Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Kwa haya majibu ya wakristo humu, unajua kabisa mentality yao au FIKRA ZAO ZIMEKAAJE..

kwa majibu yao unaona kabisa wao wanaona ni sawa mungu kumuua mtu asiemuamini yesu.. sasa kwa mentality hii kunakua hamna tofauti na shetani ambae anaua watu ambao hawamwamini..

sasa mungu anaua wasiomwamini, na shetani anaua wasiomwamini.. WE ARE THE VICTIMS HERE.. mi naona vita inabidi iwe kati ya shetani na mungu and THE WINNER TAKES ALL..

ila WHY CANT THAT HAPPEN? BECAUSE THEY ENJOY PLAYING WITH HUMAN BEINGS LIVES AND EMOTIONS.

unaweza kusema God and Satan are friends, or the same person with two different identities.
 
Lakini wapendwa msilisahau hili kwamba kwa Bwana, SIKU MOJA SAWA NA MIAKA ELFU na MIAKA ELFU SAWA NA SIKU,(2PETRO 3:8, ZABURI 90:4)
Ok. Unamaanisha hivi

Siku 1= miaka 1000.
 
MWANZO 6:3

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.

MWANZO 7:6

Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.

* * * * * * * *

huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..

Hatari sana.


Kinachozungumzuwa hapa si Nuhu ni humankind[/QUOTE]
Hizi aya zinapingana zenyewe kwa zenyewe.
 
Mara nyingi binadamu hupata muda wa kujiuliza maswali kama haya akiwa anapumua vzr,ana uhakika hata wa kuunga unga wa kula,basis hujiuliza maswali yaliyo nje ya upeo wake,Naamini IPO siku na wakati utakumbuka ulichokiuliza lkn utakuwa umechelewa kwa hayo majuto yako.
 
Iman ni ww na mungu ni vgumu kuamin usichokua na mtazamo nacho na kweli itabaki kua kweli
Mkuu, kama Mambo haya ulishwa aminishwa tangu ungali mtoto basi utakuwa na mtazamo nayo hata sasa.
 
Kwa akili yako ndogo utachanganyikiwa na kuwaza upuuzi! Akili yako inapoishia kuwaza ya Mungu inanzia hapo!

Upumbavu wa Mungu unashinda Hekima ya mwanadamu..! Ni kwa neema tu tunasoma na kuelewa maandiko..![emoji15] [emoji15] [emoji15]

Maandiko ni story za watu wa kale ambao Leo hii wangeona ndege, tv, smartphones, gari, radio mpaka watu kwenda mwezini na vyombo kufika mars wangechanganyikiwa kabisa.
 
Usisahau pia kwamba nabii Adam alikua na kimo cha urefu wa futi 90!!!
Sasa ata hiyo miaka unayoishangaa ya umri wake si ajabu.
Pia historia inasema kwamba baada ya mungu kuwafukuza watatu hao kwenye bustani ya Eden na kutupwa duniani walikuja onana baada ya miaka 100-300yrs(nimesahau kidogo exactly time waliyokutana)
 
Usisahau pia kwamba nabii Adam alikua na kimo cha urefu wa futi 90!!!
Sasa ata hiyo miaka unayoishangaa ya umri wake si ajabu.
Pia historia inasema kwamba baada ya mungu kuwafukuza watatu hao kwenye bustani ya Eden na kutupwa duniani walikuja onana baada ya miaka 100-300yrs(nimesahau kidogo exactly time waliyokutana)
Futi 90????
Come on!
 
Guys when are you going to believe kuwa tuliletewa dini ili tutawaliwe of all those place y africa!!?
UrbanGentleman ngoja nikupe ushauri wa bure....dini yeyote duniani huwa zina beyond human thinking powers. ...sio vitu vya mchezo. ..Kuna mtu aliamua kuichana BIBLIA hadharani, mikosi iliyo mjia sintoweza kukuadisia. ....wewe waache watu na imani zao nawe ufanye unalolitaka. ..I believe in KARMA, so watch out! Don't termpt anyone's faith. ..I wish you good morning
 
Ok. Unamaanisha hivi

Siku 1= miaka 1000.
Akili yako na mimi na wewe ni maajabu ila kwa Mungu normal kabisa..!

Ukumbuke Mungu hana musa ndiyo maana hachelewi wala hawahi, TIME IS THE PRODUCT OF EVENT/ ACTION ila Mungu anao uwezo wa Ku reverse muda ukarudi nyuma so issu ya muda ni kwetu binad ndiyo maana huwa kuna quotations zinawachanganya laymen (waumini) kama nyie.
 
That's more than a super monster!!
Sayansi:
Sayansi ya leo imethibitisha kuwa Mtu wa kwanza (Adam) alikuwa na kimo cha dhiraa 60. Soma nukuu zifuatazo katika Sehemu moja ya Toleo la Septemba 2001 la Jarida Mashuhuri la Sayansi la Israil, Ha-Mada Ha-Yisraeli B’ Angleet V’lvreet.” Kisha soma maoni chini yake.

Tel Aviv, Israil
Katika Kongamano la hivi karibuni nchini Israil lililozungumzia sayansi na dini, Dkt. Shlomi Lesser wa Chuo Kikuu cha Hebrew, na Mwenyekiti wa Taasisi ya Hofesh V’ Mada, akiwakilisha wanasayansi wenye shaka na dini, aliongoza mdahalo mkali baina ya wanabaiolojia na Wanazuoni wa ki-Orthodox wa Kiyahudi juu ya mada “Mwanzo wa Maisha”.

Wengi walioshuhudia mdahalo huo wakiwemo wale wenye msimamo mkali wa kidini, wakaibuka na hisia kuwa wanazuoni wa Kiyahudi hawakufanya vizuri dhidi ya wapinzani wao wa mrengo wa “Epicurean”.
Mwangaza wa mchana ulichomoza pale Dkt Lesser aliposhiriki katika kuulizana maswali; moja baada ya jingine na Rabbi Dovid Brown wa Chuo Kikuu cha Yeshiva.

Katika nukta moja, Dkt. Brown alimuuliza Rabbi Brown, je, mtu wa kwanza alikuwa na kimo gani? Mwanazuoni wa Kiyahudi akajibu, “aghalabu alikuwa na kimo cha mwanadamu wa wastani kwa mujibu wa Wahenga wa Kiyahudi (chazal)

Dkt. Lesser, akirejea utafiti ulioshirikisha taasisi yake na taasisi nyingine, akasema, “njia pekee ya mwanadamu kuweza kuja kutokana na jozi moja ya wazazi (wazazi wawili-Adam na Hawa) ni iwapo tu kama wazazi hao wa mwanzo walikuwa ni majitu makubwa katika zama za kabla ya elimu ya lishe.”
Hesabu zake zilionesha kuwa ili jamii ya mwanadamu kuweza kufikia hali ya maumbile waliyokuwa nayo katika karne ya 17, Kisa cha Adam na Hawa kingelikuwa na maana iwapo tu mtu wa kwanza angelikuwa na kimo cha futi 90.

Hakuna njia nyingine ambayo mwanadamu angeliweza kuvuka kikwazo cha kijenetikia.” Aidha, Dkt. Lesser anasema, kama Adam angelikuwa na kimo cha mtu mwingine yoyote yule kama wanavyosema wanazuoni wa dini ya Kiyahudi, basi hii ingekifanya kisa cha Adam na Hawa kuwa upuuzi ulio dhahiri.”

Ni jambo la kuvutia kwamba wakati wanabaiolojia hao wakidhani kuwa wanaipondaponda dini ya Kiyahudi kumbe wanauthibitisha Uislamu! Wanasayansi waliibuka na utafiti wa kijenetikia ambao uliwapelekea kufanya hesabu za kimo ambacho mtu wa kwanza angekuwa nacho kama Kisa (cha Adam na Hawa) kilikuwa cha kweli.

Wakaibuka na futi 90. Zingatia kuwa miaka 1400 iliyopita kabla ya wasomi hawa hawajafikia hitimisho hilo, Mtume, swallallahu alayhi wa sallam, alishazungumzia kitu hicho. Kimahesabu, dhiraa sitini ni sawa na Futi 90.
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
nadhani inategema hata mama zetu waliishi miaka mingi kadiri muda unavyosogea mbele ndio maisha yanazidi kuwa mafupi
 
Akili ya kibinadam... Kuumbwa na kuzaliwa kwako huoni kama ni jambo gumu, miaka 900 ndo ngumu.... Akili ya kibinadam hiyo. MUNGU NI MUNGU TU..
 
Back
Top Bottom