Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Labda ufatilie kuanzia karne ya kwanza ad leo karne 21 naona utagundua kitu tofaut kuhusu maisha ya wanadamu, maoni yngu tu napita [emoji125][emoji125][emoji125].
 
MWANZO 6:3

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.

MWANZO 7:6

Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

* * * * * * * *

huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..

Hatari sana.


Kinachozungumzuwa hapa si Nuhu ni humankind[/QUOTE]
was noah a monkey or a human
 
naona umestick kwa noah tu, ambayo ni hadithi, na ushahidi huna.. ila kwenye reality nimetaja watu wawili ambao wameishi miaka zaidi ya 120, na kuna memba ameongeza watatu anaemfahamu ameishi miaka 138.. unasemaje kuhusu hilo?
Narudia tena ....
Maandiko yameandikwa baada ya matukio kutokea c wakati matukio yanatokea...
Ivyo vyote vilivyoko kwa Bible ni baada ya kutokea ndipo vikaandikwa
Kingine ni kwamba
Naona unajarib kulazimisha fikra zako kuhoanisha maisha ya BC na Sasa
 
Narudia tena ....
Maandiko yameandikwa baada ya matukio kutokea c wakati matukio yanatokea...
Ivyo vyote vilivyoko kwa Bible ni baada ya kutokea ndipo vikaandikwa
Kingine ni kwamba
Naona unajarib kulazimisha fikra zako kuhoanisha maisha ya BC na Sasa
hamna nimekutajia watu ambao wameishi kupita ukomo alioweka mungu baada ya biblia kuandikwa.. kuna mzee ana miaka 145 na bado anaishi.. huyu nae tumzungumzieje? au ngekewa?
 
Hakuna uongo katika Biblia. Soma kwa akili ya kujifunza utaona maswali na majibu yake katika Biblia

Usisahau pia....
Psalm 90:10
Our days may come to seventy years, or eighty, if our strength endures; yet the best of them are but trouble and sorrow, for they quickly pass, and we fly away.
Usidhani kwavile miaka yetu ni 70 au 80 basi hakuna atakayeweza kuishi miaka 100 ama zaidi!! Wanaishi hata leo zaidi ya 100 lakini siku zenye uchungu na kuchoka sana. Mungu anaweza kukuruhusu ufe mapema ama uishi zaidi, lakini ukweli unabaki...yeye Mungu ndiye anaongoza yote.
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?

mair erasto, aliyeishi kiaka mingi zaidi duniani, anaitwa methusela.

Soma Genesis 5:27 inasema "So all the days of Methuselah were nine hundred and sixty-nine years, and he died. Lamech lived one hundred and eighty-two years, and became the father of a son.…

kusema direct kuwa BIBLIA imedanganya unakosea Mkuu, Ni vema ungefanya utafiti, ndipo baada ya utafiti ukupe UKWELI AU UONGO.

IMANI NI KITU KIKUBWA SANA YUMKINI KULIKO VITU VYOTE, kuna mambo mengi sana hatuyaoni lakini tunaambiwa yapo na tuna amini, mfano: mapepo, mbingu, n.k vivyo hivyo ukiamini Mungu yupo basi kila kilichotokana na Mungu amini kipo, na kuhusu hao watu walioandika habari hizo, fikiri kuwa hao hao watu waliandika pia habari za Mungu yule unayemwamini, Je, walimwona wapi? wewe hujui na ndiyo maana nasema kama unaamini kuwa Mungu yupo basi chochote kitokanancho na Mungu kiamini.


Natumai umenielewa....
 
Aliekuletea yesu anakwambia maskini ndo watauona ufalme wa mungu, halafu hapohapo anashusha thamani ya shilingi yako halafu anapandisha thamani ya Paundi na Dola yake.. nchi yake tajiri, yako maskini..

swali la kujiuliza ni "kama ufalme wa mungu ni wa watu maskini kwanini wao walioleta huo ujumbe wanauhangaikia sana utajiri? Wao wanainvest Afrika, waafrika wanainvest in heaven..

akili kumkichwa.
 
Chanzo cha binadamu ni nyani (Historia)? au Adam na Hawa (Biblia)?
 
Aliekuletea yesu anakwambia maskini ndo watauona ufalme wa mungu, halafu hapohapo anashusha thamani ya shilingi yako halafu anapandisha thamani ya Paundi na Dola yake.. nchi yake tajiri, yako maskini..

swali la kujiuliza ni "kama ufalme wa mungu ni wa watu maskini kwanini wao walioleta huo ujumbe wanauhangaikia sana utajiri? Wao wanainvest Afrika, waafrika wanainvest in heaven..

akili kumkichwa.

brillnoel
kaka ni umaskini unaozungumziwa hapo ni umaskini wa kutokutenda dhambi, umaskini wa dhambi
 
brillnoel
kaka ni umaskini unaozungumziwa hapo ni umaskini wa kutokutenda dhambi, umaskini wa dhambi
kama ni umaskini wa dhambi mbona alimwambia yule tajiri kauze vitu vyako vyote kisha unifate? tajiri aliponung'unika yesu akasema ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia peponi..

husomi biblia au unajitoa ufahamu?
 
Hao watu wote uliyo nitajia wako katika hali gani? Na huyo MUUZA KUKU. .duh! Naona tuko anga ya tofauti. ..NAKUOMBA UNISAMEHE SANA KWA KUJARIBU KUKUELEWESHA....uwe na siku njema. .Bye-bye
Asante bro,nawe pia.
 
according to Jesus, hakuna anaeweza kufika mbinguni isipokua kupitia yeye.. yani hata mchina mhindi mwarabu hawasalimiki maana wao wanaabudu buddha, Allah na krishna. yani dunia nzima inabidi tuwe wakristo ili twende mbinguni... hatari sana
aya zinapigana sana ,ipo inayosema huwezi kwenda mbinguni mpaka babake yesu akuvute,
tena nyingine yesu anasema kama jina lako halipo katika kitabu cha uzima kilichoandikwa hapo zamani za kale unapoteza mda huendi mbinguni ng'o,whatever mbinguni means.
Yaani usanii juu ya usanii
 
Uongo mwingine huu..

MWANZO 6:3

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.

MWANZO 7:6

Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

* * * * * * * *

huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..

Hatari sana.
Mkuu kwakweli umemkamata pabaya sana...yaani kutoka sura moja kwenda nyingine keshapoteza kumbukumbu? sasa nimeamini uongo haudumu milele.
 
Kwasababu waliandika kwamba adam na hawa waliishi miaka 900 lakini hawajataja walikufaje na walizikwa sehemu gani.
hicho ni kitabu cha mwanzo katika biblia,mwandishi wanadai ni moses,japo si kweli,
moses hakuwepo kipindi cha adam.
Pia kitabu kinaeleza hadi moses alipokufa na kuzikwa wapi,lakini kumbuka mwandishi ni moses,sasa utajiuliza moses alikuwa akijua anazikwa wapi hadi akaandika in advance
 
Ikiwa wazungu ndiyo waliyobuni dini na kutunga kitabu chake ili kuwaongopea watu,hiyo dini pamoja na hicho kitabu(UONGO) ni vitu vilivyosambaa karibu dunia nzima hadi sasa.


Swali nalojiuliza hapa ikiwa hao waongo(wazungu) wameweza kufanikiwa kusambaza uongo dunia nzima na kwa muda mrefu hivyo je,haiwezekani ikawa waongo hawa(wazungu) wakawa wanaendelea kudanganya ulimwengu kwa staili na mbinu tofauti katika masuala mengine hivi sasa??
 
Sijaona uongo wa biblia labda wewe ndio muongo, Bibi yangu amefariki juzi juzi tu akiwa na miaka 90 lakini mimi nikijitazama naona kama life span imepungua maana sioni dalili za kufika miaka 90, lakini embu jiulize sasa hivi wewe una umri gani? je utaweza kufikisha umri mhe.Mugabe? jinsi siku zinavyokwenda mbele life span ya binadamu inazidi kupungua, muangalie Rooney mchezaji wa Manchester United anamiaka 31 na anaonekana ni mtu umri umeshakwenda tayari je akifikisha miaka 60 si atakuwa mzee sana, embu fananisha umri wa Rooney na Roger Mila wa cameroon wakati akiwa na miaka 30 ya Rooney alionekana bado kijana sana lakini leo hii Rooney anaonekana mzee kiasi kwamba watu wengine wanamshauri asicheze tena Timu ya Taifa ajikite kwenye kilabu chake tu, jinsi tunavyozidi kuishi umri unazidi kupungua.
Pamoja na yote hayo lakini kuishi miaka 900 ni uongo.
 
Back
Top Bottom