
Mimi special creation thery huwanaikataa kabisa.Miaka 6000 haiwezi kuruhusu Evolution speed ya haraka namna hiyo Mkuu.
ila kumbuka hiyo evolution unayoisemea umejifunzia darasani tena kwa kukaririshwa mawazo ya mtu mmoja ambaye kafanya tafiti zake yeye , sasa huyo mtu kama alikuwa wrong utajuaje??


Maana zimekuja nadharia nyingi zilizodumu kwa muda mrefu lakini mwisho wa siku zilionekana kuwa zilikuwa ni za uongo, kama vile nadharia ya kusema dunia ni bapa ilidumu mrefu sana mpaka baadaye ilipotenguliwa
 
Ndiyo inawezekana lakini mie kinachonishangaza ni kutumika nguvu kubwa kwenye kukosoa uongo wa kwenye dini lakini kwenye mambo mengine ya wazungu hatufanyi hivyo tunakubali kila wanachosema(tunaamini).
"Mambo mengine ya wazungu" yapi?

Umekatazwa kukosoa?
 
Kweli wewe ni frustrated kupita maelezo. Siwezi kukusaidia.
Kwani imeandikwa usishindane na ********.
Hujajibu swali.

Kwa sababu huna jibu.

Kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Sasa mimi niliyeuliza maswali na wewe uliyeshindwa kuyajibu mpaka umenitukana, nani yupo frustrated hapo?
 
Mkuu dont confused Morning star na light.

Morning star - > nyota ya asubuhi.

Light - > nuru.

Soma maandiko vizuri.

Ye
soma ufunuo 22:16.
Ufunuo 21
“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!”
Soma Ufunuo 22
 
Huyo Mungu Mungu gani aweke mafumbo ya ajabu ya kukiondolea credibility kitabu chake?

Kwa nini aweke fumbo at all?

Kwani anaimba taarabu? Au anajifunza kutongoza?

Ridiculous.
*******HII POST YAKO NAKUSHAURI UITENGUE UTAKUJA KUJUTA SANA PINDI UKATAPO ROHO, NA UTAONESHWA TENA LIVE******
 
aya zinapigana sana ,ipo inayosema huwezi kwenda mbinguni mpaka babake yesu akuvute,
tena nyingine yesu anasema kama jina lako halipo katika kitabu cha uzima kilichoandikwa hapo zamani za kale unapoteza mda huendi mbinguni ng'o,whatever mbinguni means.
Yaani usanii juu ya usanii
Kuna hadithi Na neno la mungu ,ukilijua hilo hakika utapinga
 
Dini ni imani wakati mwingine tunayoyaamin hayapo katika maisha ya kawaida au halisi
 
Back
Top Bottom