Ni kweliKwa uzoefu wangu kwa awamu nilizoshuhudia matukio ya utekaji na matukio mengine karibu awamu zote huwepo tofauti kubwa huwa namna yanavyotekelezwa na kuripotiwa.
Nimekuwa napitia comments nyingi sana humu JF ni kana kwamba mambo yamebadilika sana. Je, ni kweli?
Ni kweli hakuna ushahidi nasi tuliwahi kuwashauri watuhumiwa na taasisi tuhumiwa wajitokeze kukanusha TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hawakujitokeza!.Awamu iliyopita inatupiwa lawama nyingi sana na hakuna ushahidi wowote wa nani muhusika wa matukio ya awamu hiyo haswa.
Ni kweli hakuna matukio ya state controlled, yale ya wale wasiojulikana wengine, yanaendelea. Yale ya Chadema wenyewe pia yamestop, nadhani hata ile torture chamber ya pale Ufipa walipomshughulikia Kagenzi, itakuwa imefungwa, labda saa hizi ni store!.Je, ni kweli awamu hii hakuna hayo matukio au tumefumba macho au sababu hayawagusi CHADEMA kama awamu iliyopita wanavyodai, ingawa baadhi ya watu wanaamini CHADEMA wenyewe walikuwa na mkono kwenye hayo matukio?
Watu wamepigwa na pepoKwa uzoefu wangu kwa awamu nilizoshuhudia matukio ya utekaji na matukio mengine karibu awamu zote huwepo tofauti kubwa huwa namna yanavyotekelezwa na kuripotiwa.
Nimekuwa napitia comments nyingi sana humu JF ni kana kwamba mambo yamebadilika sana. Je, ni kweli?
Awamu iliyopita inatupiwa lawama nyingi sana na hakuna ushahidi wowote wa nani muhusika wa matukio ya awamu hiyo haswa.
Je, ni kweli awamu hii hakuna hayo matukio au tumefumba macho au sababu hayawagusi CHADEMA kama awamu iliyopita wanavyodai, ingawa baadhi ya watu wanaamini CHADEMA wenyewe walikuwa na mkono kwenye hayo matukio?
Uko sahihi mkuuNi kweli
Ni kweli hakuna ushahidi nasi tuliwahi kuwashauri watuhumiwa na taasisi tuhumiwa wajitokeze kukanusha TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hawakujitokeza!.
Unapotokea kutuhumiwa hadi Bungeni na wewe ukanyamaza ni kuna mawili
1. Silence ya ignoring
2. Silence ya guilt as charged
Ni kweli hakuna matukio ya state controlled, yale ya wale wasiojulikana wengine, yanaendelea. Yale ya Chadema wenyewe pia yamestop, nadhani hata ile torture chamber ya pale Ufipa walipomshughulikia Kagenzi, itakuwa imefungwa, labda saa hizi ni store!.
P
Watu kama nyie ndiyo watekaji wenyewe.Kwa uzoefu wangu kwa awamu nilizoshuhudia matukio ya utekaji na matukio mengine karibu awamu zote huwepo tofauti kubwa huwa namna yanavyotekelezwa na kuripotiwa.
Nimekuwa napitia comments nyingi sana humu JF ni kana kwamba mambo yamebadilika sana. Je, ni kweli?
Awamu iliyopita inatupiwa lawama nyingi sana na hakuna ushahidi wowote wa nani muhusika wa matukio ya awamu hiyo haswa.
Je, ni kweli awamu hii hakuna hayo matukio au tumefumba macho au sababu hayawagusi CHADEMA kama awamu iliyopita wanavyodai, ingawa baadhi ya watu wanaamini CHADEMA wenyewe walikuwa na mkono kwenye hayo matukio?
Eti Kwa uzoefu wangu ,pumbaaaaaavu.Kwa uzoefu wangu kwa awamu nilizoshuhudia matukio ya utekaji na matukio mengine karibu awamu zote huwepo tofauti kubwa huwa namna yanavyotekelezwa na kuripotiwa.
Nimekuwa napitia comments nyingi sana humu JF ni kana kwamba mambo yamebadilika sana. Je, ni kweli?
Awamu iliyopita inatupiwa lawama nyingi sana na hakuna ushahidi wowote wa nani muhusika wa matukio ya awamu hiyo haswa.
Je, ni kweli awamu hii hakuna hayo matukio au tumefumba macho au sababu hayawagusi CHADEMA kama awamu iliyopita wanavyodai, ingawa baadhi ya watu wanaamini CHADEMA wenyewe walikuwa na mkono kwenye hayo matukio?
uko deep sanaNi kweli
Ni kweli hakuna ushahidi nasi tuliwahi kuwashauri watuhumiwa na taasisi tuhumiwa wajitokeze kukanusha TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! hawakujitokeza!.
Unapotokea kutuhumiwa hadi Bungeni na wewe ukanyamaza ni kuna mawili
1. Silence ya ignoring
2. Silence ya guilt as charged
Ni kweli hakuna matukio ya state controlled, yale ya wale wasiojulikana wengine, yanaendelea. Yale ya Chadema wenyewe pia yamestop, nadhani hata ile torture chamber ya pale Ufipa walipomshughulikia Kagenzi, itakuwa imefungwa, labda saa hizi ni store!.
P
Hapo ndio najiuliza sababu za hayo mauwaji ni nini na hao wanaouliwa wanahusika vp kwenye hizo sababu?Kama yapo basi ni masalia ya jiwe.
Waliomteka na kumtesa DR. ULIMBOKA walikuwa masalia ya nani?Kama yapo basi ni masalia ya jiwe.
Sasa mkuu Mimi na wewe tuko saw a ?Eti Kwa uzoefu wangu ,pumbaaaaaavu.
Wakikujibu ni tagi mangiWaliomteka na kumtesa DR. ULIMBOKA walikuwa masalia ya nani?
Waliomteka na kumuua mfanyabiashara wa Mahenge mwaka 2006 yalikuwa masalia ya nani?
Waliomuua mwandishi MWANGOSI yalikuwa masalia ya nani?
Waliomwagia TINDIKALI Saidi KUBENEA mwaka 2008 yalikuwa masakia ya nani?
Waliomuwekea Sumu MWAKYEMBE mwaka 2012 yalikuwa masalia ya nani?
Kwa uzoefu wangu kwa awamu nilizoshuhudia matukio ya utekaji na matukio mengine karibu awamu zote huwepo tofauti kubwa huwa namna yanavyotekelezwa na kuripotiwa.
Nimekuwa napitia comments nyingi sana humu JF ni kana kwamba mambo yamebadilika sana. Je, ni kweli?
Awamu iliyopita inatupiwa lawama nyingi sana na hakuna ushahidi wowote wa nani muhusika wa matukio ya awamu hiyo haswa.
Je, ni kweli awamu hii hakuna hayo matukio au tumefumba macho au sababu hayawagusi CHADEMA kama awamu iliyopita wanavyodai, ingawa baadhi ya watu wanaamini CHADEMA wenyewe walikuwa na mkono kwenye hayo matukio?
Waliojaliwa mdomo kwa Sasa wamepofushwa macho hawaoni ila wanasikia hakuna gazeti,redio wala tv itakayo weza ijapokuwa wanatuaminisha et Kuna uhuru wa vyombo vya habari ila kwa Sasa hakuna mwanahabari alieye huruKwa uzoefu wangu kwa awamu nilizoshuhudia matukio ya utekaji na matukio mengine karibu awamu zote huwepo tofauti kubwa huwa namna yanavyotekelezwa na kuripotiwa.
Nimekuwa napitia comments nyingi sana humu JF ni kana kwamba mambo yamebadilika sana. Je, ni kweli?
Awamu iliyopita inatupiwa lawama nyingi sana na hakuna ushahidi wowote wa nani muhusika wa matukio ya awamu hiyo haswa.
Je, ni kweli awamu hii hakuna hayo matukio au tumefumba macho au sababu hayawagusi CHADEMA kama awamu iliyopita wanavyodai, ingawa baadhi ya watu wanaamini CHADEMA wenyewe walikuwa na mkono kwenye hayo matukio?
Kuna chombo kinaripot ufisadi wa serikali kama awamu ya nne kwa sasaKama vyombo vya habari vipo huru na Max Melo haitwi tena mahakamani, magazeti hayafungiwi, UNATAKA BADO MAGUFULI ATENGWE NA UOVU? Yule ni motoni.
Kaa kimya.Sasa mkuu Mimi na wewe tuko saw a ?