Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Acha umbulula tafuta siri yakifo ndio uandike umbulula wako. Nia ya Mungu ilikuwa tuishi milele ila dhambi ikaleta mauti. Maisha ya binadam yamekuwa yakipungua kadri dhambi inaongezeka. Sasa hiv mwaka mmoja ni miaka mingi kuishi....
Kama dhambi walizianzisha adam na hawa kwanini wenyewe waliishi miaka 900 harafu ww uje uishi miaka 45 au 55 huo wastani wa tanzania.
Inamaa ww ulimkosea nini mungu hadi uishi miaka michache hivyo kutoka miaka 900 hadi miaka 55.
 
Mkuu hawa watu ni tatizo.
 
Hapo umewatandika za uso.
 
Lete hoja na wewe..... Sasa unafunga ili iweje
Hii inanikumbusha kuna mtu alianzisha Thread humu, kwamba haamini kama kuna Mungu... watu wengi waliishia kumnyooshea kidole kwamba hana hofu ya Mungu wengine walikemea kwamba ashindwe na alegee, walisahau kwamba kinachotakiwa ni wao kumueleza kwanini wao wanaamini Mungu yupo basi!!
 
Biblia ni kitabu cha hadithi
 
Wakati hii dunia tukiacha kufa hata miezi 6 tu inaweza kujaa.
Na kama kungesipo kuwepo kufa inamaana hata sisi tusingekuwepo hapa.
 
Sasa inakuwaje mungu anaumba kitu ambacho kinaingiwa na tamaa harafu baadaye kinakuja kumuudhi mwenyewe.
chunguza maisha ya mwanadamu, kila changamoto tunayokutana nayo tunajaribu kuitafutia ufumbuzi na mwisho wa siku tunalipatia jibu.. kama binadamu ana utashi wa kutatua tatizo, mungu kilimshinda nini kutatua tatizo la dhambi?

kama sisi binadamu leo hii tunaambiwa tuungame ili dhambi zifutike, mungu kilimshinda nini kufuta dhambi ya adam na eva na maisha yaendelee kama kawaida?

hata mtoto akimkosea mzazi, mzazi husema nimekusamehe, USIRUDIE TENA.

yeye mungu hakusamehe, alimlaani binadamu na kumfukuza kabisa.. hivi ndivyo watu wanavyoishi? mungu gani hatoi second chance?

ina maana wanadamu tuna busara na ni waungwana kuliko mungu?
 
Mkuu usipingane na maandiko maana kuna maswal mengo unaweza ukajiuliza ukakosa majibu
 
Sasa inakuwaje mungu anaumba kitu ambacho kinaingiwa na tamaa harafu baadaye kinakuja kumuudhi mwenyewe.
Swali zuri sana...

Hili swali hataweza kulijibu kamwe zaidi ya kuleta hekaya tu hapa
 
Ahh! watu mna dhambi,yaani mama wa mungu alikua mama muuza?na mungu mwana nae alikua waiter?acha hizo bwana.

Umeyatoa wapi hayo? isije kua wewe mvinyo ndoo unaongea,maana avatar yako nayo inaweza kuwa inasadifu uloyaandika hapa.
hakuwa waiter,alikuwa akisaidia kubeba magudulia ya mvinyo toka home hadi kwenye sherehe,
in short mama alikuwa na catering service
 
angalau wewe kidogo sio mahututi kwa kujua kuwa yesu roho mt. na mungu baba ni miili mitatu tofauti, ila umungu wao mmoja upo katika dhamira.

kuna mwehu humu alisema mungu umbile analo, na umbile lake ni yesu!!! yani huo utatu mtakatifu bado ni bumbuwazi kwa wakristo..

kama nikisema niwakusanye wakristo niwape makaratasi kila mmoja anichoree picha ya mungu iliyopo kichwani mwake, na azionyeshe hizo nafsi tatu, watu watachora mambo ya ajabu sana.

ila ukumbuke hayo maamuzi ya utatu mtakatifu ni watu tu walikusanyika na kuamua kuutengeneza huo utatu mtakatifu na kuonekana kitu halali.
 
Mungu na shetani wanafahamiana.

Mungu ni mfalme wa mbinguni wakati shetani ni mfalme wa ulimwengu.

Wote wana maeneo tofauti ya kiutawala, pia hata utendaji.
lakini kwa mjibu wa biblia hawa hutembeleana,
shetani humtembelea mungu wakaongea na pia mungu humtembelea shetani,mfano pale bustan ya eden ,mungu alikuja ulimwenguni personaly na akawa anazunguka zunguka bustanini akiwatafuta kina adamu na hawa
 
lakini kwa mjibu wa biblia hawa hutembeleana,
shetani humtembelea mungu wakaongea na pia mungu humtembelea shetani,mfano pale bustan ya eden ,mungu alikuja ulimwenguni personaly na akawa anazunguka zunguka bustanini akiwatafuta kina adamu na hawa
na we unaamini kabisa mungu alikua anawatafuta? wakati biblia hio hio inakwambia hakuna jambo ulifanyalo mungu asilijue? sasa kama anajua kila nifanyalo manake anajua nipo wapi mda wote...

yani kama namuona bibi vile anavyonihadithia hii hadithi, halafu naitikia enhe.
 
Lakini ubishi wako utakufikisha mahala ambapo sipo. Enzi za Lutu na Nuhu Mungu alionyesha mpambano kwa mwanadamu lakini baadae akasema sitabishana na mwanadamu tena. Rejea maandiko Mwanzo 6:3. Na hapo ndipo aliposema umri huyu mwanadamu utakuwa miaka 120 badala ya ile ya wakati wa akina Nuhu
 
Kwani huwaoni mtaani kwako wazee wenye miaka mia na zaidi? Kwa mfano Mungu akaamua vijana wa sasa waishie miaka 20 harafu wakaja kuambiwa mababu zenu waliishi miaka mia bado hutaamini?
 
Kwani huwaoni mtaani kwako wazee wenye miaka mia na zaidi? Kwa mfano Mungu akaamua vijana wa sasa waishie miaka 20 harafu wakaja kuambiwa mababu zenu waliishi miaka mia bado hutaamini?
Hata saizi wapo wanaozaliwa na kufa siku hiyo hiyo. na wengine wanakufa hata kabla hawajazaliwa. inamaana na hao ni mungu anapanga?
 
Hata saizi wapo wanaozaliwa na kufa siku hiyo hiyo. na wengine wanakufa hata kabla hawajazaliwa. inamaana na hao ni mungu anapanga?
Mambo ya Mungu hayachunguziki ndugu yangu.. Maana biblia inasema hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
 
unaweza kunipa kipengele kinachozungumzia huo mpambano?
 
ww usirudie.tena kusema.biblia.ina uongo acha kukashifu utalaanika kile ni.kitabu kitakatifu take care kama uamin bible. be calm

Mbona matishio sana?...Huku ni kujengea watu hofu,na msingi wa imani uliojengeka kwenye hofu ni mufilisi,ni ya uongo...

Kwanini bible tu na kuna vitabu kibao vya dini mbalimbali kila mmoja ana-claim ni vitabu vitakatifu?Sijui unaweza ni prove uo "utakatifu" umetoka wapi?Mungu hajawahi andika kitabu,hana haja hiyo,ana uwezo wote,anaweza kutuingizia anachokitaka kwenye bongo zetu bila kuhitaji msaada wa mtu amsaidie kuandika,watu waende shule waje wasome ndio waokoke kwenye mbinguni,ukishindwa kusoma au kama huna akili kiasi hicho unaenda motoni,nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…