Ni kweli Bashar Al Asad ameomba back up kwa Benjamin Netanyahu?

Ni kweli Bashar Al Asad ameomba back up kwa Benjamin Netanyahu?

Mchezo umeisha!!😀😁😆
Kwako Adiosamigo
1000200386.jpg

Mpe na hii asadd amesahau picha zake za bikini 🤣 ikulu
 
WALOKOLE NI MATAHIRA
Nimefungua hiyo link hapo chini, inaonekana kama ni mtu bianfsi kachapisha huo waraka, a lady from Sweeden, ukisoma pale chini wachangiaji wa uzi huo wamegawanyika kama sisi humu; nasita kuukubali ukweli huo but again pia nasita kubishia kuhusu hilo pia; kwenye hi dunia lolote linawezekana. Mambo ya pale mashariki ya kati huaga yanatataishaga sana; nikukumbushe kidogo kilicho tokea vita vua ghuba mwaka 1990. Miaka 2 nyuma ya hapo, Iraq na Iran walipigana kwq zaidi ya miaka 8, walikua maadui wakubwa sana hawq watu, wakapatanishwa, vita vikasitishwa, Iraq ya Saddam ikaivamia Kuwaiti, USA waliitaka Iraq itoke Kuwait ASAP, not sure Iran alikua upande gani kwa mfogoro ule, vita ikaanza, USA with his allies wakiwa over 29 countries including Egypt, Saudia as well. Saddam alivo Ona USA anapiga store ya silaha zake, akaona kama ataishiwa silaha hata baada ya vita, aliamua kuanza kutosha silaha zake kali including ndege zake za kivita to Iran, Iran nae alizipokea vizuri tu na kumuhifadhia; unaona sasa mambo yalivo? Well, wakati Iran na Iraq wanapigana, Iran aliwahi kusaidiwa sana silaha na Israel, leo Israel na Iran ni maadui. Interesting.
Now kwa mtazamo wangu, kama ni kweli Assad kaomba msaada wa Israeli then my take:-
Inawezekana zile ndege za Israeli zilizo shambulia Iran huenda ni kweli zilishambulia defense systems za Iran na kwasasa Iran hana jeuri tena, ikumbukwe Iran amekua anamsaidia Assad since mwaka 2014 wakati machafuko yameanza, what happened now? Assad hadi kakimbia nchi, hana msaada tena, why wasaidizi waachane nae? Ni maswali yanayo hitaji majibu, tuendelee kusubiri
 
Magaidi wa JF walikuwa wakitamba kwamba Assad hawezi kung'olewa kwa sababu analindwa na Russia lkn nashangaa hivi Russia imefutika kwenye ramani ya dunia au vipi mbona sasa hawamlindi huyo kibaraka wao Assad..!!??
 
Magaidi wa JF walikuwa wakitamba kwamba Assad hawezi kung'olewa kwa sababu analindwa na Russia lkn nashangaa hivi Russia imefutika kwenye ramani ya dunia au vipi mbona sasa hawamlindi huyo kibaraka wao Assad..!!??
Kwani Asad amesha ngoka?
Alafu sio vizuri kuwaita wenzako majina mabaya kisa wametofautiana na ww kimtazamo.
 
Habari zimesambaa kwenye forums mbalimbali ikiwemo Quora na nyingine za kiyahudi, kwamba Rais wa Syria Bashar Al Asad hivi majuzi alimpigia simu Benyamin Netanyahu kumuomba amsaidie kupambana na waasi wanaoonesha ku advance kwa kasi kwenye miji muhimu licha ya mashambulizi ya anga yanayofanywa na ndege za Urusi zikishirikiana na jeshi la anga la Syria.

Inasemekana ameahidi kuwafurusha IRGC ndani ya Syria in return endapo Israel watakubali kuwasaidia kupambana na waasi.



Bashar al-Assad has reportedly reached out to Israel asking for help to remove the jihadi threat in Syria. In return, he has offered to ... Bashar al-Assad has reportedly reached out to Israel asking for help to remove the jihadi threat in Syria. In return, he has offered to ...
Yeye mwenyewe netanyahu maji ya shingo, amechanganyikiwa huko israel , anamuona kila mtu msaliti , tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya madaraka zimemkalia vibaya jela ipo nje nje, kwisha habari yake ,hakika mungu ana njia zake
 

Attachments

  • Screenshot_20241207-142907_Facebook.jpg
    Screenshot_20241207-142907_Facebook.jpg
    391 KB · Views: 2
Kama ni kweli Asaad atakuwa amechanganyikiwa maana uyo netanyau mwenyew lakwake linamshinda anamsubiri Trump kwa namna gani atakuja kumuongezea nguvu
 
Habari zimesambaa kwenye forums mbalimbali ikiwemo Quora na nyingine za kiyahudi, kwamba Rais wa Syria Bashar Al Asad hivi majuzi alimpigia simu Benyamin Netanyahu kumuomba amsaidie kupambana na waasi wanaoonesha ku advance kwa kasi kwenye miji muhimu licha ya mashambulizi ya anga yanayofanywa na ndege za Urusi zikishirikiana na jeshi la anga la Syria.

Inasemekana ameahidi kuwafurusha IRGC ndani ya Syria in return endapo Israel watakubali kuwasaidia kupambana na waasi.



Bashar al-Assad has reportedly reached out to Israel asking for help to remove the jihadi threat in Syria. In return, he has offered to ... Bashar al-Assad has reportedly reached out to Israel asking for help to remove the jihadi threat in Syria. In return, he has offered to ...
wameshamng'oa!!

Hakuna jambo lisolo na mwisho!
Free Syria
 
Back
Top Bottom