Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Sawa mm mfia dini unataka nifie baa au wapi wewe tulia matokeo utayaona
hayo matokeo angeanza kuyaona George Bush aliyeivamia Iraq na kuwaua waarabu au Obama aliyeruhusu mwanaume kwa mwanaume kudinyana. gerarahiaaa [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
hayo matokeo angeanza kuyaona George Bush aliyeivamia Iraq na kuwaua waarabu au Obama aliyeruhusu mwanaume kwa mwanaume kudinyana. gerarahiaaa [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.
 
Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.
farao umeshamwona wewe hem tuliza tutwako twako chini na huto tusimulizi twenu
 
Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.
huyu mungu anawashughulikia wasiomwamini, lakini anashindwa kuwalinda wanaomwamini?? aisee.

hebu angalia kifo cha angela chibalonza.. mwanamama mashuhuri kabisa kwa kumsifu mungu, mwisho wa siku amekufa kwa ajali... halafu wanasema mungu amempenda zaidi???

mungu akikupenda zaidi anakuchukua mapema au anakuongezea maisha ili uzidi kumsifu? zile baraka za kuishi miaka mingi na heri duniani zimetoweka au?

hatari sana.
 
waliogundua kalenda ni wamisri hapo juzi juzi tu.sasa hayo mambo ya biblia we unahitaji ufunuo wa hali ya juu kuyaelewa. daaah sema naskia ADAM baba yetu alikuwa mkubwa mpaka anachoma nyama kwenye jua
 
waliogundua kalenda ni wamisri hapo juzi juzi tu.sasa hayo mambo ya biblia we unahitaji ufunuo wa hali ya juu kuyaelewa. daaah sema naskia ADAM baba yetu alikuwa mkubwa mpaka anachoma nyama kwenye jua
bahari ya Hindi kwake ndo ilikua kama Jacuzzi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona povu linakutoka tulia umuone Mungu wa Biblia anavyojua kuwashugulikia wenye jeuri kama maana ujamfikia Farao wewe.

Hahhaaaa....Mungu wa Biblia sio?Kwahiyo Mungu wa Quran ni mavi?

Yaani nyie watu wa dini ni mabinafsi sana...unajiamini wewe mungu wako ndio wa ukweli wa wengine wote ni hewa,hiyo authority umepata wapi?

Yaani Mungu wako aache kushugulikia jitu uaji kama Bush alieua watu wasio na hatia huko Iraq au Obama alieua watoto wasio na hatia huko Syria au Waisrael wanaoua Wanawake wa Kipalestina wasio na hatia ajee amshugulikie mpuuzi mmoja aliemsema kwa sentensi moja humu JF?

Katisheni mbuzi zizini sio watu wenye kuelewa
 
huyu mungu anawashughulikia wasiomwamini, lakini anashindwa kuwalinda wanaomwamini?? aisee.

hebu angalia kifo cha angela chibalonza.. mwanamama mashuhuri kabisa kwa kumsifu mungu, mwisho wa siku amekufa kwa ajali... halafu wanasema mungu amempenda zaidi???

mungu akikupenda zaidi anakuchukua mapema au anakuongezea maisha ili uzidi kumsifu? zile baraka za kuishi miaka mingi na heri duniani zimetoweka au?

hatari sana.

Mkuu nakukubali sana...eti "mungu kamchukua",hahahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwenye biblia hakuna hawa kuna eva sasa sijui hiyo biblia umeitoa wapi
 
Kwenye biblia hakuna hawa kuna eva sasa sijui hiyo biblia umeitoa wapi
MWANZO 3:20

"Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai."

hakika katika msafara wa mamba na kenge wamo.. katika ukristo wenu wewe ni jipu (mkristo koko)
 
[emoji15]acha kukurupuka.

Hivi unaelewa hii?[emoji116]

Musa = Mosses
Yona = Jonas
Yohana = John
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Mambo yakibiblia au kiroho ni ngum ndug hayahojiwi wala kueleweka
 
Yaani Mungu wako aache kushugulikia jitu uaji kama Bush alieua watu wasio na hatia huko Iraq au Obama alieua watoto wasio na hatia huko Syria au Waisrael wanaoua Wanawake wa Kipalestina wasio na hatia ajee amshugulikie mpuuzi mmoja aliemsema kwa sentensi moja humu JF?
kheri mtu mwenye mapungufu ya nguvu za kiume kuliko hawa wakristo.. ni bure kabisa..

waasisi wa hio dini wanafanya matendo yote ya kishetani ila mbongo hashtuki.. ila itafikia pahala tu.. kama ulipofikia ukomo wa mapenzi ya mashabiki wa Arsenal kwa Wenger.
 
Nyie vijana angalieni; msije mkawa mnajipalia makaa ya moto. Hivi hamjui kuwa vitabu vya awali vyote ndivyo vinavyoitwa Torati !! Vitabu hivyou vipo katika Kuruhani (Qoran) na Biblia, tofauti ni majina na tafsiri ndogo ndogo za waandishi hawa wa sasa; kumbe dini zote na vitabu vyote vinasema maneno yale yametamkwa na biniadam lakini ni maneno yake Mungu Mwenyewe. Sasa leo umevuta sijui nini unasema kwa jeuri kabisa kuwa eti biblia imesema uongo. Unadiriki kusema kwa maana hiyo Mungu kasema uwongo !!!! Tafadhali tubu na uikane kauli hiyo ya hatari haraka sana. Hunijui nami sikujui lakini Mungu Anakujua.
 
Back
Top Bottom