UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Hapana jina langu ni muungwana wa mjinihakika wewe jina lako Ibrahimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana jina langu ni muungwana wa mjinihakika wewe jina lako Ibrahimu.
Hayo yote si uliambiwa njoo na kile ulifanyia utafiti kaka sio story za vitabu ambazo ata mapango yaa andeni yameizidi bibilia kwa ushaidi wa michoro yake ya zamani zileKwani wewe umepima kipindi icho miaka ilikiwa inahesabiwaje??
Go back to school maana ninyi mnaonekana hamjui anno domino na before Christ , Fanya utafiti kabla hujaongea chochote
Lucifer = the morning star.Hahahahahahaaaaaa!!! nimebaki kucheka tyuu!!!! Kweli nimeamini Bible imewapoteza wengi.
Hail SATAN & LUCIFER THE KING
( full freedom to ask & think)
Hayo yote si uliambiwa njoo na kile ulifanyia utafiti kaka sio story za vitabu ambazo ata mapango yaa andeni yameizidi bibilia kwa ushaidi wa michoro yake ya zamani zile
usiseme ni uongo wakati wewe huna ukweli jiangaliemtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini biblia inasema adam na hawa waliishi miaka 900.
je hao walio andika adam na hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Hao waliondika adamu na hawa waliishi miaka 900 na ukawamini hao ndio walikufanya wewe mtoto.Swali la kitoto, ungeuliza labda je Adam na Hawa ndo binadamu wa kwanza kuishi kutokana na biblia au je biblia iliruhusu watoto kumlala mama yao kama Adam na Hawa ni binadamu wa kwanza??
Kabla hujaenda mbali,Siku 365 over
Baadae ngoja nifanye kazi nitafute pesa we endelea kutafuta ushahidi mapamgoni
Nafunga nianze kuichambua. Vipimo vilivyotumika ni ufunuo ambao Mungu alimfunulia mwandishi
Kwasababu waliandika kwamba adam na hawa waliishi miaka 900 lakini hawajataja walikufaje na walizikwa sehemu gani.Thibitisha kwamba ni uongo
Hao waliondika adamu na hawa waliishi miaka 900 na ukawamini hao ndio walikufanya wewe mtoto.
Wewe ndio mwenye roho ngumu ya kuweka ufahamu mfukoni na ukifikiri kwa maneno ya kuambiwa.Kuna watu mna roho ngumu kweli kweli!!
Inamaana wakati huyo jamaa anaandika biblia miaka ilikuwa inahesabiwa kama sasa hivi.Kwani wewe umepima kipindi icho miaka ilikiwa inahesabiwaje??
Go back to school maana ninyi mnaonekana hamjui anno domino na before Christ , Fanya utafiti kabla hujaongea chochote
Mkuu upo vizuri, ila mashabiki wa dini hawajaelewa. Watu wamelewa kwa maneno na matamko ya kuambiwa.Uongo mwingine huu..
MWANZO 6:3
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.
MWANZO 7:6
Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
* * * * * * * *
huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..
Hatari sana.
Dah! mtu wa Mungu mbona mkali sana?jitahidi kupunguza hasira na jazba unapojadili mambo haya Mama.Wewe ni lipumbavu la kutupwa. Tena utakufa kifo cha fedheha mzog wa mbwa wewe usiye na ufahamu. Pumbavu kwelikwlei. Ungelikuwa akili japo kidogo usingeongea upumbavu ambao hata tu elimu ya darasani inatoa jibu. Pumbavu kafie mbali zoga la mijibwa!
tena achana na mimi siji kwenye upumbavu wako wa kishetani hapa. Elti walitumia kipimo gani!. Nenda hata shule ya kata uapte basi ili hata kama ni argument uargue scientifically japo kidogo. Jitu lilipelekwa shule likawa jinga darasani, likakimbia umande, Mungu halimjui linaishi kwa sababu linaamuka ili lile, halafu leo linaleta ma.vi ya kichwani kwake hapa. Wewe unafikirakwa kutumia m.a.vi. Wweni zaidiya mzoga wanguruwe.
[emoji53] naona vitisho na kuhukumu kumeshaanza.Tena ninaamuru kwa jina la Yesu hiyo smartphone iwe ya mwisho kuimiliki
Unaemkufuru Roho Mtakatifu
Watu wote tuseme Amina.
Inamaana wakati huyo jamaa anaandika biblia miaka ilikuwa inahesabiwa kama sasa hivi.
Huu ndo uthibitisho?Kwasababu waliandika kwamba adam na hawa waliishi miaka 900 lakini hawajataja walikufaje na walizikwa sehemu gani.
[emoji2] yani kwa matusi haya uliyotukana hapa.Wewe ni lipumbavu la kutupwa. Tena utakufa kifo cha fedheha mzog wa mbwa wewe usiye na ufahamu. Pumbavu kwelikwlei. Ungelikuwa akili japo kidogo usingeongea upumbavu ambao hata tu elimu ya darasani inatoa jibu. Pumbavu kafie mbali zoga la mijibwa!
tena achana na mimi siji kwenye upumbavu wako wa kishetani hapa. Elti walitumia kipimo gani!. Nenda hata shule ya kata uapte basi ili hata kama ni argument uargue scientifically japo kidogo. Jitu lilipelekwa shule likawa jinga darasani, likakimbia umande, Mungu halimjui linaishi kwa sababu linaamuka ili lile, halafu leo linaleta ma.vi ya kichwani kwake hapa. Wewe unafikirakwa kutumia m.a.vi. Wweni zaidiya mzoga wanguruwe.