Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Facts

Ukristo ndio dini inayoongoza kwa kukua saivi ulimwenguni kote.

Bible ndio kitabu kilichosomwa na kilichouzwa zaidi ulimwenguni.

Bible ndio kitabu kinachoongoza kwa kuuzwa zaidi ulimwenguni.

Bible ndio kitabu kilichotafsiriwa kwa karibu lugha zote mpaka za kikabila ulimwenguni.

Msalaba ndio nembo inayoonga kwa kutambuliwa na watu wengi ulimwenguni kuliko nembo au alama nyingine yoyote.



Atheists ndio wanaoongoza kutaja neno Mungu kuliko congregation yoyote ulimwenguni.
na mashoga nao wanazidi kushamiri kanisani... na mapadre na wachungaji nao ni mashoga.. hii mbona umeiacha?
 
Huyu redeemer alikuja na mkwara mrefuuu,kumbe nae hamna kitu.
Yesu aliitwa mwana wa daud kwa vile babake,yaani Joseph anatokana na ukoo wa mfalme Daud,hamna maelezo mengine zaidi ya hayo
 
na mashoga nao wanazidi kushamiri kanisani... na mapadre na wachungaji nao ni mashoga.. hii mbona umeiacha?
Lazima wawepo huo ni unabii.

Sio kila waitao Bwana Bwana watauona ufalme wa Mungu na wa watokea Mbwa mwitu waliojivika ngozi ya Mwana kondoo.

Hivyo bado Bible inazidi kujidhihirishia ukweli wake.
 
Facts

Ukristo ndio dini inayoongoza kwa kukua saivi ulimwenguni kote.

Bible ndio kitabu kilichosomwa na kilichouzwa zaidi ulimwenguni.

Bible ndio kitabu kinachoongoza kwa kuuzwa zaidi ulimwenguni.

Bible ndio kitabu kilichotafsiriwa kwa karibu lugha zote mpaka za kikabila ulimwenguni.

Msalaba ndio nembo inayoonga kwa kutambuliwa na watu wengi ulimwenguni kuliko nembo au alama nyingine yoyote.



Atheists ndio wanaoongoza kutaja neno Mungu kuliko congregation yoyote ulimwenguni.

First thing first, lets get the facts right.

Islam is the fastest growing religion in the world and is expected to outstrip Christianity by the end of the century. The number of Muslims will grow more than twice as fast as the world's population from now until 2050, the Pew Research Center has said.Dec 10, 2015

Islam is the 'fastest growing religion'

http://www.cnn.com/2015/04/02/living/pew-study-religion/

You obviously do not know your facts.

No wonder you believe in God.
 
First thing first, lets get the facts right.

Islam is the fastest growing religion in the world and is expected to outstrip Christianity by the end of the century. The number of Muslims will grow more than twice as fast as the world's population from now until 2050, the Pew Research Center has said.Dec 10, 2015

Islam is the 'fastest growing religion'

http://www.cnn.com/2015/04/02/living/pew-study-religion/

You obviously do not know your facts.

No wonder you believe in God.
What makes Islam faster?

Terrorising and cold blood killings?
 
Lazima wawepo huo ni unabii.

Sio kila waitabo Bwana Bwana watauona ufalme wa Mungu na wa Mbwa mwitu wakiojivika ngozi ya Mwana kondoo.

Hivyo bado Bible inazidi kujidhihirishia ukweli wake.
kwa maana hio kama watu watakubali kusalishwa na kufungishwa ndoa na mashoga, na kanisa lao kutumika kufungisha ndoa za jinsia moja, huoni hii inawaaffect watu wa dhehebu hilo? na hata kujiita mkristo angali unashuhudia ushoga kanisani kwako huoni unakua kinyume na huo ukristo wenyewe?
 
Huyu redeemer alikuja na mkwara mrefuuu,kumbe nae hamna kitu.
Yesu aliitwa mwana wa daud kwa vile babake,yaani Joseph anatokana na ukoo wa mfalme Daud,hamna maelezo mengine zaidi ya hayo

Acts 13:23
Of this man's seed hath God according to his promise raised unto Israel a Saviour, Jesus.

Revelation 22:16
I Jesus have sent mine angel to testify unto you these things in the churches. I am the root and the offspring of David, and the bright and morning star.

mkuu unaonekana upo vizuri labda wewe unaweza kunielewesha maana ya hizi aya... msaada tafadhali.
 
‘Luke (2:1-4) claims Jesus was born in the year of a universal tax census under Augustus Caesar, while Cyrenius (a.k.a. Quirinius) was governor of Syria, But Roman records show the first such universal census didn’t occur until decades after this, during the reign of the emperor Vespasian in 74 CE.’
 
ww unaongozwa na kitab kipi....kamma biblia sio kitab kinachokuongoza bhas hupaswi kuhoji yasiyo kuhusu ila kama ni muumini unaeongozwa na kitab hiko bhas ww ni makapi katika waumini...
kama ww ****** kias cha unaeza hoji namna tendo lilifanyika mpaka ukazaliwa bhas hoji na uhalal wa yaliyoandkwa katika hiko kitab ila kama akili ipo sawa huwez hoji wazaz swala hilo na pia huwez hoji uhalali wa maandko!!!

Angalia hii clip kutoka BBC

 
Usisahau pia kwamba nabii Adam alikua na kimo cha urefu wa futi 90!!!
Sasa ata hiyo miaka unayoishangaa ya umri wake si ajabu.
Pia historia inasema kwamba baada ya mungu kuwafukuza watatu hao kwenye bustani ya Eden na kutupwa duniani walikuja onana baada ya miaka 100-300yrs(nimesahau kidogo exactly time waliyokutana)
hahaa upuuzi mwingine huu
 
acha kuongea pumba we mwenyewe umeona majibu na matusi ya wakristo wenzako humu.. limtokalo mtu ndilo aliwazalo, na wakristo mawazo yenu juu ya watu wa dini tofauti si ya kheri, hata mahubiri nayo ni ya vijembe.
Ulikuwa which religion???? Mkuu
 
Hizi dini ni style tu zilizobuniwa na watu weupe kuja kututawala na pia watu wengi kipindi hicho walikua hawana elimu ya kutosha .
 
Kwani wazungu walitawaliwa na waisrael kwa kupitia dini!?
mzalendo kazungumzia historia yake ya kiafrika we unamuuliza kuhusu historia ya mzungu.. kujua ulipotoka ina msaada mkubwa kuliko kujua mwenzako alipotoka...

huyu kanung'unika kuhusu jambo linalomgusa na kumhusu directly, and it doesnt matter to you, we unataka ujue what happened to the outsiders, kana kwamba ni lazima kujua... utajua historia za nchi ngapi?

AS LONG AS YOU KNOW YOUR HISTORY THATS ALL THAT MATTERS..

great thinkers dont try to intimidate people, if you want to be one, you should learn to be humble first..
 
Back
Top Bottom