Blessingmore
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 377
- 394
Watu huwa tunasoma biblia juu juu...hatuielewii....ukitoka hapo na wewe unajikuta upo deep kwa kusoma kifungu kimoja...ukitaka kuielewa soma yotee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona uongo wa biblia labda wewe ndio muongo, Bibi yangu amefariki juzi juzi tu akiwa na miaka 90 lakini mimi nikijitazama naona kama life span imepungua maana sioni dalili za kufika miaka 90, lakini embu jiulize sasa hivi wewe una umri gani? je utaweza kufikisha umri mhe.Mugabe? jinsi siku zinavyokwenda mbele life span ya binadamu inazidi kupungua, muangalie Rooney mchezaji wa Manchester United anamiaka 31 na anaonekana ni mtu umri umeshakwenda tayari je akifikisha miaka 60 si atakuwa mzee sana, embu fananisha umri wa Rooney na Roger Mila wa cameroon wakati akiwa na miaka 30 ya Rooney alionekana bado kijana sana lakini leo hii Rooney anaonekana mzee kiasi kwamba watu wengine wanamshauri asicheze tena Timu ya Taifa ajikite kwenye kilabu chake tu, jinsi tunavyozidi kuishi umri unazidi kupungua.Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Katika hilo nakubishia,kwani kuna mtu namfahamu alikuwa anachana Biblia na kuvutia tumbaku,tulipomuuliza kulikoni anafanya vile ilihali kile ni kitabu kitakatifu cha wakristo?akasema afadhali yeye anavutia tumbaku kwani enzi zake alipokua baharia aliwahi kuwekwa jela huko ulaya na walipokua jela walikua wanachana biblia walizokua wakipewa wajisomee mle ndani na kuvutia unga na wengine bangi,huyo jamaa sasa yupo singida anafanya biashara ya kuku na yupo poa kabisa.UrbanGentleman ngoja nikupe ushauri wa bure....dini yeyote duniani huwa zina beyond human thinking powers. ...sio vitu vya mchezo. ..Kuna mtu aliamua kuichana BIBLIA hadharani, mikosi iliyo mjia sintoweza kukuadisia. ....wewe waache watu na imani zao nawe ufanye unalolitaka. ..I believe in KARMA, so watch out! Don't termpt anyone's faith. ..I wish you good morning
Mzee kuna kikongwe kaishi miaka 138 au mungu ajamuonaUongo mwingine huu..
MWANZO 6:3
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.
MWANZO 7:6
Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
* * * * * * * *
huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..
Hatari sana.
sijakana uwepo wa mungu, ila uwepo wa mungu huyu wa kikristo, there's no way you can tell me wazee wangu na mababu wote wa kiafrika waliofariki kabla ya kuja kwa ukristo wapo motoni kisa hawakumjua yesu alieletwa na mkoloni.
Hao watu wote uliyo nitajia wako katika hali gani? Na huyo MUUZA KUKU. .duh! Naona tuko anga ya tofauti. ..NAKUOMBA UNISAMEHE SANA KWA KUJARIBU KUKUELEWESHA....uwe na siku njema. .Bye-byeKatika hilo nakubishia,kwani kuna mtu namfahamu alikuwa anachana Biblia na kuvutia tumbaku,tulipomuuliza kulikoni anafanya vile ilihali kile ni kitabu kitakatifu cha wakristo?akasema afadhali yeye anavutia tumbaku kwani enzi zake alipokua baharia aliwahi kuwekwa jela huko ulaya na walipokua jela walikua wanachana biblia walizokua wakipewa wajisomee mle ndani na kuvutia unga na wengine bangi,huyo jamaa sasa yupo singida anafanya biashara ya kuku na yupo poa kabisa.
14440 = 13 number ya kugeuza. Kuanza upya. ..Binafsi nilipata kusoma biblia kwa undani kipindi nipo shule( seminary) siku moja nliuliza hilo swali pia, majibu niliyoyapata ni haya....biblia inaandika vile sio kweli mtu aliishi miaka mfano 900 ila hiyo miaka mia 9 inaonesha ukamilifu kwa jambo fulani, na ndio maana tunapoambiwa mfano: yesu akija wataokolewa watu 14440 hiyo ni hesabu ya waisrael ikiwa na maana sana, hivyo hivyo katika hiyo miaka ina onesha ukamilifu wa jambo fulani na sio kweli kwamba ni miaka 900 ya kuishi.....tuisome biblia na kuelewa maana ya namba zilizomo na maneno yako.
huko kwingine kote umeongea pumba kasoro hapo tu.. kumbe tumezaliwa na utambuzi wa mema na mabaya.. kwa maaana hio ukiishi katika misingi hio ya utambuzi huwezi kupotea, so yesu hana umuhimu hapo..utambuzi wa mema na mabaya ulikuwa ndani ya mioyo Yao.
itakua mungu alipitiwa na shetani.Mzee kuna kikongwe kaishi miaka 138 au mungu ajamuona
Kwa ninavo elew japo nikidogUongo mwingine huu..
MWANZO 6:3
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa MIAKA MIA NA ISHIRINI.
MWANZO 7:6
Naye Nuhu alikuwa mtu wa MIAKA MIA SITA hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
* * * * * * * *
huyu mwandishi inaelekea alikua na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.. alishaandika mungu amelimit umri wa binadamu uwe miaka ishirini tu.. baadae anakwambia Nuhu aliishi miaka mia sita..
Hatari sana.
Ushahidi?Siku 365 over
Hapo ni sawa na waislamu wakati wanakuja na mabandiko yao kuikashifu Biblia.. baada ya muda utawaona wakiitumia hiyo hiyo biblia kusema imemtabiri mwamadi wao na al lah wao.wakristo bwana, when it comes to proving the truth about some biblical scriptures, science is very applicable, IN SCIENCE WE TRUST. ila kwenye mambo mengine science is demonic, because they dont believe in the existence of God!!!??
WHY WOULD YOU USE AND TRUST THE KNOWLEDGE OF SOMEONE WHO DOESNT BELIEVE IN GOD TO PROVE THE EXISTENCE OF SOMETHING CONCERNING YOUR BELIEF?
kweli baniani mbaya kiatu chake dawa.
uwezo wako wa kufikiri umegota hapo. pole sanaMtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Inapendeza baki na imani yako inatosha .
uongo WA Hali y'all juuKwa ninavo elew japo nikidog
Haya maandik yameandikwa baada ya hayo matukio kutokea....
Iyo miaka 120 aliyo pewa mwanadam ni baada ya mwanadam ku muhuz Mungu ,hii inamaanisha walio ishi hawal walihish kwa muda mrefu zaid ...
Kumbuka!!
Maandiko yameandikwa baada ya matukio kutokea c wakati matukio yanatokea
Wewe acha story Zach chai mbna vitu vidogo na nini vyepesi haviitaji nguvu sana kuvielewa kua ni uzandiki wa wazunguUrbanGentleman ngoja nikupe ushauri wa bure....dini yeyote duniani huwa zina beyond human thinking powers. ...sio vitu vya mchezo. ..Kuna mtu aliamua kuichana BIBLIA hadharani, mikosi iliyo mjia sintoweza kukuadisia. ....wewe waache watu na imani zao nawe ufanye unalolitaka. ..I believe in KARMA, so watch out! Don't termpt anyone's faith. ..I wish you good morning
Kuna uongo gan hapo [emoji15] [emoji12]uongo WA Hali y'all juu
Kwa ninavo elew japo nikidog
Haya maandik yameandikwa baada ya hayo matukio kutokea....
Iyo miaka 120 aliyo pewa mwanadam ni baada ya mwanadam ku muhuz Mungu ,hii inamaanisha walio ishi hawal walihish kwa muda mrefu zaid ...
Kumbuka!!
Maandiko yameandikwa baada ya matukio kutokea c wakati matukio yanatokea