brillnoel
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 667
- 652
hatari sana.Mkuu kwakweli umemkamata pabaya sana...yaani kutoka sura moja kwenda nyingine keshapoteza kumbukumbu? sasa nimeamini uongo haudumu milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari sana.Mkuu kwakweli umemkamata pabaya sana...yaani kutoka sura moja kwenda nyingine keshapoteza kumbukumbu? sasa nimeamini uongo haudumu milele.
Lakini huyo hata miaka 200 hawezi kufikisha.Mzee kuna kikongwe kaishi miaka 138 au mungu ajamuona
wafia dini watakuja kukwambia alionyeshwa maono.hicho ni kitabu cha mwanzo katika biblia,mwandishi wanadai ni moses,japo si kweli,
moses hakuwepo kipindi cha adam.
Pia kitabu kinaeleza hadi moses alipokufa na kuzikwa wapi,lakini kumbuka mwandishi ni moses,sasa utajiuliza moses alikuwa akijua anazikwa wapi hadi akaandika in advance
morning star=jesusLucifer = the morning star.
ni sawa na mtu uliembishia hawezi kukupiga, sasa amekupiga halafu we unasema "lakini yule pale huwezi kumpiga"Lakini huyo hata miaka 200 hawezi kufikisha.
Sasa adam na hawa waliishi miaka mingapi?Binafsi nilipata kusoma biblia kwa undani kipindi nipo shule( seminary) siku moja nliuliza hilo swali pia, majibu niliyoyapata ni haya....biblia inaandika vile sio kweli mtu aliishi miaka mfano 900 ila hiyo miaka mia 9 inaonesha ukamilifu kwa jambo fulani, na ndio maana tunapoambiwa mfano: yesu akija wataokolewa watu 14440 hiyo ni hesabu ya waisrael ikiwa na maana sana, hivyo hivyo katika hiyo miaka ina onesha ukamilifu wa jambo fulani na sio kweli kwamba ni miaka 900 ya kuishi.....tuisome biblia na kuelewa maana ya namba zilizomo na maneno yako.
yesu alisema imani bila matendo ni kazi bureWala hao babu zako unaowasema hawako motoni maana siku ya hukumu haijafika bado.ila kwa kukusaidia uelewa kidogo no kwamba, kipindi hicho cha mababu walikuwa chini ya sheria hivyo watahukumiwa kulingana na matendo Yao maana utambuzi wa mema na mabaya ulikuwa ndani ya mioyo Yao.hata Kama hawakumjua Mungu lakin sasa hatuko chini ya sheria tena Bali chini ya Imani katika Kristo. Yesu ndio agano la mwisho kuelekea hukumu hakutakuwa na agano jingine tena Bali hukumu atakaporudi kwa Mara nyingine.
Na tena wanajitahidi sana kuutetea uongo.uongo WA Hali y'all juu
Walisha tudanganya sana. lakini cha ajabu kunawatu bado wanaendelea kuamini uongo.Aliekuletea yesu anakwambia maskini ndo watauona ufalme wa mungu, halafu hapohapo anashusha thamani ya shilingi yako halafu anapandisha thamani ya Paundi na Dola yake.. nchi yake tajiri, yako maskini..
swali la kujiuliza ni "kama ufalme wa mungu ni wa watu maskini kwanini wao walioleta huo ujumbe wanauhangaikia sana utajiri? Wao wanainvest Afrika, waafrika wanainvest in heaven..
akili kumkichwa.
Binafsi nilipata kusoma biblia kwa undani kipindi nipo shule( seminary) siku moja nliuliza hilo swali pia, majibu niliyoyapata ni haya....biblia inaandika vile sio kweli mtu aliishi miaka mfano 900 ila hiyo miaka mia 9 inaonesha ukamilifu kwa jambo fulani, na ndio maana tunapoambiwa mfano: yesu akija wataokolewa watu 14440 hiyo ni hesabu ya waisrael ikiwa na maana sana, hivyo hivyo katika hiyo miaka ina onesha ukamilifu wa jambo fulani na sio kweli kwamba ni miaka 900 ya kuishi.....tuisome biblia na kuelewa maana ya namba zilizomo na maneno yako.
Biblia haieleweki kwa akili za kawaida. Ndio maana pepo lililoko ndani lazima litolewe ndio ueleweshwe.Lete hoja na wewe..... Sasa unafunga ili iweje
Sasa Umejuaje Ana Pepo.... ? Au kwa vile Aliyoyaongea Yanapingana Na UnachokishikiliaBiblia haieleweki kwa akili za kawaida. Ndio maana pepo lililoko ndani lazima litolewe ndio ueleweshwe.
Hahahahalabda walitumia carbon14 kwa kupima fuvu za kichwa za adam na hawa, maana wazungu nao kwa 'habari nyepesi nyepesi' hawajambo!!
Naskia miaka 1000 dunian n sawa Na sku 1 mbinguni teh teh tehe!!!Enzi hizo mwaka mmoja ulikuwa na siku ngapi?
Mkuu huyo aliyeandika kimo cha futi 90 inabidi afunguliwe mashtaka hata kama alishakufa.Yaani Adam alikuwa na urefu wa mita 30 then miaka 6000 baadae wanawe wana mita 2 tu?...this is a real BULLSHIT.Usisahau pia kwamba nabii Adam alikua na kimo cha urefu wa futi 90!!!
Sasa ata hiyo miaka unayoishangaa ya umri wake si ajabu.
Pia historia inasema kwamba baada ya mungu kuwafukuza watatu hao kwenye bustani ya Eden na kutupwa duniani walikuja onana baada ya miaka 100-300yrs(nimesahau kidogo exactly time waliyokutana)
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu huyo aliyeandika kimo cha futi 90 inabidi afunguliwe mashtaka hata kama alishakufa.Yaani Adam alikuwa na urefu wa mita 30 then miaka 6000 baadae wanawe wana mita 2 tu?...this is a real BULLSHIT.
Kwa hyo unataka uishi Kama nguruwe? Kama mngu amekpa uwezo wa kujitambua tofauti Na viumbe wengine,kwann usfkirie badala ya kuburuzwa Kama kuku..!!!Zambi inaenea duniani na mpaka kwenye vichwa vyetu haya maswali ni mbinu ya kishetani kabisa