Gilbert Clavery
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 438
- 361
Sawa mm mfia dini unataka nifie baa au wapi wewe tulia matokeo utayaonaMfia dini mwingine wewe.
Tatizo biblia zenu mwazifungia makabatini hata baaada ya ibada ya Jumapili.
Someni, muyachunguze maandiko.
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
hayo matokeo angeanza kuyaona George Bush aliyeivamia Iraq na kuwaua waarabu au Obama aliyeruhusu mwanaume kwa mwanaume kudinyana. gerarahiaaa [emoji57] [emoji57] [emoji57]Sawa mm mfia dini unataka nifie baa au wapi wewe tulia matokeo utayaona
Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.hayo matokeo angeanza kuyaona George Bush aliyeivamia Iraq na kuwaua waarabu au Obama aliyeruhusu mwanaume kwa mwanaume kudinyana. gerarahiaaa [emoji57] [emoji57] [emoji57]
farao umeshamwona wewe hem tuliza tutwako twako chini na huto tusimulizi twenuMbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.
huyu mungu anawashughulikia wasiomwamini, lakini anashindwa kuwalinda wanaomwamini?? aisee.Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.
bahari ya Hindi kwake ndo ilikua kama Jacuzzi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]waliogundua kalenda ni wamisri hapo juzi juzi tu.sasa hayo mambo ya biblia we unahitaji ufunuo wa hali ya juu kuyaelewa. daaah sema naskia ADAM baba yetu alikuwa mkubwa mpaka anachoma nyama kwenye jua
Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.
huyu mungu anawashughulikia wasiomwamini, lakini anashindwa kuwalinda wanaomwamini?? aisee.
hebu angalia kifo cha angela chibalonza.. mwanamama mashuhuri kabisa kwa kumsifu mungu, mwisho wa siku amekufa kwa ajali... halafu wanasema mungu amempenda zaidi???
mungu akikupenda zaidi anakuchukua mapema au anakuongezea maisha ili uzidi kumsifu? zile baraka za kuishi miaka mingi na heri duniani zimetoweka au?
hatari sana.
MWANZO 3:20Kwenye biblia hakuna hawa kuna eva sasa sijui hiyo biblia umeitoa wapi
[emoji15] acha kukurupuka.Kwenye biblia hakuna hawa kuna eva sasa sijui hiyo biblia umeitoa wapi
Mambo yakibiblia au kiroho ni ngum ndug hayahojiwi wala kuelewekaMtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
kheri mtu mwenye mapungufu ya nguvu za kiume kuliko hawa wakristo.. ni bure kabisa..Yaani Mungu wako aache kushugulikia jitu uaji kama Bush alieua watu wasio na hatia huko Iraq au Obama alieua watoto wasio na hatia huko Syria au Waisrael wanaoua Wanawake wa Kipalestina wasio na hatia ajee amshugulikie mpuuzi mmoja aliemsema kwa sentensi moja humu JF?
ha ha ha,mkuu huu mchezo hautaki hasiraSawa mm mfia dini unataka nifie baa au wapi wewe tulia matokeo utayaona