brillnoel
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 667
- 652
akithibitisha naenda kupiga mswaki katikati ya barabara.Thibitisha Mungu ndiye aliyefanya uumbaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akithibitisha naenda kupiga mswaki katikati ya barabara.Thibitisha Mungu ndiye aliyefanya uumbaji.
na mashoga nao wanazidi kushamiri kanisani... na mapadre na wachungaji nao ni mashoga.. hii mbona umeiacha?Facts
Ukristo ndio dini inayoongoza kwa kukua saivi ulimwenguni kote.
Bible ndio kitabu kilichosomwa na kilichouzwa zaidi ulimwenguni.
Bible ndio kitabu kinachoongoza kwa kuuzwa zaidi ulimwenguni.
Bible ndio kitabu kilichotafsiriwa kwa karibu lugha zote mpaka za kikabila ulimwenguni.
Msalaba ndio nembo inayoonga kwa kutambuliwa na watu wengi ulimwenguni kuliko nembo au alama nyingine yoyote.
Atheists ndio wanaoongoza kutaja neno Mungu kuliko congregation yoyote ulimwenguni.
Lazima wawepo huo ni unabii.na mashoga nao wanazidi kushamiri kanisani... na mapadre na wachungaji nao ni mashoga.. hii mbona umeiacha?
Facts
Ukristo ndio dini inayoongoza kwa kukua saivi ulimwenguni kote.
Bible ndio kitabu kilichosomwa na kilichouzwa zaidi ulimwenguni.
Bible ndio kitabu kinachoongoza kwa kuuzwa zaidi ulimwenguni.
Bible ndio kitabu kilichotafsiriwa kwa karibu lugha zote mpaka za kikabila ulimwenguni.
Msalaba ndio nembo inayoonga kwa kutambuliwa na watu wengi ulimwenguni kuliko nembo au alama nyingine yoyote.
Atheists ndio wanaoongoza kutaja neno Mungu kuliko congregation yoyote ulimwenguni.
What makes Islam faster?First thing first, lets get the facts right.
Islam is the fastest growing religion in the world and is expected to outstrip Christianity by the end of the century. The number of Muslims will grow more than twice as fast as the world's population from now until 2050, the Pew Research Center has said.Dec 10, 2015
Islam is the 'fastest growing religion'
http://www.cnn.com/2015/04/02/living/pew-study-religion/
You obviously do not know your facts.
No wonder you believe in God.
kwa maana hio kama watu watakubali kusalishwa na kufungishwa ndoa na mashoga, na kanisa lao kutumika kufungisha ndoa za jinsia moja, huoni hii inawaaffect watu wa dhehebu hilo? na hata kujiita mkristo angali unashuhudia ushoga kanisani kwako huoni unakua kinyume na huo ukristo wenyewe?Lazima wawepo huo ni unabii.
Sio kila waitabo Bwana Bwana watauona ufalme wa Mungu na wa Mbwa mwitu wakiojivika ngozi ya Mwana kondoo.
Hivyo bado Bible inazidi kujidhihirishia ukweli wake.
Kwanza umekubali kwamba Ukristo si dini inayokua kwa kasi zaidi kama ulivyodai?What makes Islam faster?
Terrorising and cold blood killings?
Huyu redeemer alikuja na mkwara mrefuuu,kumbe nae hamna kitu.
Yesu aliitwa mwana wa daud kwa vile babake,yaani Joseph anatokana na ukoo wa mfalme Daud,hamna maelezo mengine zaidi ya hayo
ww unaongozwa na kitab kipi....kamma biblia sio kitab kinachokuongoza bhas hupaswi kuhoji yasiyo kuhusu ila kama ni muumini unaeongozwa na kitab hiko bhas ww ni makapi katika waumini...
kama ww ****** kias cha unaeza hoji namna tendo lilifanyika mpaka ukazaliwa bhas hoji na uhalal wa yaliyoandkwa katika hiko kitab ila kama akili ipo sawa huwez hoji wazaz swala hilo na pia huwez hoji uhalali wa maandko!!!
hahaa upuuzi mwingine huuUsisahau pia kwamba nabii Adam alikua na kimo cha urefu wa futi 90!!!
Sasa ata hiyo miaka unayoishangaa ya umri wake si ajabu.
Pia historia inasema kwamba baada ya mungu kuwafukuza watatu hao kwenye bustani ya Eden na kutupwa duniani walikuja onana baada ya miaka 100-300yrs(nimesahau kidogo exactly time waliyokutana)
wanazidi onyesha ujinga bila gata aibu yaani.Futi 90????
Come on!
Ulikuwa which religion???? Mkuuacha kuongea pumba we mwenyewe umeona majibu na matusi ya wakristo wenzako humu.. limtokalo mtu ndilo aliwazalo, na wakristo mawazo yenu juu ya watu wa dini tofauti si ya kheri, hata mahubiri nayo ni ya vijembe.
ya myahudi.Ulikuwa which religion???? Mkuu
Kwani wazungu walitawaliwa na waisrael kwa kupitia dini!?Hizi dini ni style tu zilizobuniwa na watu weupe kuja kututawala na pia watu wengi kipindi hicho walikua hawana elimu ya kutosha .
mzalendo kazungumzia historia yake ya kiafrika we unamuuliza kuhusu historia ya mzungu.. kujua ulipotoka ina msaada mkubwa kuliko kujua mwenzako alipotoka...Kwani wazungu walitawaliwa na waisrael kwa kupitia dini!?