mkuumbona unaongea kinyume.
uislamu karne ya 4/5 unahusiano na mambo ya Yesu aliyekuwepo kabla ya hii kitu.
Ni sawa na kusema MKWAWA alikuwa CCM kwa sababu Ideology walizojiwekea na definition zake ni kwa sehemu flani zilifanana na za MKWAWA.
Kama unapenda kusoma huwezi kujikuta kwenye mlengo uliouchagua.
Thats not god poleThe following are characteristics of my living God :he works for his people in providing good, he is above all names, principalities, gods and kings, he reigns in praise and worship, he has released lonely begotten son for gentiles to attain redemption, he is the word and bread of life, those are few mentioned characteristics
Sio kila anayesema anamfuata Yesu ni kweli katumwa na yesu. Mbinu za shetani ni kutumia kilichochema na kukifarakanisha kwa kujiingiza ili watafiti wengi kama wewe ushinde kupambanua kipi ni kipi.yesu alikuta nini.alafu alikuwa wapi na nini kilicho muhua kwa watu gani leo ndio tuna muita mtakatifu papa.hakuna sehemu waka sema ni ukristo bali ni jina la kiroma kristo ni na bii yesu
sema hukuelewa, usizuge.Your English is proper limited totally reflect your tiny IQ.
umesahau na hii..The following are characteristics of my living God :he works for his people in providing good, he is above all names, principalities, gods and kings, he reigns in praise and worship, he has released lonely begotten son for gentiles to attain redemption, he is the word and bread of life, those are few mentioned characteristics
Nifuatilie humu JF naelewa mambo mengi sana sio mambo ya dini tu nina exposure in many angles na nimetembelea nchi nyingi duniani.
Nimeexperience atheism and Christianity and even Islam am open minded.
Halafu we chiz hiyo avatar hujaitendea haki kabisa, maana ulicho post hakiendani kabisa na mwenye picha yake. Yaani Tanzania nzima hakuna anaeweza kupata kusoma ulichokisoma? Uko serious kweli au unatania?
Sio matapeli banaaSasa swala sio uislamu dini au ukristo swala ni maisha kabla ya kuja kwao hao matapeli
tangu huyu mwanamwali amekuja thread imekua ikipoteza dira.Acha kujishaua...bado siku hizi unatishia watu na "nimetembea nchi nyingi"?
Hebu acha utoto,unaweza tembea from north to south na bado usijue kua hujui...mikwara ya kibwege namna hiyo kawapige watoto..
Tukianza kutaja kila nchi kila mmoja humu aliyotembelea JF itatosha kweli?
Fanya mjadala at hand sio unaanza na mikwara ya "unajua mi ni open minded sana",so what?
Hoja ni kwamba biblia in full of inconsistencies and contradictions,bisha hili kwa hoja sio upuuzi wa kutembelea nchi,tuache basi hoja hii tuanze tuscan passports tuanze kihesabu mihuri tujue nani kasafiri zaidi ya mwingine
StupidSio matapeli banaa
Wamekuja kukustaarabisha.
Hapo saiv ungekuwa umefunika ikulu pekee huku ukikimbizana na ngedere porin lakin baada ya kukustaarabisha unajiona mjaanja.
Wee jamaa ni kimeo kweli khaaa! watu wengine bwana daah! mna majibu.kama huwezi kujibu maswali nenda ukavae pedi thread nzima inanuka damu [emoji4] [emoji4]
Naona imekuuma.Acha kujishaua...bado siku hizi unatishia watu na "nimetembea nchi nyingi"?
Hebu acha utoto,unaweza tembea from north to south na bado usijue kua hujui...mikwara ya kibwege namna hiyo kawapige watoto..
Tukianza kutaja kila nchi kila mmoja humu aliyotembelea JF itatosha kweli?
Fanya mjadala at hand sio unaanza na mikwara ya "unajua mi ni open minded sana",so what?
Hoja ni kwamba biblia in full of inconsistencies and contradictions,bisha hili kwa hoja sio upuuzi wa kutembelea nchi,tuache basi hoja hii tuanze tuscan passports tuanze kihesabu mihuri tujue nani kasafiri zaidi ya mwingine
Mkuu futi 90 n kuunganisha zile kontena kubwa nne na nusu....ila baada ya miaka 6000 watu hawafikishi hata futi 6? kweli unahitaji ujinga ili kuamini katika dini.hahaa upuuzi mwingine huu
Kuna maeneo nimeona kama Yohana mbatizaji alimbatiza Yesu. Hiyo tofauti ya miaka mia tano ni sahihi?Ukristo haujaanza kipindi cha ujio wa wakoloni, ulianza kipindi kirefu mno mfano yohana mbatizaji alikuwa akifanya kazi ya Mungu yangu 500BC ambaye ndiye alikuwa mtanguliz wa Yesu, na ujio wa wa missionary walikuwa approximately 18 century ni vigumu mno kuchanganya Ukristo au Bible na ukolini
kama kweli adam na eva walifikisha futi 90 sipati picha papuchi ya eva ilikua na ukubwa gani.Mkuu futi 90 n kuunganisha zile kontena kubwa nne na nusu....ila baada ya miaka 6000 watu hawafikishi hata futi 6? kweli unahitaji ujinga ili kuamini katika dini.
Naweza kubeti kwamba vibamia vya wakati huo vilikuwa na futi sita..urefu wa mtu mzima sasa sijui kina mandingo walikuwaje.kama kweli adam na eva walifikisha futi 90 sipati picha papuchi ya eva ilikua na ukubwa gani.
hakika fundi simu we fundi.Kuna maeneo nimeona kama Yohana mbatizaji alimbatiza Yesu. Hiyo tofauti ya miaka mia tano ni sahihi?