chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
mkuumbona unaongea kinyume.
uislamu karne ya 4/5 unahusiano na mambo ya Yesu aliyekuwepo kabla ya hii kitu.
Ni sawa na kusema MKWAWA alikuwa CCM kwa sababu Ideology walizojiwekea na definition zake ni kwa sehemu flani zilifanana na za MKWAWA.
Kama unapenda kusoma huwezi kujikuta kwenye mlengo uliouchagua.
yesu alikuta nini.alafu alikuwa wapi na nini kilicho muhua kwa watu gani leo ndio tuna muita mtakatifu papa.hakuna sehemu waka sema ni ukristo bali ni jina la kiroma kristo ni na bii yesu