Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Kaka huelewi tuu u kristo ni Muunganiko na Mungu mwenyewe, kupitia Yesu kristo, ambapo Christianity is derived from common term christ which means anointed one, huo uwezo ndio tunaona watu wanafunguliwa kutoka kwenye ushetan wa kila aina, yeyote aminiye kuna miungu ni ajabu asijue kuna Mungu, yamkini ana appreciate kwa moyoni ila anashindwa kuprov kwa akili, maana anapomalikia akili yake ya Mungu inaanzia hapo
Kwahiyo watu walianza kuishi huo ukristo baada ya kuja wazungu
 
Mimi nilishawahi kusema kwamba Church/ religion ni tradition based psychotherapy tu, especially for broke/ afflicted people.
Consciousness is not for everyone mkuu. hawa wakina Chris Brown humu tunawaimbia get up stand up ya Bob wao wanaimba Dont wake me up..
 
Ukristo haujaanza kipindi cha ujio wa wakoloni, ulianza kipindi kirefu mno mfano yohana mbatizaji alikuwa akifanya kazi ya Mungu yangu 500BC ambaye ndiye alikuwa mtanguliz wa Yesu, na ujio wa wa missionary walikuwa approximately 18 century ni vigumu mno kuchanganya Ukristo au Bible na ukolini
 
Consciousness is not for everyone mkuu. hawa wakina Chris Brown humu tunawaimbia get up stand up ya Bob wao wanaimba Dont wake me up..
Bible ni halisi hata matabibu wanaweza kujua jambo hili, kuna uhusiano Kati ya treatment and faith healing, Mtu anaweza akatibiwa kidaktar asipone lakini akaoombewa akapona hebu niambie mkuu, ni neno la imani limemponya au madawa na ukifanya conceptual research you will prove God's word is the one which brings forth life and healing at large
 
Kwani wazungu walitawaliwa na waisrael kwa kupitia dini!?
dini ya kiyahudi hainaga wamishionary,wao wana amini uyahudi ni kwa ajili yao wayahudi ndo maana hawatangazi dini yao.
Kwahiyo waisrael hawajawatawala wazungu kwa ajili ya imani yao
 
Bible ni halisi hata matabibu wanaweza kujua jambo hili, kuna uhusiano Kati ya treatment and faith healing, Mtu anaweza akatibiwa kidaktar asipone lakini akaoombewa akapona hebu niambie mkuu, ni neno la imani limemponya au madawa na ukifanya conceptual research you will prove God's word is the one which brings forth life and healing at large

huo uponyaji hata mtu asiemwamini huyo myahudi anaweza kufanya na kumponya mtu.. sasa sijui hapo unasemaje kuhusu hilo.
 
Ukristo haujaanza kipindi cha ujio wa wakoloni, ulianza kipindi kirefu mno mfano yohana mbatizaji alikuwa akifanya kazi ya Mungu yangu 500BC ambaye ndiye alikuwa mtanguliz wa Yesu, na ujio wa wa missionary walikuwa approximately 18 century ni vigumu mno kuchanganya Ukristo au Bible na ukolini
Siongelei yohana naongelea maisha ya watu weusi kabla ya kuja wazungu na kukaririshwa huo upuuzi wako acheni kujitoa ufahamu
 
Bible ni halisi hata matabibu wanaweza kujua jambo hili, kuna uhusiano Kati ya treatment and faith healing, Mtu anaweza akatibiwa kidaktar asipone lakini akaoombewa akapona hebu niambie mkuu, ni neno la imani limemponya au madawa na ukifanya conceptual research you will prove God's word is the one which brings forth life and healing at large
We unaongea nini
 
Siongelei yohana naongelea maisha ya watu weusi kabla ya kuja wazungu na kukaririshwa huo upuuzi wako acheni kujitoa ufahamu
Kama unataka kufanya hypothesis, jaribu kufa siku ndipo utaona kuwa Bible ni katiba ya Mungu sio ya mkoloni [emoji4] [emoji4]
 
dini ya kiyahudi hainaga wamishionary,wao wana amini uyahudi ni kwa ajili yao wayahudi ndo maana hawatangazi dini yao.
Kwahiyo waisrael hawajawatawala wazungu kwa ajili ya imani yao
Ukristo umeenezwa ulimwenguni na wayahudi na wayahudi ndio wakwanza kuisikia Injili wao ndio waliyoandika Bible Kristo ndio anatoka huko sasa unautemgaje ukristo na uyahudi?

Unajua kanisa la kwanza duniani la Antiokia lilikua wapi?
 
Lisilo wezekana kwa mtazamo wa kibinadamu linawezekana kwa yeye. Amefanya miaka 100 kuwa mziki kuifikia vivyo hivyo alifanya miaka mia 9 iwezekane kipindi hicho. MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU HATA KAMA UNADHANI NI UONGO!!!
 
dini ya kiyahudi hainaga wamishionary,wao wana amini uyahudi ni kwa ajili yao wayahudi ndo maana hawatangazi dini yao.
Kwahiyo waisrael hawajawatawala wazungu kwa ajili ya imani yao
Tatizo ni kwamba, watu wanaweza kutumia udhaifu wa mwingine kupitia dini, lakini hapo hapo inabidi ujue tofaut ya dini na wokovu, dini inatengenezwa na watu na anaetengeneza wokovu ni Mungu hivyo mtu anaweza kutumia udin for self interests
 
No Jew no Christian
jews-for-jesus.jpg
 
Back
Top Bottom